tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 66
- Thread starter
- #101
PJ I will remain missing you!!wenye wivu wajinyonge.....
hehe Mpwa ni karib na samunge, huko ukizembea umelizwa. si unakumbuka mzembe alolizwa kwa Mpesa?mpwa eti rchuga ndo wapi huko?
Halaf wewe nilitegemea utajitolea mchango mwengine wala sio wa hela! umeanza uchoyo ujue, nitahairisha trip? ohoooo!Hiyo elfu ni dola klorokwini, bado haitoshi tu?
PJ mwambie Preta nimemsoma vilivyo....usiulize maswali mengi..lol halafu nyie SL na Rocky mnafikiri mie kipofu..
Hahaha! Hiyo hela ni katika kukuweze ufike Alusha...huo mchango mwengine ngoja kwanza niwasiliane na mwanasheria wangu afu ntakujibu.Halaf wewe nilitegemea utajitolea mchango mwengine wala sio wa hela! umeanza uchoyo ujue, nitahairisha trip? ohoooo!
hehe Mpwa ni karib na samunge, huko ukizembea umelizwa. si unakumbuka mzembe alolizwa kwa Mpesa?
Mwanasheria wako si ni mimi, au una mwanasheria small hauz pia?Hahaha! Hiyo hela ni katika kukuweze ufike Alusha...huo mchango mwengine ngoja kwanza niwasiliane na mwanasheria wangu afu ntakujibu.
Mwambie SL tokea lini South Africa ikageuka kuwa TangaHabari yako kaka
Si nimesikia uko tanga nguo zimelowekwa kwenye maji
Namsalimia tuu SL wala sijasema kitu
Muulize kamfanya nini smile mbona anataka kujilipua?Habari yako kaka
Si nimesikia uko tanga nguo zimelowekwa kwenye maji
Namsalimia tuu SL wala sijasema kitu
Mwambie SL tokea lini South Africa ikageuka kuwa Tanga
Inaruhusiwa kwa mujibu wa katiba, kifungu cha 16A.Mwanasheria wako si ni mimi, au una mwanasheria small hauz pia?
Muulize kamfanya nini smile mbona anataka kujilipua?
Kamanda wee zamia tu, kuna vigoli vya kufa mtu, halaf ukifa na ngoma wanakuita heroDah hili jina nilikuwa nalisikia sana nikajua msamiati mpya kumbe eneo
Teh Teh Teh.....Muulize kamfanya nini smile mbona anataka kujilipua?
hehehe hapo red umenikumbusha chumba cha gestiInaruhusiwa kwa mujibu wa katiba, kifungu cha 16A.
Anaogea maji yalotiwa nazi...lolDuh hayo ya SA hatuyajui ila habari zilizopo ni kuwa wewe uko Tanga majani mapana
Ndo hapo na mwili kusafishwa kwa mabaki ya naziAnaogea maji yalotiwa nazi...lol
Jamaa wamekipaka umeiba dawa ya mswaki getto, halaf wameshika bango mbaya, kama uliondoka nayo kweli kamanda iludishe, jamaa wanaonekana wako kwenye mood ya kujeruhiTeh Teh Teh.....
Mie mgeni hapa tz gesti ndio nini tena?hehehe hapo red umenikumbusha chumba cha gesti