carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,617
Hapo kwenye dogs inabidi tuweke mbuzi ama ng'ombeWote hao wapo. Mi nafuga dogs.
Hapo kwenye dogs inabidi tuweke mbuzi ama ng'ombeWote hao wapo. Mi nafuga dogs.
Wapo humu wakose tena wewe andaa usaili tuKwanini?
Ina maana hakuna mwenye sifa tajwa hapo juu?
Bidhaa adimu huku kwetu.Hapo kwenye dogs inabidi tuweke mbuzi ama ng'ombe
Asante salama lakin hukoPole dingi
Tanzania ya viwonder naona na watu wake sasa wanaelekea huko huko kuwa wanaviwonder!![]()
![]()
kuonja hapana,nataka wa jumla jumla
Thubutu, nikutambulishe wewe?Aiseh!
Ukimpata nitambulishe kwake![]()
Salama kabisa sijui hukoAsante salama lakin huko
Kizuri kula na nduguyo bhanaThubutu, nikutambulishe wewe?
Naogopa kuibiwa, kwa lips zako hizo hatakuwa salama


Atanisaidia nini huyo mtu?Tanzania ya viwonder naona na watu wake sasa wanaelekea huko huko kuwa wanaviwonder!
Lakini kuna mtu mmoja namjua anaweza kukusaidia, anaitwa mshana jr. Huyu hajagi pande hizi ila huko aliko ana solution!
Huku safi na salama vp weekend ilikuajeSalama kabisa sijui huko
Naomba nianze na weweWapo humu wakose tena wewe andaa usaili tu

Bora hata umenisahauOoops nilikusahau jamani!![]()
![]()
![]()
Atakurahisishia kujua huyo mpendwa wako alipo kwa kupiga tunguli.Atanisaidia nini huyo mtu?

Hujui utamu wa nyama ya mbwa best....ng'ombe haoni ndaniHapo kwenye dogs inabidi tuweke mbuzi ama ng'ombe

Miss u pimbiAiseh!
Ukimpata nitambulishe kwake![]()
Safi kabisa ila fupi kama kawaidaHuku safi na salama vp weekend ilikuaje

