Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
[emoji15] [emoji15] [emoji42] [emoji42] [emoji125] [emoji125]Me ni mtumishi hujakosea
[emoji15] [emoji15] [emoji42] [emoji42] [emoji125] [emoji125]Me ni mtumishi hujakosea
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]nitakupa fursaaaSingle. Kuna fursa nini
[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]Naanzaje kuogopa mtu hajui kupet mtoto mzur. Apa natafuta siku nikukabidhi thread kabisa.
Itakuwa ni jambo la kheri.[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]nitakupa fursaaa
Ewaah, ila angalia usiwe hoi sana ukapitiliza mshiki[emoji85] [emoji125]Uaminifu wake na confidence alizonazo kwangu zinanimalizaga najikuta Niko tu hoi
Mungu awe nawe katika utumishi uliotukuka.. Ukipata muda nipe neno pm.. Ila usimuambie shemeji.. Lol [emoji85]Me ni mtumishi hujakosea
Ukimaliza muambie aje anifundishe na mimi.Nimemfundisha chumbani
Asante msacha oko mkundeEwaah, ila angalia usiwe hoi sana ukapitiliza mshiki[emoji85] [emoji125]
Cc dingimtotoMungu awe nawe katika utumishi uliotukuka.. Ukipata muda nipe neno pm.. Ila usimuambie shemeji.. Lol [emoji85]
Wapendwa wangu, nawapenda sana ila naomba niwakimbie [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125],
Mungu awasimamie mkeshe salama. Asanteh kwa muda wenu nimefurah kuwa nanyi kimazo kifikra usiku huu wa manane. Kila la kheri, kwaherini nyote. [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji137]
Usiku mwema. Ubarikiwe, uwe na siku njemaWapendwa wangu, nawapenda sana ila naomba niwakimbie [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125],
Mungu awasimamie mkeshe salama. Asanteh kwa muda wenu nimefurah kuwa nanyi kimazo kifikra usiku huu wa manane. Kila la kheri, kwaherini nyote. [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji137]
Nimeireport hii comment ifutwe. [emoji12]
HahahaaNimeireport hii comment ifutwe. [emoji12]
Sweetie huyo no mchoraji maarufu humu jf wa cartoon aliwahi kijichora nikaona.Umejuaje anarembuaga dady
[emoji39] [emoji39]
Unaniachaje? Nakuja pm [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wapendwa wangu, nawapenda sana ila naomba niwakimbie [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125],
Mungu awasimamie mkeshe salama. Asanteh kwa muda wenu nimefurah kuwa nanyi kimazo kifikra usiku huu wa manane. Kila la kheri, kwaherini nyote. [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji137]
Uwe na usiku mnono jirani wa dunia.Wapendwa wangu, nawapenda sana ila naomba niwakimbie [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125],
Mungu awasimamie mkeshe salama. Asanteh kwa muda wenu nimefurah kuwa nanyi kimazo kifikra usiku huu wa manane. Kila la kheri, kwaherini nyote. [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji137]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125]Sweetie huyo no mchoraji maarufu humu jf wa cartoon aliwahi kijichora nikaona.
Kuna kingine love