Akafanye nini ikulu, hiyo ndo imetoka hivyo,Gambo yupo!
TrueMrisho Gambo kaponzwa na Fitna
Tstizo kiti chs mkuu was mkoa unakikalia lakini huna imani nacho muda wowote unaweza kutumbuliwa kwa nini wasiende kwenye ubunge ili waishi kwa furaha muda woteRais Magufuli ametoa angalizo kwa viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wakurugenzi, maRAS, DAS nk kutoutamani ubunge na badala yake waridhike na vyeo vyao.
Hii ni angalizo muhimu sana kwa viongozi vijana wakiwemo akina Kasesela, Makonda Happi Katambi, Shigella, Ole sabaya Jerry Murro, Ole Sendeka nk.....nk....nk
Maendeleo hayana vyama!
Una uhakika na kura za maoni!!Tstizo kiti chs mkuu was mkoa unakikalia lakini huna imani nacho muda wowote unaweza kutumbuliwa kwa nini wasiende kwenye ubunge ili waishi kwa furaha muda wote
Huyu jamaa hawezi kosa kura yangu tena.Nimefuatilia hotuba ya Rais Magufuli leo alipokua akimwapisha Mkui wa mkoa wa Arusha na kushuhudia viapo vya wakuu wa wilaya aliowateua,
katika hotuba yake Rais amewaasa nyote aliowateua msiwe na mioyo ya tamaa,
Rais kasisitiza mridhike na nafasi mlizonazo la sivyo mtaka yote hukosa yote, kwa anaejidanganya kwamba anaenda kugombea ubunge atakua amejimaliza mwenyewe maana Rais kasema bila kificho kuwa hata kwenye kura za maoni ukiwa wa kwanza wana uwezo wa kukukanseli wakapitisha mtu wa tatu,
Kwa mteule wa Rais anayejidanganya kuwa akipata ubunge atapata na uwaziri mweshimiwa kasema anajidanganya maana ye akikutaka uwe waziri hata usipokua mbunge atakuteua mwenyewe na akupe uwaziri
uzuri wa Rais wetu waga hakopeshi anatoa makavu hapohapo, sasa kazi ni kwenu ndumilakiwili
Viva JPM Tano tena👊
Mrisho Gambo kwasababu ya fitina zake ambazo kiukweli zina historia toka akiwa DC Korogwe zimepelekea wenzake kukosa ugali wa watoto.
Bwana huyu amekua mchawi kwa kuhakikisha Madeni na Daqaro hawakai mguu sawa ktk utendaji kazi. Nadhani aliyaka kuonekana yeye tu.Huo in UCHAWI.
Ukipangwa kazi moja na huyu bwana muombe Mungu sana maana atakuchawia tu.