iraq

Iraq (, (listen) or ; Arabic: ٱلْعِرَاق‎, al-ʿirāq; Kurdish: عێراق‎ Êraq), officially the Republic of Iraq (Arabic: جُمْهُورِيَّة ٱلْعِرَاق‎ Jumhūrīyah al-ʿirāq; Kurdish: کۆماری عێراق‎ Komarî Êraq), is a country in Western Asia, bordered by Turkey to the north, Iran to the east, Kuwait to the southeast, Saudi Arabia to the south, Jordan to the southwest and Syria to the west. The capital, and largest city, is Baghdad. Iraq is home to diverse ethnic groups including Arabs, Kurds, Chaldeans, Assyrians, Turkmen, Shabakis, Yazidis, Armenians, Mandeans, Circassians and Kawliya. Around 99% of the country's 38 million citizens are Muslims, with tiny minorities of Christians, Yarsans, Yezidis and Mandeans also present. The official languages of Iraq are Arabic and Kurdish.
Iraq has a coastline measuring 58 km (36 miles) on the northern Persian Gulf and encompasses the Mesopotamian Alluvial Plain, the northwestern end of the Zagros mountain range and the eastern part of the Syrian Desert. Two major rivers, the Tigris and Euphrates, run south through Iraq and into the Shatt al-Arab near the Persian Gulf. These rivers provide Iraq with significant amounts of fertile land.
The region between the Tigris and Euphrates rivers, historically known as Mesopotamia, is often referred to as the cradle of civilisation. It was here that mankind first began to read, write, create laws and live in cities under an organised government—notably Uruk, from which "Iraq" is derived. The area has been home to successive civilisations since the 6th millennium BC. Iraq was the centre of the Akkadian, Sumerian, Assyrian, Chaldean Empire, and Babylonian empires. It was also part of the Median, Achaemenid, Hellenistic, Parthian, Sassanid, Roman, Rashidun, Umayyad, Abbasid, Ayyubid, Seljuk, Mongol, Timurid, Safavid, Afsharid and Ottoman empires.The country today known as Iraq was a region of the Ottoman Empire until the partition of the Ottoman Empire in the 20th century. It was made up of three provinces, called vilayets in the Ottoman language: Mosul Vilayet, Baghdad Vilayet, and Basra Vilayet. In April 1920 the British Mandate of Mesopotamia was created under the authority of the League of Nations. A British-backed monarchy joining these vilayets into one Kingdom was established in 1921 under Faisal I of Iraq. The Hashemite Kingdom of Iraq gained independence from the UK in 1932. In 1958, the monarchy was overthrown and the Iraqi Republic created. Iraq was controlled by the Arab Socialist Ba'ath Party from 1968 until 2003. After an invasion by the United States and its allies in 2003, Saddam Hussein's Ba'ath Party was removed from power, and multi-party parliamentary elections were held in 2005. The US presence in Iraq ended in 2011, but the Iraqi insurgency continued and intensified as fighters from the Syrian Civil War spilled into the country. Out of the insurgency came a highly destructive group calling itself ISIL, which took large parts of the north and west. It has since been largely defeated. Disputes over the sovereignty of Kurdistan Region continue. A referendum about the full sovereignty of Kurdistan Region was held on 25 September 2017. On 9 December 2017, then-Iraqi Prime Minister Haider al-Abadi declared victory over ISIL after the group lost its territory in Iraq.Iraq is a federal parliamentary republic consisting of 19 governorates (provinces) and one autonomous region (Kurdistan Region). The country's official religion is Islam. Culturally, Iraq has a very rich heritage and celebrates the achievements of its past in both pre-Islamic as well as post-Islamic times and is known for its poets. Its painters and sculptors are among the best in the Arab world, some of them being world-class as well as producing fine handicrafts, including rugs and carpets. Iraq is a founding member of the UN as well as of the Arab League, OIC, Non-Aligned Movement and the IMF.

View More On Wikipedia.org
  1. Alwaz

    Bandari ya Eliat ya Israel yashambuliwa kutokea Iraq

    Bandari ya Israel ya kusini ambayo iko kwenye bahari nyekundu imeshambuliwa kutokea upande wa mashariki. Kikundi cha kivita ndani ya Iraq kimetoa tangazo la kuhusika na shambulia hilo ikisema ilipiga jengo muhimu walilolikusudia. Bandari hiyo ambayo kwa sasa iko karibu kufungwa kutokana na...
  2. BAKIIF Islamic

    Jamaa aliyechoma Qur'ani Tukufu Salwan Momika, amekutwa amekufa nchini Norway

    Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani. Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu. Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama...
  3. FaizaFoxy

    Exclusive-Militia wa Iraq waonya wanajeshi wa Marekani wataondoka 'katika majeneza' ikiwa Biden hatajiondoa

    Kiongozi wa wanamgambo wa Iraq wanaoshiriki katika muungano wa makundi ambayo yamefanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani na Israel ameiambia Newsweek kuwa vikosi vyake viko tayari kuongeza kampeni zao kwa kiasi kikubwa ikiwa Rais Joe Biden hatatimiza matakwa yao. Kwa mujibu wa Sheikh...
  4. Suley2019

    KWELI 1990 Muhamed Ali alikwenda Iraq kuwakomboa mateka wa Marekani kwa kufanya mazungumzo na Sadam Hussein

    Salaam Wakuu, Nimekutana na stori mtaani zinadai kwamba mnamo mwaka 1990 Bondia Maarufu Muhamedi Ali alienda nchini Iraq kuzungumza na rais wa nchi hiyo wakati huo Sadam Hussein kuwaachia mateka wa Marekani na kufanikiwa. Je, kuna ukweli wowote kuhusu sakata hili? Tunaombeni ufafanuzi...
  5. 2 of Amerikaz most wanted

    1990 Muhammad Ali saved the lives of 15 U.S hostages in Iraq by going there and negotiating with Saddam Hussein by himself

    Ignoring warnings from the government and his family. --- Of all the legendary wins in Muhammad Ali’s life, few are as little known as the one he pulled off exactly 25 years ago today: Defying the odds and the American government, Ali traveled to Iraq, where 15 Americans were being held hostage...
  6. Teslarati

    Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

    Mimi ni mkristu ila kuna muda inabidi ukweli usemwe. Leo nimekaa nikakumbuka trip yangu ya kwanza Dubai, kuna protocols nilivunja ila wahusika pale (waarabu) wakaniita ofisini kwao kwanza nikaulizwa kama nimekula, nikapelekwa kula kisha ndo wakanikalisha chini kunielekeza. Overall experience...
  7. Ritz

    Marekani kuondoka Iraq na Syria ndani ya siku 90

    Wanaukumbi. Marekani kuondoka Iraq na Syria ndani ya siku 90 Marekani inajiandaa kuondoa vikosi vyake vyote au sehemu yake kutoka Iraq na Syria ili kukabiliana na ongezeko la mashambulizi ya vikosi vya upinzani vya Iraq, kwa mujibu wa maafisa wakuu wa Marekani. Bunge la Iraq kwa sasa...
  8. MK254

    Marekani wamuua kamanda wa Kataib Hezbollah

    Kawahishwa kwa mabikira, ni mojawapo wa makundi yanayofadhiliwa na Iran. =========== A commander from Kataib Hezbollah, an Iran-backed armed group in Iraq that the Pentagon has blamed for attacking its troops, was killed in a US strike on Wednesday, the US military said. "(US) forces...
  9. B

    Pentagon ya Marekani yaanzisha mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Syria, Iraq baada ya vifo vya wanajeshi

    PENTAGON : MAREKANI YAANZA MASHAMBULUZI YA KULIPA KISASI KWA KUPIGA NGOME ZA VIBARAKA WA IRAN NCHINI IRAQ NA SYRIA. SPECIAL REPORT https://m.youtube.com/watch?v=ckOSPG_A8AI Marekani yashambulia mgambo vikaragosi vya Iran ambao walishambulia ngome ya askari wa Marekani nchini Jordan na...
  10. Nsanzagee

    Iran anachokifanya kwa nchi za Iraq na Pakistan, ni unafiki kusema kuna umoja wa nchi za Kiislamu

    Ujinga tupu kama nchi yako ikajiunga na kuwa miongoni mwa nchi za Kiislam! Aliyeikataa OIC nchini petu Tanzania, apewe mauwa yake. Kinachofanyika na kufanywa na nchi ya Kiislamu IRAN kwa nchi za kiisilamu nyenzake, ni uhuni na ulimbukeni kuendelea kuamini kwamba hili nalo ni taifa linalounga...
  11. Joyboy

    Mashambulizi ya Iran huko Iraq yamuua mmoja kati ya matajiri wakubwa wa Iraq

    BREAKING; Islamic regime ya Iran usiku wa kuamkia leo ilimuua mmoja wa watu tajiri zaidi wa Iraq, Peshraw Dizayee, kwa kurusha makombora 2 ya ballistic from Iran hadi nyumbani kwake huko Erbil, Iraq. Mkewe na jamaa wengine 2 pia waliuawa. Alilengwa kwa sababu ya kuwezesha biashara na Israel...
  12. Alwaz

    Ubalozi wa Marekani Iraq wapigwa kwa makombora 7. Matano mengine kwenye vikosi vyake Syria

    Mapema jana Ijumaa jumla ya Makombora saba yalirushwa na kufanikiwa kuingia ndani ya ubalozi wa Marekani nchini Iraq. Ubalozi huo daima huwa unalindwa na mifumo mbali mbali ya ulinzi ambayo imewekwa kwenye hali ya tahadhari, hata hivyo hikuwezekana kuyazuia makombora hayo kutua ndani ya ubalozi...
  13. Alwaz

    Yemen na Iraq waionya Marekani kuiunga mkono Israel. Watalenga maslahi yao

    Huku viongozi wa Marekani wakitoa matamko ya wazi ya utayari wao kuisaidia silaha zaidi Israel na kivitendo imeshasogeza meli za kivita kwenye bahari ya mediteranean karibu na Israel.. Viongozi wakubwa wa mataifa ya Yemen na Iraq wameionya Marekani dhidi ya uingiliaji kati wake huo. Huko Iraq...
  14. JanguKamaJangu

    Iraq: Moto waua Watu 100 harusini

    Mbali na Watu 100 kupoteza maisha wengine 150 wamejeruhiwa baada ya moto kuzuka wakati wa sherehe ukumbini katika Wilaya ya Al-Hamdaniya, Mji wa Nineveh. Chanzo halisi cha moto huo hakijabainika japokuwa taarifa za awali inadaiwa ni ulitokana na fataki kuwashwa eneo la tukio. Bibi harusi na...
  15. BARD AI

    Iraq yaifungia Telegram Kwa madai ya kuhatarisha 'Usalama wa Taifa'

    Serikali ya Iraq leo Agosti 6, 2023 imetangaza kuwa inasitisha matumizi ya mtandao wa kijamii wa Telegram kote nchini kwa misingi ya kulinda "usalama wa taifa", hali iliyosababisha ukosoaji kutoka kwa vituo vilivyo karibu na mirengo inayoiunga mkono Iran. Huduma hiyo imezuiwa leo ambapo...
  16. T

    Iraq: Ubalozi wa Sweden umefungwa sababu ya uchomaji wa Quran nchini Sweden.

    Ubalozi wa Sweden nchini Iraq umefungwa na balozi wa Sweden amefukuzwa nchini Iraq. Sweden imefunga ubalozi huo baada ya waandamanaji kuuchoma moto kwa sababu ya tukio la kuchana chana na kupiga teke Quran lililofanyika nchini Sweden siku ya Alhamisi. Sweden imesema inalaani kitendo cha...
  17. Zacht

    Hivi ndivyo Marekani alivyoiharibu Iraq

    Ni miaka 20 imepita sasa tangu marekani aivamie Iraq kwa kile kinachosemekana Saddam Hussein alikuwa anamiliki silaha hatari za maangamizi ,anafadhili magaidi pia alikuwa anatesa raia wake, hivyo marekani kwa kibali Cha UN ikafanya kitu alichokuwa anakitamani kwa muda mrefu. Mambo yalianzaje...
  18. Richard

    Leo ni miaka 20 imepita tangu Marekani na Uingereza waivamie Iraq na kuivunja nchi hiyo mazima. Je, wataweza kuivunja Urusi vipande vipande?

    Miaka 20 ilopita, Marekani na washirika wake akiwemo Uingereza waliivamia nchi ya Iraq baada ya kushindwa kulishawishi baraza la usalama la Umoja wa Mataifa. Marekani na Uingereza walishindwa kulishawishi baraza la usalama la umoja wa mataifa kuweka azimio au "resolution" la kuwawezesha kuwa na...
  19. BARD AI

    Mtanzania adai kuteswa Iraq, alienda kufanya kazi

    Upande wa mashtaka katika kesi ya kusafirisha binadamu inayomkabili Mohamed Masoli umedai mlalamikaji (jina limehifadhiwa) baada ya kufika nchini Iraq kwa ajili ya kufanya kazi za ndani aliteswa na bosi wake, ikiwemo kuingiliwa kimwili na wanaume zaidi ya wawili kwa wakati mmoja. Hayo...
  20. JanguKamaJangu

    Iraq: Askari Polisi 9 wauawa kwa bomu na shambulizi la risasi

    Tukio hilo limetokea Kaskazini mwa Iran karibu na Mji wa Kirkuk ikidaiwa Kundi la IS limehusika. Bomu lililipuka kwenye gari lililobeba askari hao karibu na Kijiji cha Chalal al-Matar, kisha wakashambuliwa kwa risasi, askari wengine wawili wakijeruhiwa. Inakadiriwa kikundi hicho kina...
Back
Top Bottom