Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Naumwa homa natumboNini tena??
Pole sana bae...get well soonNaumwa homa natumbo
Asante mpenz Mungu mwema nitapona naamin uhali gan wewePole sana bae...get well soon
Kweli kabisa Mungu akuponye...me poa tu ila na mausingizi hapa napotea sasa hviiiAsante mpenz Mungu mwema nitapona naamin uhali gan wewe
Tuende wap wakt apa ndo maskanPopoz mpo?
Nilikuwa na check-in tuTuende wap wakt apa ndo maskan
Ata mm namuona tuKuna mtu kanidanganya namuona tuu hapa.
Kweli kabisa Mungu akuponye...me poa tu ila na mausingizi hapa napotea sasa hviii

Ok karibu tupoNilikuwa na check-in tu
Bora hata na wewe umemuona, utanisaidia kesi ikianza.Ata mm namuona tu
Ndio ntakusaidiaBora hata na wewe umemuona, utanisaidia kesi ikianza.
Haya ,usiku mwemaNdio ntakusaidia
Jaman pole lala kipenz usiji force kukeshaKweli kabisa Mungu akuponye...me poa tu ila na mausingizi hapa napotea sasa hviii
Aiseee wewe leo haupo sawa kabisa jaman tu msaidie huyu
Na nyie piaHaya ,usiku mwema
Jaman pole lala kipenz usiji force kukesha