JamiiForums Usiku wa manane
Bora hata ningeachwa maana ningebaki na kumbukumbu za kuwahi kupendwa. Kuna mtu nampenda ila naogopa kumwambia, nishauri mbinu ya kutumia kumnasa
Usiogope jiamini kwanza .
muweke wazi unampenda mpe maneno matham atagoma goma mwishowe atakukubalia ombi lako .
sema nn nakushauri uende taratibu ukikataliwa potezea kwanza then muombe namba ya sim anza km urafiki
 
Usiogope jiamini kwanza .
muweke wazi unampenda mpe maneno matham atagoma goma mwishowe atakukubalia ombi lako .
sema nn nakushauri uende taratibu ukikataliwa potezea kwanza then muombe namba ya sim anza km urafiki
Laiti ungemjua mtu mwenyewe, hakika ungejua kwanini napata ugumu wa kusema nae.....
 
Back
Top Bottom