klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Mbona haukuja?Hahaha.
Tangulia nakufuata na baibo kwa maombi zaidi...
Mbona haukuja?Hahaha.
Tangulia nakufuata na baibo kwa maombi zaidi...
Mbona haukuja?
Fact!........Kamanda tatizo mtu biashara zako ukiwa unafanya kwa pound wabongo hawaishi kukupakazia tu
Tusizeeshane bana! shkamoo mwenyeweshkamoo lawyer.
Tusizeeshane bana! shkamoo mwenyewe
Kuna karembo mimi nishakadanganya niko 24 halaf wewe unakuja na mashkamoo yako, si utanirushia? , think!husni think!jamani lawyer...
Kuna karembo mimi nishakadanganya niko 24 halaf wewe unakuja na mashkamoo yako, si utanirushia? , think!husni think!
Nimefika nikakupigia hupokei, nimetuma sms umeuchuna, hiyo dhambi hautasamehewa milele... Kunifanya nizunguke na baibo ndio nini sasa?Mbona haukuja?
Amehamia vingunguti.hehehe! Hako kamrembo usije ukaka'smile' bure. Bado unaishi tandale nije kukusalimia kesho.
Amehamia vingunguti.
hiyo red inatamkwa vipi? nimejarib sana nimeshindwahehehe! Hako kamrembo usije ukaka'smile' bure. Bado unaishi tandale nije kukusalimia kesho.
Halaf sweetlady kwa kujipaisha bana, last time si ulinambia nipige sim ya jirani yako wewe bado hauna sim?Nimefika nikakupigia hupokei, nimetuma sms umeuchuna, hiyo dhambi hautasamehewa milele... Kunifanya nizunguke na baibo ndio nini sasa?
hiyo red inatamkwa vipi? nimejarib sana nimeshindwa
Amehamia vingunguti.
heheeh nyinyi wekeni projo zenu tu, mzembe weekend naenda shopping kwa helikopta.vingunguti machinjoni eeh! Dah. Sijui nimjengee kakibanda masaki. Lol.
Huko, huko. Ongea na my shemeji uporoto kama atakubali mjengeeni kakibanda. Biashara ya kuuza maji ngumu ati atawezea wapi kujenga!vingunguti machinjoni eeh! Dah. Sijui nimjengee kakibanda masaki. Lol.
Uporoto atakuja leo? au nianze kukulinda?ter nder ler. Haya tamka.
Huko, huko. Ongea na my shemeji uporoto kama atakubali mjengeeni kakibanda. Biashara ya kuuza maji ngumu ati atawezea wapi kujenga!
Khaaaaaa! senk god keren happuch hayupo, dah!Huko, huko. Ongea na my shemeji uporoto kama atakubali mjengeeni kakibanda. Biashara ya kuuza maji ngumu ati atawezea wapi kujenga!
PJ I will remain missing you!!wenye wivu wajinyonge.....
heheh pia alifaulu elimu ya kupiga kura. Wamchezeya swetlady weye (source:zinduna)kweli aisee. Una akili ndio maana ulifaulu chekechea.