Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Baridi jaman kawaidaPole vp leo ujisikii baridi
Baridi jaman kawaidaPole vp leo ujisikii baridi
Mm nalalaasee
Nawatega kivipUnatutega lakin ujue![]()
Kawaida hiyoooHii saikolojia Sasa inaleta usaikolojia hivi punde
Usilale mapema saa hizi, nimeona vibaka karibu hapo....Mm nalala usiku mwema nawaachila lindoo
kwem tu salam lknNami nipo,
Basi sote tupo,
Kwema lakini.
Tupo tunaangalia wezi wasiibe JF.popooooziiiii mpo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hivi ni nani anapaswa kutulipa sisi walinzi wa jf, mmiliki,wanachama au twajitolea tu?Tupo tunaangalia wezi wasiibe JF.
I
Kujitolea tuHivi ni nani anapaswa kutulipa sisi walinzi wa jf, mmiliki,wanachama au twajitolea tu?
Ewaah walahi nimejikuta nishamsahau chaupele cheupe wa Veyula![]()
Kwa sie wakumbatia mito hii avatar ni hatari kwa afya![]()
we kweli unazeeka vibaya...yaani unakumbatia mto badala ya kumkumbatia my wife wako?