Wana CCM wakirejesha kadi na kujiunga upinzani mkuu wa wilaya na Mkoa hana kazi; mbinu gani DC/RC watazitumia kudhibiti CCM kujiunga upinzani?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Rais amemfukuza kazi mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kwa kile kinachodaiwa wana CCM wamerejesha kadi na kujiunga upinzani; amesema hatoweza kuvumilia kuona wanaccm wanahama chama.

Kauli hii ni nzuri kisiasa ila ngumu kwa wakuu wa wilaya na mkoa kwa sababu sababu za kuhama chama ni sababu binafsi. Ni sababu za kuungwa mkono sera fulani kuliko sera hizi. Kwa mantiki hiyo ili kujiunga na chama kingine hakuna ushawishi wa DC wala RC bali ni kazi ya viongozi wa siasa kwenye eneo husika.

Kwa wakuu wa wilaya wanaopenda madaraka haiwezi kupelekea wakatumia zaidi vyombo vya dola kunyamazisha wapinzani huku wakiwa wanawatisha wananchi wenye mtizamo tofauti?

Mbinu gani watakazotumia viongozi hawa kuendelea kuwepo kwenye nafasi zao?
 
Mhe. Rais amemfukuza kazi mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kwa kile kinachodaiwa wana CCM wamerejesha kadi na kujiunga upinzani; amesema hatoweza kuvumilia kuona wanaccm wanahama chama.

Kauli hii ni nzuri kisiasa ila ngumu kwa wakuu wa wilaya na mkoa kwa sababu sababu za kuhama chama ni sababu binafsi. Ni sababu za kuungwa mkono sera fulani kuliko sera hizi. Kwa mantiki hiyo ili kujiunga na chama kingine hakuna ushawishi wa DC wala RC bali ni kazi ya viongozi wa siasa kwenye eneo husika.

Kwa wakuu wa wilaya wanaopenda madaraka haiwezi kupelekea wakatumia zaidi vyombo vya dola kunyamazisha wapinzani huku wakiwa wanawatisha wananchi wenye mtizamo tofauti?

Mbinu gani watakazotumia viongozi hawa kuendelea kuwepo kwenye nafasi zao?
Fukuza wote kabisa.
 
Mhe. Rais amemfukuza kazi mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kwa kile kinachodaiwa wana CCM wamerejesha kadi na kujiunga upinzani; amesema hatoweza kuvumilia kuona wanaccm wanahama chama.

Kauli hii ni nzuri kisiasa ila ngumu kwa wakuu wa wilaya na mkoa kwa sababu sababu za kuhama chama ni sababu binafsi. Ni sababu za kuungwa mkono sera fulani kuliko sera hizi. Kwa mantiki hiyo ili kujiunga na chama kingine hakuna ushawishi wa DC wala RC bali ni kazi ya viongozi wa siasa kwenye eneo husika.

Kwa wakuu wa wilaya wanaopenda madaraka haiwezi kupelekea wakatumia zaidi vyombo vya dola kunyamazisha wapinzani huku wakiwa wanawatisha wananchi wenye mtizamo tofauti?

Mbinu gani watakazotumia viongozi hawa kuendelea kuwepo kwenye nafasi zao?
Ameacha kufukuza mbunge aliyepitisha limkataba libovu anawafukuza ambao hawakuhusika.

Kweli ng'ombe wa nyuma siku zote ni wa kuonewa kwa kosa la ng'ombe wa mbele.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mhe. Rais amemfukuza kazi mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kwa kile kinachodaiwa wana CCM wamerejesha kadi na kujiunga upinzani; amesema hatoweza kuvumilia kuona wanaccm wanahama chama.

Kauli hii ni nzuri kisiasa ila ngumu kwa wakuu wa wilaya na mkoa kwa sababu sababu za kuhama chama ni sababu binafsi. Ni sababu za kuungwa mkono sera fulani kuliko sera hizi. Kwa mantiki hiyo ili kujiunga na chama kingine hakuna ushawishi wa DC wala RC bali ni kazi ya viongozi wa siasa kwenye eneo husika.

Kwa wakuu wa wilaya wanaopenda madaraka haiwezi kupelekea wakatumia zaidi vyombo vya dola kunyamazisha wapinzani huku wakiwa wanawatisha wananchi wenye mtizamo tofauti?

Mbinu gani watakazotumia viongozi hawa kuendelea kuwepo kwenye nafasi zao?
Jumba Bovu, hata ulikarabati vipi!!!
Litabaki kuwa bovu tu,, Labda ulibomoe ujenge upya.
 
Mhe. Rais amemfukuza kazi mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kwa kile kinachodaiwa wana CCM wamerejesha kadi na kujiunga upinzani; amesema hatoweza kuvumilia kuona wanaccm wanahama chama.

Kauli hii ni nzuri kisiasa ila ngumu kwa wakuu wa wilaya na mkoa kwa sababu sababu za kuhama chama ni sababu binafsi. Ni sababu za kuungwa mkono sera fulani kuliko sera hizi. Kwa mantiki hiyo ili kujiunga na chama kingine hakuna ushawishi wa DC wala RC bali ni kazi ya viongozi wa siasa kwenye eneo husika.

Kwa wakuu wa wilaya wanaopenda madaraka haiwezi kupelekea wakatumia zaidi vyombo vya dola kunyamazisha wapinzani huku wakiwa wanawatisha wananchi wenye mtizamo tofauti?

Mbinu gani watakazotumia viongozi hawa kuendelea kuwepo kwenye nafasi zao?
She is failing drastically
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
 
Back
Top Bottom