Imagine ZITTO anahama CHADEMA

Imagine ZITTO anahama CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Man i totaly very disapproved these all guys and pia kwa kuwa hata jamii nayo tunawaona kama ni mapoliticians ambao siku zao karibu karibu zinakwisha maana kila kikuicha mara kafulia mara juu mara hivi.. All these political dumber
 
Just tired these IFMTNS.Zitto ,Kafulia who are they?
 
Tumechoka kusikia mambo yao kama kweli wapo kwa jili ya watu sio kelele zao kwa taifa hili..!!
 
Hii ni uthibitisho kwamba Zitto na Kafulila wote wawili ni watu wanaotumiwa kuharibu na kuvuruga vyama vya upinzani. Aibu sana kwa mtu kama Zitto ambaye alikuwa anaonekana na watu wengi kwamba ni mwanasiasa mahiri. Kumbe ni BOMU!
 
Jinsi siku zinavyokwenda mbele ndio tutaweza kuwajua watu wa aina hii na pia
 
Mafisadi wajanja tayari wamesha teka fikra za waTZ nakuanza kuegemea kwenye nonsense kama hizi Kafulila ni nani katika Taifa hili???? mpaka watu mnahamishie mawazo huko na kuwaacha kuwabana mafisadi wanao chekelea kuona mmesha tekwa mawazo yote yapo kwa Kafulila mara Zitto mara Chadema story zinajirudia rudia.
 
Agreed, but if we are not careful... we gonna be dumber than them, especilly by wasting our valuable time on kafulia na jujuman!!

iritating....Kafulila (kafulia), Zitto, Makamba, Simba khaaaaa! Masikio yanauma nawish kungekuwa na mahali ambapo sitasikia huu upupu anymore!!
 
We are so tired man.. kama hata Zitto akija hapa na kusoma kuwa watu tumechoka kusikia mara kafulia mara Zitto mara nani basi wajenge vijana wote wa Tanzania kama kweli wanaipenda Tanzania.
 
Mkuu kigogo naonatumepishana kidogo katika ujumbe wangu, Zitto si zaidi ya tasisis na bila chadema yeye ni mtu wa kawaida tu! Kimsingi naona hawa ndugu waliojiunga na NCCR bora wametoka ili chadema iweze kofocus on longterm goals. Ilimradi chama kikiwa na maadili, wanachema patriotic and legitimacy, ipo siku moja tuu kitachukua madaraka. Kina George Washgton walijitoa sana kulijenga taifa la marekani. They were never driven by individually motivated intersts. Nyerere was never driven by individual interests. Historian inaonesha watu wanaoendeshwa na maslahi binafsi hufa kifo cha mende.
kama MBOWE ATAKUFA KIFO CHA MENDE.
 
Tatizo si Kafulila ni siasa za Tz hazina mwelekeo. Wanasiasa wengi ni kutafuta ujiko wawe juu ya sheria. wamejaa uongo, uzandiki, porojo wakiwa na matumaini makubwa sana. Wote Zitto na Kafulila hawastahili kuwa wanasiasa wangefukuzwa wote.
 
Najuuta kuisoma hii thread, HAINA TIJA!!

Thanks God its Friday, naona nahitaji kupumzika!! Nimechoka na haya mambo!!

Wadau leo Happy Hour wapi???

Tayari nasikia hamu ya Brandy...
 
Waandishi wengine bwana!!! Hivi utamuelewaje Zitto wakati wewe mwenyewe hueleweki?
Hii nchi imejaa vituko kweli ,kila kona kuna vituko,yaani huyu Kibano sijui kinabu,Kinabo kaamua kuonyesha wazi wazi ni jinsi gani asivyojua kazi yake.Acha longolongo vibaraka nyie.
 
unajidanganya........
Zito ni mwanasiasa na pia ni philosopher,itakuchukua muda mrefu sana kumuelewa hasa kama uwezo wako wa kuelewa ni mdogo,Nakushauri mtoa hoja ukaacha kumjadili Zitto badala yake tujadili matatizo yetu ya msingi yanayotukabili Watanzania.
 
Mafisadi wajanja tayari wamesha teka fikra za waTZ nakuanza kuegemea kwenye nonsense kama hizi Kafulila ni nani katika Taifa hili???? mpaka watu mnahamishie mawazo huko na kuwaacha kuwabana mafisadi wanao chekelea kuona mmesha tekwa mawazo yote yapo kwa Kafulila mara Zitto mara Chadema story zinajirudia rudia.

Fidel80

Fidel80 hakika wewe mtizamo wako uko juu, si unajua kinachoendelea nyuma ya pazia? Fidel80 hapa mwenye akili anaelewa hakuna haja ya kuumiza kichwa, jamaa wanachekelea , daa!!!! huenda wakashinda, si unajua tena uchaguzi huoooooo!!!!!!!!!, ilibaki 1/2 tuwapige bao. sijui kama watapanchi?
 
waandishi wengine bwana!!! Hivi utamuelewaje zitto wakati wewe mwenyewe hueleweki?
Hii nchi imejaa vituko kweli ,kila kona kuna vituko,yaani huyu kibano sijui kinabu,kinabo kaamua kuonyesha wazi wazi ni jinsi gani asivyojua kazi yake.acha longolongo vibaraka nyie.
umegundua kama kanjanja kama alivyo willy edward
 
huyu KAFULIA ni kama virus kwenye upinzani, am sorry to say that...

Kuna mwanadada mmoja kanipigia simu anasema yeye na Kafulila walikuwa darasa moja na yeye wiki hii Jumamosi anapata cheti baada ya kumaliza degree yake na Kafulila alikwua virus hata darasani . Sijajua ukweli wa habari hizi ina hata wa darasani kwake wanasema jamaa ni troublesome.
 
Ukweli ni kwamba mambo ya kufuatana fuatana hayana msingi wowote kwa sasa.chadema kijiimarishe zaidi kwani kimeanza kupata mizizi kuelekea chini.
Kama jamaa ananyea kambi kwa sasa tumwache aondoke.hata ikitokea mwingine anaondoka na wote wanaofuata madaraka wataondoka na chadema itabaki daima kama nyota ya asubuhi ing`aavyo.
Muhimu ni chama kiimarike na siyo umaarufu wa mtu kwenye magazeti na kwenye tv
tunahitaji hoja zenye akili na busara
thanks
 
Yaani we mwandishi ni mpuuzi kweli kweli.
Hivi nyie tz daima kwanini hamna hata chembe ya aibu?Kafulila keshajiondokea zake kwenda nccr lakini hamjaridhika tu bado mnaendelea kumfuata fuata. Nadhani mmetumwa kumgombanisha na swahiba wake zitto na hiyo kazi mnaifanya kwa bidii kweli kweli. Lakini hii yote ni kutaka kummaliza kijana wa watu, muacheni kafulila na nccr yake mnamtafutia nini?Chadema mjipange vizuri na huyo mgombea wenu muslim hassanary akapambane na kafulila msianze kuweweseka saa hizi na kumuandama kijana wa watu. Nyie mlimuona sisimizi kaamua kujiondokea zake. Kajiunga nccr ghafla amegeuka kuwa tembo, sasa anawanyima usingizi. mtachonga sana mwaka huu, mtaandika udaku mpaka mkome. Kama bado mnamuhitaji si mkamuombe tu msamaha muyamalize arudi kundini, hizi siasa za chuki mnazoziendesha hazitawasaidia chochote zaidi ya kuzidi kuwashusha hadhi yenu mbele ya watanzania.
Shame on you tz daima!!

Mkuu tafakari kwanza,mimi sina chama lakini napenda fairness regardless,na ukweli ndio pia muhimu.
Kwanza uzingatie Zitto bado ni CHADEMA,na madai yako kwamba Kafulila keshajiendea zake NCCR na bado hawajaridhika hayana mantiki kwasababu Kafulila ndiye alisema kapewa magari matatu na naibu katibu wa CHADEMA ili akapige kampeni kwa chama cha NCCR dhidi ya vyama vingine CHADEMA kikiwemo.Kwahiyo kama habari hizo ni za kweli then CHADEMA lazima watakuwa concerned na pengine kumwuliza naibu katibu mkuu wao if all this is true.Na ndio maana Zitto akakanusha habari hizo,then ikasemekana kuwa Zitto kasema Kafulila ana password yake,huwezi kujua alibanwa ndani ya chama,Kafulila akaibuka akasema Zitto mzushi,sasa nani kamfata nani?Tulia na tumia busara,reasoning na reality vitake over emotions,you will then see where i am coming from.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom