I really Miss you PJ ( Pakajimmy)

I really Miss you PJ ( Pakajimmy)

PJ,

What I have said above is true and in reality I miss you. Please set your mind that; I will be coming to Arusha soon hopefully this December 2011 so that will meet.

Send my regards to all JF member's in Ar..

Bye for now.....
Karibu lakn kwa sasa tuko busy na mipango na mikakati ya mapinduzi,......karibu sana
 
Haya mambo ungemuachia AshaDii tu. Yule ndiyo huwa namkubali kwa hivi vitu vya kuanzisha thread na kujijibu. Wee unahangaika tu mkuu.
 
Yupi sasa yule wa manzese, Ilala, Magomeni, Kinondoni, Kimara aahhh wengi mno hata sijui yupi sasa

Wengine huwa nawasahau natongoza mara mbili mbili yupo humu wifi yako wa ukwee anajificha hapo Masaki kwa wasure
 
hata mimi nimepata mshangao wa mwaka toka lini ukammiss Fidel
Ila kapata promo ya ajabu hapo

Siku hizi jf hapa watu wanapenda sana promo kama mapedeshee akina Ndama, Msofe au wabunge wa CCM kwa promo usiwapimie anatoa msaada laki moja anaita waandishi wa habari
 
Back
Top Bottom