Huwenda miaka ijayo, misaada ya ARV unaweza sitishwa na marekani. Je Tanzania imejipanga vipi na suala hilo?
Nimekaa nikatafakari sana, huenda miaka ijayo misaada inayotolewa na marekani hasa dawa za kufubaza hawa virusi vya vinavyosambabisha UKIMWI.
Kutokana na hali hii marekani atabaki kuwa sehemu ya kutumia silaha hii kukandamiza na kufanya mataifa mengi kuwa tegemezi kwake..
Swali
Wizara ya afya na wadau mbalimbali mmejipanga vipi hali hiyo ikitokea? Mmeshafikiria njia mbadala ya kutengeneza dawa pia?
Nimekaa nikatafakari sana, huenda miaka ijayo misaada inayotolewa na marekani hasa dawa za kufubaza hawa virusi vya vinavyosambabisha UKIMWI.
Kutokana na hali hii marekani atabaki kuwa sehemu ya kutumia silaha hii kukandamiza na kufanya mataifa mengi kuwa tegemezi kwake..
Swali
Wizara ya afya na wadau mbalimbali mmejipanga vipi hali hiyo ikitokea? Mmeshafikiria njia mbadala ya kutengeneza dawa pia?