KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Ningependa kuweka sawa hili, kumekuwepo na upotoshaji wa makusudi wa genge la watu wa chama kimoja cha siasa kutaka kuteka ama kudandia hili suala la waheshimiwa wabunge wa bunge letu kutaka kuwasilisha hoja ya kuibana serikali na kulifanya ni lao kwa maana la iko chama chao kitu ambacho si kweli.
Sababu za genge hilo kifanya hivyo kwanza ni kuupotosha umma na kuondoa umuhimu na unyeti wa suala lenyewe lakini pili ni kujaribu kukipatia chama iko cheap popularity na kukifanya kionekane ndio kaka mkuu mwenye uchungu zaidi na nchi hii kitu ambacho si kweli kwani wabunge wa chama iko ukimuacha MH.ZITTO bado wameendelea kutubebesha mzigo mkubwa walipa kodi kwa kupanga foleni ya kuchukua posho ya kukaa tu kitako pale bungeni.
Sasa ili kuweka kumbukumbu sawa na kuzuia upotoshaji huo wa makusudi unaofanywa na hilo genge la chama iko nimeamua niwaletee orodha ya waheshimiwa waliolishikia bango suala hili na vyama wanavyotoka kwa vitendo then mpime wenyewe na kuona kama chama iko kinastahili kubeba ushujaa wa hili ama kinajaribu kuteka hii hoja ili kujinufaisha kisiasa.
Majina ya wabunge waliotia saini hoja ya mh.zitto kabwe
Nawasilisha
Sababu za genge hilo kifanya hivyo kwanza ni kuupotosha umma na kuondoa umuhimu na unyeti wa suala lenyewe lakini pili ni kujaribu kukipatia chama iko cheap popularity na kukifanya kionekane ndio kaka mkuu mwenye uchungu zaidi na nchi hii kitu ambacho si kweli kwani wabunge wa chama iko ukimuacha MH.ZITTO bado wameendelea kutubebesha mzigo mkubwa walipa kodi kwa kupanga foleni ya kuchukua posho ya kukaa tu kitako pale bungeni.
Sasa ili kuweka kumbukumbu sawa na kuzuia upotoshaji huo wa makusudi unaofanywa na hilo genge la chama iko nimeamua niwaletee orodha ya waheshimiwa waliolishikia bango suala hili na vyama wanavyotoka kwa vitendo then mpime wenyewe na kuona kama chama iko kinastahili kubeba ushujaa wa hili ama kinajaribu kuteka hii hoja ili kujinufaisha kisiasa.
Majina ya wabunge waliotia saini hoja ya mh.zitto kabwe
- Mhe. Rashid Ali Abdallah – CUF
- Mhe . Chiku Aflah Abwao- CHADEMA
- Mhe . Saluim Ali Mbarouk – CUF
- Mhe . salum Khalfam Barwany – CUF
- Mhe . Deo Haule Filikuchombe - CCM
- Mhe.Pauline Philipo Gekul - CHADEMA
- Mhe. Asaa Othman Hamad - CUF
- Mhe. Prof.Kuliyokela Kahigi- CHADEMA
- Mhe.Naomi Mwakyoma Kaihula – CHADEMA
- Mhe . Sylvester Kasulumbayi - CHADEMA
- Mhe. Raya Ibrahim Khamis - CHADEMA
- Mhe. Mkiwa Hamad Kiwanga - CUF
- Mhe. Susan Limbweni Kiwanga - CHADEMA
- Mhe. Grace Sindato Kiwelu – CHADEMA
- Mhe. Kombo Khamis Kombo – CUF
- Mhe. Joshua Samwel Nassari – CHADEMA
- Mhe. Tundu Antiphas Lissu - chadema
- Mhe Aphaxar Kangi Lugola - CCM
- Mhe susan Anselim Lymo - CHADEMA
- Mhe. Moses Machali – NCCR Mageuzi
- Mhe. John Shibuda Magalle – CHADEMA
- Mhe. Faki Haji Makame - CUF
- Mhe . Esther Nicholas Matiko - CHADEMA
- Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi - CHADEMA
- Mhe. Freman Aikaeli Mbowe - CHADEMA
- Mhe. Kurudhum Jumanne Mchuchuli – CHADEMA
- Mhe. Halima James Mdee - CHADEMA
- John John Mnyika - CHADEMA
- Mhe. Augustino Lyatonga Mrema - TLP
- Mhe . Maryam Salum Msabaha - CHADEMA
- Mhe. Peter Msingwa - CHADEMA
- Mhe. Christowaja Gerson Mtinda - CHADEMA
- Mhe. Philipa Geofrey Mturano - CHADEMA
- Mhe. Christina Lissu Mughwai - CHADEMA
- Mhe. Joyce John Mukya – CHADEMA
- Mhe. Mchungaji Israel Yohane Natse – CHADEMA
- Mhe. Philemon Ndesamburo- CHADEMA
- Mhe. Ahmed Juma Ngwali - CUF
- Mhe. Vincent Josephat Nyerere - CHADEMA
- Mhe. Rashid Ali Omar - CUF
- Meshack Jeremiah Opulukwa - CHADEMA
- Mhe. Lucy Philemon Owenya - CHADEMA
- Mhe. Rachel Mashishanga - CHADEMA
- Mhe. Mhonga Said Ruhwanya – CHADEMA
- Mhe. Conchesta Rwamlaza – CHADEMA
- Mhe. Moza Abedi Saidy - CUF
- Mhe. Joseph Roman Selasini – CHADEMA
- Mhe. David Ernest Silinde - CHADEMA
- Mhe Rose Kamili Sukum - CHADEMA
- Mhe. Cecilia Daniel Paresso - CHADEMA
- Mhe. Kabwe Zuberi Zitto - CHADEMA
- Mhe. Magdalena Sakaya – CUF
- Mhe Rebecca Mngodo - CUF
- Mhe. Sabreena Sungura - CHADEMA
- Mhe. Hamad Rashid Mohammed- CUF
- Mhe. Rukia Kassim Ahmed (CUF)
- Mhe. Mustapha Boay Akoonay (CHADEMA)
- Mhe. Abdalla Haji Ali (CUF)
- Mhe. Khatibu Said Ali (CUF)
- Mhe. Hamad Ali Hamad (CUF)
- Mhe. Riziki Omar Juma (CUF)
- Mhe Haji Khatibu Kai (CUF)
- Mhe. Anna Marystella John Malack - CHADEMA
- Mhe. Hamad Rashid Mohamed (CUF)
- Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed (CUF)
- Mhe. Thuwayba Idrissa Muhamed (CUF)
- Mhe. Masoud Abdallah Salum (CUF)
- Mhe. Muhamad Ibrahim Sanya (CUF)
- Mhe. Ali Khamis Seif (CUF)
- Mhe. Haroub Muhammed Shamis (CUF)
- Mhe. Amina Amour Nassoro (CUF)
Nawasilisha