chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,450
- 1,751
Kula nini KE au?karibuni kula wadau
Kula nini KE au?karibuni kula wadau
ke huwa znaliwa kt yaKula nini KE au?
kama kawaida mkuu, wengine hii ndio mida ya kupitia pitia yanayoendelea duniani maana mchana ni kukimbizana kutafuta greaseWanakuja, huu uzi ni zaidi ya kahawa.. Usingizi badae sana.
Mpaka afute mawazo ya kukurupua kibendi nilichompaHuo Umugabe.. Achia madaraka ya simu.
Mchana tunalegeza vyuma usiku tunakeshakama kawaida mkuu, wengine hii ndio mida ya kupitia pitia yanayoendelea duniani maana mchana ni kukimbizana kutafuta grease

Si kwelike huwa znaliwa kt ya
saa 3 mpk 6 ucku
sana mkuu,Mchana tunalegeza vyuma usiku tunakesha![]()
![]()
Umekereka nini?Jamani wale wa Dar hivi mnaishi je? Yaani nilikuwa huko siku saba lakini siku ya Jumatatu nimekereka balaa
Ma traffic wenu yaani wananjaa. Mmijitu unaifahamisha lakini hailewi. Inabaki kukupotezea mdaUmekereka nini?
Nfivyo walivyo. Wanakupotezea muda. Kukwandikia faini hawataki wala kupokea rushwa hawataki! Sijui wanataka nini......Ma traffic wenu yaani wananjaa. Mmijitu unaifahamisha lakini hailewi. Inabaki kukupotezea mda
Mimi!Nani yupo macho mida hii