EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Republican is all about prideTrump anairudisha marekani kuwa kama ule wakati wa Bush kuchochea vita.Huyu rais kichwa chake sjui kinapataga moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Republican is all about prideTrump anairudisha marekani kuwa kama ule wakati wa Bush kuchochea vita.Huyu rais kichwa chake sjui kinapataga moto
Hukumbuki maandama yaliyo sambaratishwa KWA mkono WA chuma NA kassim selemani NA ayatola?Watu wa Iran hawako upande wa Iran kwenye huu mzozo?
Hujui unachoandika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Odds za Iran zinapanda kwa kasi mkuu..Najilipua na laki tano naweka GG najua lazima itoe odds 2.2Jamani kwan vita lini?? Na channel gan wataonesha..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Pole sana kijana.Huijui Afghanistan?
Huijui Pakistan?
Hujui zilivyopigwa kwa kisingizio cha kumficha Osama?
Usianze kujisifia tu dadangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Una undugu na Pdidy?Vita ya tatu ya dunia lazima itatokea itachukua muda mrefu lakini itatokea, nimewahi, nitapigwa na natarajia kupigwa Bann .nauhakika nikiapa.ndisha mada ya kitimoto na kambale bia .na ua....ahhhh sijui mkate divai na wine kama chanzo tena bann nitapatiwa.
Sio kama uzee una umuhimu sana kwa mwanadamu ndiyo ni sawa japo sio muhimu kwa zaidi ya uzeenii
Kama hujaelewa nitaipandisha hii mada vizuri lile jukwaa la UFUNUO ambapo mim sio member ila mada itapelekwa kule bila muanzilishi kuweza kuona comments na kutoa na kupokea maoni mbadala.
Sent using Jamii Forums mobile app
رهبر انقلاب: گفتم آقاجان! بزنید میخورید/ ممکنه ضربه هم بزنند اما چند برابر ضربه میخورندIran has again warned regional dictators
If any country in Persian Gulf - #UAE #SaudiArabia and others allow US military installations to be used in any attack on Iran THOSE REGIMES WILL BE ENDED - They must pull back now
- Prof Mohamad Marandi
#AxisOfResistance #IranAttacks Nardeep Pujji on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahau icho kitu mzee.Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Kwani Russia na China wana uwezo wowote wa kupambana na marekani?Naona sasa wameamua kutupeleka WW3, IRAN imelipiza kisasi kwa kuvurumusha makombora ya masafa mafupi nchini Iraq dhidi ya Jambi mbili za kijeshi za Marekan zinazohifadhi wanajeshi za NATO..
Kwa ufupi, US na NATO ndio walichokua wanataka.
Russia na China ,hawawez acha Uwekezaji wao nchin Iran uende mikonon mwa NATO...
Jinsi wamarekani walivyo na kharisa kwa kulipuliwa kwa ile drone yao tegemea hao vinyampara wa Iran kuchezea kichapo..Halafu vita dhidi ya Iran havitakua vya kawaida maana kule mamilioni Wa-Iran wenyewe ni full mzuka na mihemko, hivho Marekani hatopigana akiwa na nia ya kuwakomboa dhidi ya utawala, kwa kifupi hapeleki 'demokrasia' kama afavyo kwenye mataifa mengine, hii itakua vita baina ya Marekani na Iran, tofauti na ile ya hapo Iraq ambayo ilikua baina ya Marekani na Saddam.
Tegemea mamilioni wa Iran kujiunga kwenye ugomvi wakielekea Iraq kuliko wanajeshi wa Marekani, kwa hivyo firepower atakayotumia Marekani ni 'carpet bombing', yajayo yamekaa ovyoo kishenzi, hawa wanataka kutuharibia kadunia ketu haka.
Bado sana ..kuna mwaka 3000 uko..SAFI ..NA HUU NDIO UKWELI...
Mimi sio mtalaamu sana wa Maandiko na Tabiri, Ila katika kujifunza ,
Inaonyesha tupo Juma LA Mwisho la kuishi kwa Mwanadamu.
Hesabu hazidanganyi.
Kw hiyo nini kitatokea kutokana na utabiri wako mtaalamuHapana sio kama wiki kama wiki ya kawaida, huu ni muda wa kiunabii, ambao siku moja nisawa na Mwaka mmoja.
Hapa kuna majuma 70 ..... Yakagawanya ktk majuma 69 ya kwanza..na Juma LA mwisho linaloitmisha 70..
Ni somo refu Mkuu ...mpaka nitulie nikueleze kwa ufasaha.
Ila nimambo ambayo ukiyajua , ukasoma Biblia vzuri, huwez shangaa nakinachoendelea leo Duniani.