Imagine ZITTO anahama CHADEMA

Imagine ZITTO anahama CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Ninyi wana jf mnachanganya sana! Kikubwa nilichogundua toka kwenu wengi hamchambui hoja bali mnajitahidi kuangalia anayesema ANA MLENGO upi ukiwa wa kushoto mna mpinga hata kama ana hoja ya msingi, ambayo inatakiwa kujadiliwa bila kujali aliyesema ni nani na ni wa mrengo gani? Hivi kweli leo tunamlaumu zito namna hivyo kana kwamba anapoingia kwenye siasa tulimshauri. Watu wanaenda mbali eti kahongwa na nani ccm? Baada ya kukataliwa kugombea uenyekiti sababu ya umri! Basi kama kweli yeye ni mdogo kiumri wajumbe wote siwanajua hilo au umri wa zito ilikuwa siri? wangemuacha wajumbe waamue zito asingekuwa na kinyongo nao.kujaribu kujitafuta sababu za maamuzi ya mtu binafsi ni kujibana kufikiri kama alivyo amua kugombea ubunge pia anaweza kuamua kuacha kulingana na utashi wake asilaumiwe
ALIYEPOST HII THREAD NAFIKIRI HATOFAUTIANI AU AMETAFUTA REFFERENCE NA KUMODIFY ILE THREAD YA SHY "KWA NINI SIMUAMINI ZITTO KABWE" Ambayo inadaiwa alidesa kwa gazeti la Rai ilipingwa sana lakini ajabu leo sababu mtu mwingine kwa staili tofauti kitu kile kile watu mnasapoti
ila HUMPINGWI NI MAWAZO NA NI MTIZAMO WENU.
 
Ninyi wana jf mnachanganya sana! Kikubwa nilichogundua toka kwenu wengi hamchambui hoja bali mnajitahidi kuangalia anayesema ANA MLENGO upi ukiwa wa kushoto mna mpinga hata kama ana hoja ya msingi, ambayo inatakiwa kujadiliwa bila kujali aliyesema ni nani na ni wa mrengo gani? Hivi kweli leo tunamlaumu zito namna hivyo kana kwamba anapoingia kwenye siasa tulimshauri. Watu wanaenda mbali eti kahongwa na nani ccm? Baada ya kukataliwa kugombea uenyekiti sababu ya umri! Basi kama kweli yeye ni mdogo kiumri wajumbe wote siwanajua hilo au umri wa zito ilikuwa siri? wangemuacha wajumbe waamue zito asingekuwa na kinyongo nao.kujaribu kujitafuta sababu za maamuzi ya mtu binafsi ni kujibana kufikiri kama alivyo amua kugombea ubunge pia anaweza kuamua kuacha kulingana na utashi wake asilaumiwe
ALIYEPOST HII THREAD NAFIKIRI HATOFAUTIANI AU AMETAFUTA REFFERENCE NA KUMODIFY ILE THREAD YA SHY "KWA NINI SIMUAMINI ZITTO KABWE" Ambayo inadaiwa alidesa kwa gazeti la Rai ilipingwa sana lakini ajabu leo sababu mtu mwingine kwa staili tofauti kitu kile kile watu mnasapoti
ila HUMPINGWI NI MAWAZO NA NI MTIZAMO WENU. Na kamwe mungu halaani kizembe hivyo mtalaaniwa ninyi na roho zenu mbaya za kuwafukuza na kuwatukana watu ZITTO LEO MCONGO AM REALY SORRY WATANZANIA MNASAHAU HARAKA SANA!
 
Ninyi wana jf mnachanganya sana! Kikubwa nilichogundua toka kwenu wengi hamchambui hoja bali mnajitahidi kuangalia anayesema ANA MLENGO upi ukiwa wa kushoto mna mpinga hata kama ana hoja ya msingi, ambayo inatakiwa kujadiliwa bila kujali aliyesema ni nani na ni wa mrengo gani? Hivi kweli leo tunamlaumu zito namna hivyo kana kwamba anapoingia kwenye siasa tulimshauri. Watu wanaenda mbali eti kahongwa na nani ccm? Baada ya kukataliwa kugombea uenyekiti sababu ya umri! Basi kama kweli yeye ni mdogo kiumri wajumbe wote siwanajua hilo au umri wa zito ilikuwa siri? wangemuacha wajumbe waamue zito asingekuwa na kinyongo nao.kujaribu kujitafuta sababu za maamuzi ya mtu binafsi ni kujibana kufikiri kama alivyo amua kugombea ubunge pia anaweza kuamua kuacha kulingana na utashi wake asilaumiwe
ALIYEPOST HII THREAD NAFIKIRI HATOFAUTIANI AU AMETAFUTA REFFERENCE NA KUMODIFY ILE THREAD YA SHY "KWA NINI SIMUAMINI ZITTO KABWE" Ambayo inadaiwa alidesa kwa gazeti la Rai ilipingwa sana lakini ajabu leo sababu mtu mwingine kwa staili tofauti kitu kile kile watu mnasapoti
ila HUMPINGWI NI MAWAZO NA NI MTIZAMO WENU. Na kamwe mungu halaani kizembe hivyo mtalaaniwa ninyi na roho zenu mbaya za kuwafukuza na kuwatukana watu ZITTO LEO MCONGO AM REALY SORRY WATANZANIA MNASAHAU HARAKA SANA!

Umesema ukweli kaka/dada!
 
Mnamuonea mpiganaji wetu!!! Sijui amewafanyia nini?🙁
 
Kiasi nadhani sasa tumpe Zitto nafasi . Kuna mtu hapa ana chuki binafsi na Zitto . Kila nikisoma ma badindiko yake ni maneno mazito dhidi ya Zitto. Zitto kesha ambiwa hapa JF , Zitto kesha ambiwa na ndugu zake , Zitto anaijua Tanzania na anajua jinsi anavyo heshimiwa kwa kuwa anaongea yale yanayo wakera Watazania . Zitto anajua hajawa maarufu kwa kuwa yuko Chadema pekee bali kwa kupitia jukwaa la Chadema amesimamia haki na ana heshimika mno . Ulinzi wa Zitto uko kwa Mungu na kila Mtanzania mzalendo haya yote anayajua . Tupunguze kumshambulia kijana huyu . Tutafute muda wa kuongea naye aseme mawazo yake na tumshauri badaka ya kumshambulia .Kumzulia maneno kunafanya awaze mbaya na mbali . Kusema maneno kila siku inaonekana ni Chadema wanampinga Zitto kupitia JF na kumfanya ajione kama hatakiwi Chadema . Tuacheni hii tabia and give this young a break . Zitto hajasema anahama Chadema , hajatamka hata mara moja . Zitto anajua kusaliti umma kuna gharama zake mbele za watu kwenye jukwaa la Siasa na hata mitaani . Tunamzulia mengi na tuache kuichanganya Chadema kwa kuchochea ujinga hapa jukwaani .Tuwape nafasi wamalize matatizoi yao na waendelee na kazi ya Ukombozi . Chadema si malaika maana hata katika Biblia tunaona malaika walipata makundi mara akina Lucifer wakawepo . Tunajua hadithi ya Mnara wa babeli na Lugha za Dunia . Chadema ni watu wanajua kwamba matumaini ya Watanzania yako nyuma yao kama watu na Chama . Please mwacheni Zitto sasa .Amesha sikia ataamua mwenyewe .
Kaka yangu sisi wote tunampenda sana Zitto ndio maana tunaona kuwa ametusaliti na sasa haeleweki kabisa na pia to be honest man alikuwa kama model ya vijana wengi sana hapa Tanzania na pia anafahamu kabisa kiundani jinsi gani watu walivyompenda toka rohoni sana, Jua kuwa siasa za Tanzania ukicheza kidogo basi ndio watu watapoteza uaminifu wako kwa wote na je inakuaje katika mambo kama haya yeye abaki kimnya sana?? Je anasikia au vipi, Kaka yangu Zitto uje basi
 
hapa patamu Zitto huyu huyu kwenye facebook yake aliweka link ya mahojiano na VOA kwamba ahami na leo ameweka habari yenye ushabukuku na mipasho sasa sijui inailenga Chadema au CCM lakini sidhani kama ni CCM kwa jinsi ule ujumbe ulivyokaa nathani ni Chadema! Mungu atamlaani huyu kijana kama sababu ni madaraka tu na ikiwa aliyataka huku akijua fika anaenda kusoma Ujerumani nashindwa kuelewa angetumikia vipi na hata kama alishindwa kuyapata ni kutokana na uzababina wake hawezi kutaka kugombea uenyekiti wakati ametoka jana yake kukingia kifua ufisadi wa Dowans na baada ya kukanywa na viongozi wake anakuja juu hataki kushirikiana nao hawasiliani nao wakati yeye ni kiongozi! then ghafla bin vu anachukua fomu ati anagombea uenyekiti! Hamadi lazma watu washtuke ghafla kulikoni? agenda ni nini?

Wewe Zitto ungekuwa mzalendo wa kweli wa nchi hii na mwenye mapendo ya dhati na Chadema usingeghathirika namna hii ukiangalia ni kijana mdogo wa miaka 33 una miaka mingi tu mbeleni kuwa Mwenyekiti! Kwa akili zako fupi namna hii unazoonyesha sasa unathihirisha ya kuwa hukupaswa kupata huo Uenyekiti haswa kipindi hiki chenye kila aina ya mafisi wakitaka kukimong'onyoa chama! Kaka ufike salama uendako!

Inaonekana hujaielewa article na wala hujaelewa ni nani ameandika na kwanini? Ni vizuri kusoma vizuri kitu kabla ya kutoa comment. manake unaweza kuwa unacomment irrelevant thing. By the way Zitto hana sababu ya kuwa Mzalendo kwa CHADEMA, bali kwa watanzania. Na hao CHADEMA na gazeti lao too much kumsakama Zitto sasa. Hivi hawana story zingine? Juzi, Mkumbo ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA katuambia Zitto chart yake imepanda, leo tena wanaibuka na gazeti lao, Zitto anawasaliti. Kama mmemchoka mmwache. Kila siku kelele, kelele. Tumechoka bwana! Kama mnamdai semeni ni nini mnachomdai awalipe. Too much!
 
Ninyi wana jf mnachanganya sana! Kikubwa nilichogundua toka kwenu wengi hamchambui hoja bali mnajitahidi kuangalia anayesema ANA MLENGO upi ukiwa wa kushoto mna mpinga hata kama ana hoja ya msingi, ambayo inatakiwa kujadiliwa bila kujali aliyesema ni nani na ni wa mrengo gani? Hivi kweli leo tunamlaumu zito namna hivyo kana kwamba anapoingia kwenye siasa tulimshauri. Watu wanaenda mbali eti kahongwa na nani ccm? Baada ya kukataliwa kugombea uenyekiti sababu ya umri! Basi kama kweli yeye ni mdogo kiumri wajumbe wote siwanajua hilo au umri wa zito ilikuwa siri? wangemuacha wajumbe waamue zito asingekuwa na kinyongo nao.kujaribu kujitafuta sababu za maamuzi ya mtu binafsi ni kujibana kufikiri kama alivyo amua kugombea ubunge pia anaweza kuamua kuacha kulingana na utashi wake asilaumiwe
ALIYEPOST HII THREAD NAFIKIRI HATOFAUTIANI AU AMETAFUTA REFFERENCE NA KUMODIFY ILE THREAD YA SHY "KWA NINI SIMUAMINI ZITTO KABWE" Ambayo inadaiwa alidesa kwa gazeti la Rai ilipingwa sana lakini ajabu leo sababu mtu mwingine kwa staili tofauti kitu kile kile watu mnasapoti
ila HUMPINGWI NI MAWAZO NA NI MTIZAMO WENU. Na kamwe mungu halaani kizembe hivyo mtalaaniwa ninyi na roho zenu mbaya za kuwafukuza na kuwatukana watu ZITTO LEO MCONGO AM REALY SORRY WATANZANIA MNASAHAU HARAKA SANA!

ACHENI UNAFIKI BANAAH...Alipoingia kwenye siasa na kuwa mbunge tayari ni public figure na watu wana haki ya kumjadili kwa kila kitu anachokifanya ebooo!!!kwanini wabongo mnapenda kuficha maradhi na UNAFIKI MWINGI????Hamuoni Tiger Woods anavyoumbuliwa huko???
Ukweli uwekwe hapa ...hamna unafiki banaah,aje hapa ajibu tuhuma tujifunze kutoka kwa wenzetu.Watu mnalinda linda ili iweje si ajibu mwenyewe.WHY AMECHANGE GHAFLA NA KUWA MLINZI WA DOWANS=UFISADI????
Hizi ni tabia za kicongoman banaaah!!!
 
Lazima siku zote tujue umaarufu unanunua nafsi ya mhusika. Kwa maana ukishakuwa maarufu kuna mambo mengine nafsi yako ungependa yawe tofauti lakini umaarufu wako unakulazimu kuwa tofauti na nafsi yako. Hili ndo tatizo Zitto hakulikumbuka mapema. Mungu amsaidie kuchukua hatua inayostahili.
 
Nilipoona wana CCM wanaanza kumuunga mkono Zitto, nikajua kuna jambo kubwa limetokea sirini, au laja.

Mara akasikika masatu akimwomba radhi Zitto. Hapo ikawa wazi kwangu kwamba Zitto will never be the same political figure under Chadema. Katika interview moja Zitto akasema Kikwete ni kiongozi wa mfano, hasa kwa habari ya uvumilivu; akiwa-sideline viongozi wa Chadema, chama chake. Mmmhhhh!

Pole pole mambo yanajidhihirisha.
 
Inaonekana hujaielewa article na wala hujaelewa ni nani ameandika na kwanini? Ni vizuri kusoma vizuri kitu kabla ya kutoa comment. manake unaweza kuwa unacomment irrelevant thing. By the way Zitto hana sababu ya kuwa Mzalendo kwa CHADEMA, bali kwa watanzania. Na hao CHADEMA na gazeti lao too much kumsakama Zitto sasa. Hivi hawana story zingine? Juzi, Mkumbo ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA katuambia Zitto chart yake imepanda, leo tena wanaibuka na gazeti lao, Zitto anawasaliti. Kama mmemchoka mmwache. Kila siku kelele, kelele. Tumechoka bwana! Kama mnamdai semeni ni nini mnachomdai awalipe. Too much!

You have missed the point kabisa na wewe kama Zitto atakusikiliza si msaada kwake wale kwa Tanzania . Hujui nini tunacho kitaka .Wanao msakamata Zitto ni Chadema ama waandishi wa habari ? Ina maana viongozi wa Chadema wanaenda magazetini na kusema mambo mabya dhidi ya Zitto ama wewe kwa kuwa unajua gazeti tu . Kwanza Chadema kama chama hawana gazeti ambalo mimi nalijua ila kuna mwana Chadema ana biashara yake ya gazeti .Now huyu mwana Chadema anatoka na kusema haya ama you are just fueling the fire ? Hatuwezi wote kuwaza kwa namna .

Nakubaliana na wale wanao lalamika kuona usaliti wa Zitto kwa Vijana na Taifa lakini naomba kwamba tumpe muda Zitto anasoma haya maandiko yetu anajua Watanzania sasa wako wapi . Acheni kumpa maneno ambayo si yake na kama kuna tuhuma wekeni hapa kwa uwazi acheni kusema hovyo na kuiharibu Chadema , mwacheni Zitto tena . Kila siku Zitto , Zitto ni nyie mnaibuka na maneno ya mitaani . Chadema kama Chama wamesema mara chache sana kuhusiana na Chadema . Sijamsikia Slaa ama Mbowe ana Kiongozi wa Chadema anamshambulia Zitto ila sisi maneno yetu na kuitumia vibaya JF .

Zitto wakatae hawa si marafiki ni wanafiki. Leo wanasema ulipe kama unadaiwa na Chadema ni ujinga. Zitto ni chadema si wa kuomba ni party of Chadema .Zitto kaa pia na fikiria sikiliza kilio cha wenye imani na matumaini nawe , jenga Chama chako jipe heshima sasa na hata siku ambazo uko wa maisha yako Duniani . Nakuombea kila jambo jema sana .Usome umalize urudi uendelee na OP Sangara . Yakatae maneno ya washahuri wabaya na hata kama unaonewa nk lakini kataa simamia watu watu simamia Nchi yako Tanzania .
 
Wakuu,
Haya yanatokea leo sio bahati mbaya ni mpango maalumu ilioaandaliwa tangu mwaka jana mwezi Desemba, na inasadikiwa unaratibiwa na Profesa mmoja wa chuo kikuu UDSM na mwingine mwenye shahada ya uzamivu toka hapo UDSM. Bahati mbaya au nzuri CHADEMA wamekuwa makini sana katika kushughulikia hii ishu ya Zitto, vinginevyo mambo makubwa yangekuwa yametokea kama Zitto mwenyewe alivyowahi kusema kuwa atafanya maamuzi magumu. Mpango huu unaratibiwa katika namna ambayo Zitto atapojitoa CHADEMA ionekane kuwa chama ndio kimemfanya ajitoe na sio yeye. Sasa CHADEMA hawajawa ''reactive enough'' vile mkakati ulivyotarajia, ndo maana kila siku linaibuka jambo jipya.

Tatizo jingine ndani ya CHADEMA kuna wanachama waandaamizi ambao hawakubaliani na mambo/uongozi wa makao makuu kimtaani nasema hawakubaliani na ''uchaga'' sasa hawa wamejipanga kumuunga mkono ZItto kwa gharama yoyote kisa tu anapambana na Mbowe, bila kujali kuwa athari za mpambano huo ni kubwa zaidi kwa Chama kuliko watu binafsi kama Mbowe, Slaa au Zitto mwenyewe.

Mimi najua mchezo unaondelea kwa vile nina rafiki yangu mmoja yupo karibu na jamaa wanaoratibu huo mpango, angalia posti zangu za nyuma kuhusu Zitto nilishaandika hapa siku nyingi sana kabla hata hajatangaza kugombea huo uenyeketi.

Nilishasema huko nyuma, kwa siasa za TZ huwezi kuwa mpinzani at the same time ukawa unaifurahisha serikali- haiwezekani kabisa. Kwa wale ambao mna mapenzi ya kweli na mageuzi TZ na mnapenda upinzani nawashauri ZITTO sio mtu wa kuwekeza imani na feelings zenu atawaumiza- subirini...............
 
Wakuu,
Haya yanatokea leo sio bahati mbaya ni mpango maalumu ilioaandaliwa tangu mwaka jana mwezi Desemba, na inasadikiwa unaratibiwa na Profesa mmoja wa chuo kikuu UDSM na mwingine mwenye shahada ya uzamivu toka hapo UDSM. Bahati mbaya au nzuri CHADEMA wamekuwa makini sana katika kushughulikia hii ishu ya Zitto, vinginevyo mambo makubwa yangekuwa yametokea kama Zitto mwenyewe alivyowahi kusema kuwa atafanya maamuzi magumu. Mpango huu unaratibiwa katika namna ambayo Zitto atapojitoa CHADEMA ionekane kuwa chama ndio kimemfanya ajitoe na sio yeye. Sasa CHADEMA hawajawa ''reactive enough'' vile mkakati ulivyotarajia, ndo maana kila siku linaibuka jambo jipya.

Tatizo jingine ndani ya CHADEMA kuna wanachama waandaamizi ambao hawakubaliani na mambo/uongozi wa makao makuu kimtaani nasema hawakubaliani na ''uchaga'' sasa hawa wamejipanga kumuunga mkono ZItto kwa gharama yoyote kisa tu anapambana na Mbowe, bila kujali kuwa athari za mpambano huo ni kubwa zaidi kwa Chama kuliko watu binafsi kama Mbowe, Slaa au Zitto mwenyewe.

Mimi najua mchezo unaondelea kwa vile nina rafiki yangu mmoja yupo karibu na jamaa wanaoratibu huo mpango, angalia posti zangu za nyuma kuhusu Zitto nilishaandika hapa siku nyingi sana kabla hata hajatangaza kugombea huo uenyeketi.

Nilishasema huko nyuma, kwa siasa za TZ huwezi kuwa mpinzani at the same time ukawa unaifurahisha serikali- haiwezekani kabisa. Kwa wale ambao mna mapenzi ya kweli na mageuzi TZ na mnapenda upinzani nawashauri ZITTO sio mtu wa kuwekeza imani na feelings zenu atawaumiza- subirini...............


Kwa jina lako halijulikani na umeamua kusema haya na ili kumaliza matatizo ya aina hii tafadhali weka ushahidi wote ili kuondoa kero na kurushiana maneno kila mara . Nakushauri mwaga kila kitu taja hao jamaa wote na mwisho tujue mbivu badala ya kutuacha njiani .Umetoa hutuma nzito na mpya now mwaga kila kitu muokoe Zitto na Chadema ama Okoa Chadema kama unaona Zitto anakosea. Weka data hapa JF .
 
wewe umesema wamezidi kumzushia huyu kijana

Kiasi nadhani sasa tumpe Zitto nafasi . Kuna mtu hapa ana chuki binafsi na Zitto . Kila nikisoma ma badindiko yake ni maneno mazito dhidi ya Zitto. Zitto kesha ambiwa hapa JF , Zitto kesha ambiwa na ndugu zake , Zitto anaijua Tanzania na anajua jinsi anavyo heshimiwa kwa kuwa anaongea yale yanayo wakera Watazania . Zitto anajua hajawa maarufu kwa kuwa yuko Chadema pekee bali kwa kupitia jukwaa la Chadema amesimamia haki na ana heshimika mno . Ulinzi wa Zitto uko kwa Mungu na kila Mtanzania mzalendo haya yote anayajua . Tupunguze kumshambulia kijana huyu . Tutafute muda wa kuongea naye aseme mawazo yake na tumshauri badaka ya kumshambulia .Kumzulia maneno kunafanya awaze mbaya na mbali . Kusema maneno kila siku inaonekana ni Chadema wanampinga Zitto kupitia JF na kumfanya ajione kama hatakiwi Chadema . Tuacheni hii tabia and give this young a break . Zitto hajasema anahama Chadema , hajatamka hata mara moja . Zitto anajua kusaliti umma kuna gharama zake mbele za watu kwenye jukwaa la Siasa na hata mitaani . Tunamzulia mengi na tuache kuichanganya Chadema kwa kuchochea ujinga hapa jukwaani .Tuwape nafasi wamalize matatizoi yao na waendelee na kazi ya Ukombozi . Chadema si malaika maana hata katika Biblia tunaona malaika walipata makundi mara akina Lucifer wakawepo . Tunajua hadithi ya Mnara wa babeli na Lugha za Dunia . Chadema ni watu wanajua kwamba matumaini ya Watanzania yako nyuma yao kama watu na Chama . Please mwacheni Zitto sasa .Amesha sikia ataamua mwenyewe .
 
Kuna watu nimesikia wakiongea mengi juu ya masomo ya Zitto ya sasa, wengine wakapata fursa ya kujaza kurasa kwenye magazeti.

Nakumbuka wakati Zitto amepata fursa hii alinifahamisha juu ya nafasi hii nami nilimpongeza na kumtakia kila la kheri... Hebu angalia nakala ya barua aliyonitumia nami nikai-scan ili kuwashirikisha:

i1252_masomozitto.jpg

 
wewe umesema wamezidi kumzushia huyu kijana

kiasi nadhani sasa tumpe zitto nafasi . Kuna mtu hapa ana chuki binafsi na zitto . Kila nikisoma ma badindiko yake ni maneno mazito dhidi ya zitto. Zitto kesha ambiwa hapa jf , zitto kesha ambiwa na ndugu zake , zitto anaijua tanzania na anajua jinsi anavyo heshimiwa kwa kuwa anaongea yale yanayo wakera watazania . Zitto anajua hajawa maarufu kwa kuwa yuko chadema pekee bali kwa kupitia jukwaa la chadema amesimamia haki na ana heshimika mno . Ulinzi wa zitto uko kwa mungu na kila mtanzania mzalendo haya yote anayajua . Tupunguze kumshambulia kijana huyu . Tutafute muda wa kuongea naye aseme mawazo yake na tumshauri badaka ya kumshambulia .kumzulia maneno kunafanya awaze mbaya na mbali . Kusema maneno kila siku inaonekana ni chadema wanampinga zitto kupitia jf na kumfanya ajione kama hatakiwi chadema . Tuacheni hii tabia and give this young a break . Zitto hajasema anahama chadema , hajatamka hata mara moja . Zitto anajua kusaliti umma kuna gharama zake mbele za watu kwenye jukwaa la siasa na hata mitaani . Tunamzulia mengi na tuache kuichanganya chadema kwa kuchochea ujinga hapa jukwaani .tuwape nafasi wamalize matatizoi yao na waendelee na kazi ya ukombozi . Chadema si malaika maana hata katika biblia tunaona malaika walipata makundi mara akina lucifer wakawepo . Tunajua hadithi ya mnara wa babeli na lugha za dunia . Chadema ni watu wanajua kwamba matumaini ya watanzania yako nyuma yao kama watu na chama . Please mwacheni zitto sasa .amesha sikia ataamua mwenyewe .
tatizo sio zitto kama binadamu,tatizo ni zitto -mb-mwanasiasa, tunaona ametusaliti sie tuliokuwa tunamuona ni mwanamageuzi+mpinga ufisadi.i said it again"ametusaliti".
 
Barua yenyewe mbona haisomeki vizuri...iko too light...

Halafu JF inaanza kuwa na obsession na Zitto maana kila siku lazima kuwe na thread mpya inayomhusu Zitto. It's getting old...
 
Labda ibadilishwe jina na kuitwa ZF 😉
 
Julius naafikana nawe...It is getting to be too much....Tujadili hoja badala ya mtu.....
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom