JamiiForums Usiku wa manane
Km kawa,we unaenda wapi siku hz
Ghkaaaa. Unadhani micasa ni kiwanja changu mie??? Wala,kuna siku tulikuwa tunataka nyama rafiki angu mmoja ndio akasema hapo wana nyama nzuri. Ptuuuuuu,Hamna lolote. Kiclub chao kidogooooo. Nilivoingia mpaka nilijisikia kutapika,kunanuka jasho za kila aina. Maana Ac chache watu kibao..
Aqkhuuu. Sio makazi yangu huko mwenye starehe kwa kweli.
 
Ghkaaaa. Unadhani micasa ni kiwanja changu mie??? Wala,kuna siku tulikuwa tunataka nyama rafiki angu mmoja ndio akasema hapo wana nyama nzuri. Ptuuuuuu,Hamna lolote. Kiclub chao kidogooooo. Nilivoingia mpaka nilijisikia kutapika,kunanuka jasho za kila aina. Maana Ac chache watu kibao..
Aqkhuuu. Sio makazi yangu huko mwenye starehe kwa kweli.
Hahahaha
 
Back
Top Bottom