klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Nyumba za ibadaMie mgeni hapa tz gesti ndio nini tena?
Nyumba za ibadaMie mgeni hapa tz gesti ndio nini tena?
Hahaha! Ndio mana mwenzie kaamua kujitafutia mjane wa kiume...khaa TF ana roho mbaya jamani..Ndo hapo na mwili kusafishwa kwa mabaki ya nazi
Ua ridi kitandani
Hahaha.Nyumba za ibada
Kamanda tatizo mtu biashara zako ukiwa unafanya kwa pound wabongo hawaishi kukupakazia tuJamaa wamekipaka umeiba dawa ya mswaki getto, halaf wameshika bango mbaya, kama uliondoka nayo kweli kamanda iludishe, jamaa wanaonekana wako kwenye mood ya kujeruhi
Hahaha! Ndio mana mwenzie kaamua kujitafutia mjane wa kiume...khaa TF ana roho mbaya jamani..
Lol...napita sina raha leo mkinionea mzee mpweke mahali mnishtue
napita sina raha leo mkinionea mzee mpweke mahali mnishtue
Nimemuona dia... D' mwambie swahiba ako afunguke jamani ili kama kalikoroga tumsaidie kulinywa...lolUmemuona Smile anatafuta mzee mpweke wa kumliwaza TF kashalikoroga
Unataka promo au?
Si ungemtumia PM tu inatosha
Khaaa! Siamini macho yangu..Pole sweet naomba kuja kukupa company (funika haraka DA wala SL wala TF asione)
sitaki tena wauza sura na wabana pua tupa kuleUmemuona Smile anatafuta mzee mpweke wa kumliwaza TF kashalikoroga
napita sina raha leo mkinionea mzee mpweke mahali mnishtue
Duuu! Swahiba kweli umetendwa mpaka kumoyo..lolsitaki tena wauza sura na wabana pua tupa kule
Khaaa! Siamini macho yangu..
sitaki tena wauza sura na wabana pua tupa kule
Nimemuona dia... D' mwambie swahiba ako afunguke jamani ili kama kalikoroga tumsaidie kulinywa...lol
Una hamu na ngumi za tete a tete au?Mi pia nimemmiss pj naomba aje chit chat tuonane.
Una hamu na ngumi za tete a tete au?