I really Miss you PJ ( Pakajimmy)

Nimefika nikakupigia hupokei, nimetuma sms umeuchuna, hiyo dhambi hautasamehewa milele... Kunifanya nizunguke na baibo ndio nini sasa?
Halaf sweetlady kwa kujipaisha bana, last time si ulinambia nipige sim ya jirani yako wewe bado hauna sim?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom