I really Miss you PJ ( Pakajimmy)

I really Miss you PJ ( Pakajimmy)

Siku hizi jf hapa watu wanapenda sana promo kama mapedeshee akina Ndama, Msofe au wabunge wa CCM kwa promo usiwapimie anatoa msaada laki moja anaita waandishi wa habari

Haswa wa kile chama cha kusinzia kile
Wanapenda sana promo mbaya
(ila wasije wakasikia maana watafunga account hapa )
 
I realy miss you Fidel, namalizia kukusanya nauli. Ntakuja dar mwezi dec mpenzi...

Jamani jamani mnaniharibia kwa wifi yenu mnataka ninyimwe unyumba?? hapa tayari nina kesi ya kujibu
Karibu sana mama mchungaji nimekuandalia biblia box zima uzisome
 
Jamani jamani mnaniharibia kwa wifi yenu mnataka ninyimwe unyumba?? hapa tayari nina kesi ya kujibu
Karibu sana mama mchungaji nimekuandalia biblia box zima uzisome
Hahahaha! Nitafutie na chuo kidogo cha sala box 2... Mwambie wifi kumisiana inaruhusiwa bana.
 
Wewe mwana wewe leo umewamiss wangapi toka asubuhi naanza na Rejao
Hahaha. Dena unaniharibia kwa Fidel, mie sijaingia jf leo kabisa na hapa nimeingia kumpa fidel ujumbe then ntaondoka mda sio mrefu..lol.
 
Back
Top Bottom