Zito anatuchanganya sana haeleweki yaani mimi mwenyewe najiuliza kwanini sasa hv yupo kimya sana hata vita ile yooooote ya mafisadi ameiacha kabisa yaani hasikiki nadhani hapa kuna mkono wa kifisadi
mmmmmhhhhh. Mauza uza!!!
Zito anatuchanganya sana haeleweki yaani mimi mwenyewe najiuliza kwanini sasa hv yupo kimya sana hata vita ile yooooote ya mafisadi ameiacha kabisa yaani hasikiki nadhani hapa kuna mkono wa kifisadi
nakuhakikishia huyu mtu akichunguzwa sana lazima one of his great-grand dad/mum atakuwa mcongoman, wabongo original hatuna hizi tabia za ukigeu geu just soon after watu kukuaminia hivyo. Mfano e.sokoine-rip,h.kolimba-rip.
watch this space
Sometimes silence means uncalculated wisdom.Zito anatuchanganya sana haeleweki yaani mimi mwenyewe najiuliza kwanini sasa hv yupo kimya sana hata vita ile yooooote ya mafisadi ameiacha kabisa yaani hasikiki nadhani hapa kuna mkono wa kifisadi
Hakuna mtu mwenye akili timamu aliyewaamini CCM,Kwa hiyo CCM tuliwaamini wametutosa wote ni Waconngo!!!
Mkapa tulimuamini akatufisadi, kumbe naye ni mcongo??
Kikwete tulimuamini ametutosa kumbe naye ni mcongo???
List goes on..........!!!!
Watanzania ndvyo tulivyo, period!!!!!!!!
"and sometimes silence means u agree with what is said".sometimes silence means uncalculated wisdom.
hakuna ishu ingine jamani??? Gezaulole vipi???hapa patamu Zitto huyu huyu kwenye facebook yake aliweka link ya mahojiano na VOA kwamba ahami na leo ameweka habari yenye ushabukuku na mipasho sasa sijui inailenga Chadema au CCM lakini sidhani kama ni CCM kwa jinsi ule ujumbe ulivyokaa nathani ni Chadema! Mungu atamlaani huyu kijana kama sababu ni madaraka tu na ikiwa aliyataka huku akijua fika anaenda kusoma Ujerumani nashindwa kuelewa angetumikia vipi na hata kama alishindwa kuyapata ni kutokana na uzababina wake hawezi kutaka kugombea uenyekiti wakati ametoka jana yake kukingia kifua ufisadi wa Dowans na baada ya kukanywa na viongozi wake anakuja juu hataki kushirikiana nao hawasiliani nao wakati yeye ni kiongozi! then ghafla bin vu anachukua fomu ati anagombea uenyekiti! Hamadi lazma watu washtuke ghafla kulikoni? agenda ni nini?
Wewe Zitto ungekuwa mzalendo wa kweli wa nchi hii na mwenye mapendo ya dhati na Chadema usingeghathirika namna hii ukiangalia ni kijana mdogo wa miaka 33 una miaka mingi tu mbeleni kuwa Mwenyekiti! Kwa akili zako fupi namna hii unazoonyesha sasa unathihirisha ya kuwa hukupaswa kupata huo Uenyekiti haswa kipindi hiki chenye kila aina ya mafisi wakitaka kukimong'onyoa chama! Kaka ufike salama uendako!