tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 66
- Thread starter
- #81
Samahani, mie hujanimiss?
mmh nimesita kidogo...hahahaha
Samahani, mie hujanimiss?
Hahaha! Thanx mwaya. TF hawezi kuiona manake nikimaliza tu kusoma naidelete!Yaani hii napaka red kabisa akija anaona red ni hatari hatakaribia wala kugusa
Mwaaaaaaahh (angalia TF asione )
Hahaha! Thanx mwaya. TF hawezi kuiona manake nikimaliza tu kusoma naidelete!
.Usiwe na wasiwasi PJ lakin umekuwa mno kimya... by the way watu hapa walivyonicharukia lol kumbe kweli nimeamini wivu ni kitu mbaya sana! Pj really I miss you....
Hahaha. Dena akija hapa akisema chochote usimsikilize...
Alusha ndio wapi tena? Mie natoa elfu moja kama mchango, nani nimkabidhi?Namimi nimemmiss wiselady wajameni, naomba mnichangie tiketi ya alusha.
.
achana na Rocky,
achana na Fidel,
achana na asprin,
hao kazi yao kujaribu kuzamisha meli za wengine bila mafanikio.
imekula kwa wao mbaya kabisa.
Ngoja nifanye sijaona
Umeonae?Yaani wewe una akili sana
Kidogo ungekuwa student
Ngoja nifanye sijaona
Unatokea nchi jirani nini? hehehe halaf acha ubahili, hiyo buku hata milungi haupati,ongeza dau banaAlusha ndio wapi tena? Mie natoa elfu moja kama mchango, nani nimkabidhi?
.
achana na Rocky,
achana na Fidel,
achana na asprin,
hao kazi yao kujaribu kuzamisha meli za wengine bila mafanikio.
imekula kwa wao mbaya kabisa.
Namimi nimemmiss wiselady wajameni, naomba mnichangie tiketi ya alusha.
Unatokea nchi jirani nini? hehehe halaf acha ubahili, hiyo buku hata milungi haupati,ongeza dau bana
Hiyo elfu ni dola klorokwini, bado haitoshi tu?Unatokea nchi jirani nini? hehehe halaf acha ubahili, hiyo buku hata milungi haupati,ongeza dau bana
Habari yako kaka mpendwa!PJ mwambie Preta nimemsoma vilivyo....usiulize maswali mengi..lol halafu nyie SL na Rocky mnafikiri mie kipofu..
Niko msumbiji mkuu, huku tunadandia malori tu mpaka bongo, ndege na mabasi ni usharobaro tuSpecify ticket ipi! Ya basi au ndege??????????