Suala la Viza ya Marekani na Canada Serikali ya Tanzania ivunje ukimya, foreign affairs watimize majukumu yao

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,608
93,378
Wakuu kuna hili swala la viza ya Marekani na Canada nadhani si la kukaliwa kimya.

Ni kweli hizo nchi zina haki na mamlaka ya kuamuwa wanavyotaka lakini waziri wetu wa foreign affairs linapotokea jambo linawakwaza hana budi kukaa kikao na Mabalozi wa hizo nchi mbili hili kuondowa changamoto zilizopo kwa maslahi ya Watanzania.

Kuna issue ya Viza ya Marekani na Canada zimeleta sintofahamu kubwa sana na usumbufu.

Ubalozi wa Marekani Mtanzania ukitaka kuomba viza inabidi usubiri appointment schedule ya miezi 6.

Na kwa upande wa Canada ni siku 400 plus maana yake ni mwaka na kitu, why?

Sasa Nina maswali ambayo hayana majibu je kwa safari za dharura inakubalika kupata viza kwa short appointment schedule?

Pili kwa mtu wa safari ya kawaida unaruhusiwa kuomba viza nje ya Tanzania au kuna balozi za Marekani nchi zipi tunaweza kwenda kuomba viza huko kuliko kusubili miezi 6?

Vipi wizara yetu foreign affairs hawaoni huu usumbufu wanaotupa hawa USA na Canada?

Mbona Shenghen countries viza zao hazina usumbufu? Waziri wa foreign affairs akiambiwa yeye asubili viza interview schedule kwa miezi 6 angekubali?

Hebu tulijadili hili, kama wewe ni msafiri hili moja kwa moja linakuhusu.

Cc@Kiranga Bufa Nyani Ngabu Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla Maghayo
 
Watanzania kweli vichwa vyetu vina upungufu wa madini. Ina maana hamkuelewa tu walichowaambia?

Mliambiwa muoane (mpelekeane moto) wanaume kwa wanaume, na wanawake kwa wanawake ili mpate misaada yao. Kesho nendeni wanaume mmevaa sketi, blauzi, make up, mawigi na makope muone visa mnapewa chap chap!!!

Kwa sisi ambao hatuna shida na hizo visa wala green card zao tuacheni na tanganyika yetu! Tutabanana humu humu mpaka mtoto wa Maryamu atakaporudi tena kwa mara ya pili kuja kuweka mahesabu sawa!
 
Wakuu kuna hili swala la viza ya Marekani na Canada nadhani si la kukaliwa kimya.

Ni kweli hizo nchi zina haki na mamlaka ya kuamuwa wanavyotaka lakini waziri wetu wa foreign affairs linapotokea jambo linawakwaza hana budi kukaa kikao na Mabalozi wa hizo nchi mbili hili kuondowa changamoto zilizopo kwa maslahi ya Watanzania.

Kuna issue ya Viza ya Marekani na Canada zimeleta sintofahamu kubwa sana na usumbufu.

Ubalozi wa Marekani Mtanzania ukitaka kuomba viza inabidi usubiri appointment schedule ya miezi 6.

Na kwa upande wa Canada ni siku 400 plus maana yake ni mwaka na kitu, why?

Sasa Nina maswali ambayo hayana majibu je kwa safari za dharura inakubalika kupata viza kwa short appointment schedule?

Pili kwa mtu wa safari ya kawaida unaruhusiwa kuomba viza nje ya Tanzania au kuna balozi za Marekani nchi zipi tunaweza kwenda kuomba viza huko kuliko kusubili miezi 6?

Vipi wizara yetu foreign affairs hawaoni huu usumbufu wanaotupa hawa USA na Canada?

Mbona Shenghen countries viza zao hazina usumbufu? Waziri wa foreign affairs akiambiwa yeye asubili viza interview schedule kwa miezi 6 angekubali?

Hebu tulijadili hili, kama wewe ni msafiri hili moja kwa moja linakuhusu.

Cc@Kiranga Bufa Nyani Ngabu Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla Maghayo
Zamani sisi tu liingia Canada bila visa.

Tukalikoroga wenyewe Watanzania.

Miaka miwili mitatu iliyopita Canada wakawachia masharti kidogo kupima hali ya hewa. Kuna Wimbi la Watanzania limejazana huko nlinaomba ukimbizi wa ushoga.

Miezi sita iondolewe, wasitowe kabisa visa kwa Mtanzania asiye na mtu wake wa karibu kule.

Hatutaki mashoga wa Tanzania mkajazane Canada.
 
Zamani sisi tu liingia Canada bila visa.

Tukalikoroga wenyewe Watanzania.

Miaka miwili mitatu iliyopita Canada wakawachia masharti kidogo kupima hali ya hewa. Kuna Wimbi la Watanzania limejazana huko nlinaomba ukimbizi wa ushoga.

Miezi sita iondolewe, wasitowe kabisa visa kwa Mtanzania asiye na mtu wake karibu kule.

Hatutaki mashoga wa Tanzania mkajazane Canada.
Siyo Canada tu, hata Uingereza nimekweda bila viza 1995.
 
Kwa hiyo kusafiri kikazi, masomo, utalii usubiri miezi sita........let say nimetumiwa leo barua ya mwaliko kwenda kwenye conference mwezi ujao, hapo inakuwa vipi?
Ndio lengo la thread hii, something is wrong.

Foreign affairs hawatimizi wajibu wao, ndio shida ya kujaza maofisi mijitu isiyokuwa na exposure, nchi za ulaya hasa Shenghen countries hawana mambo ya kipumbavu kwenye application, ili mradi utimize masharti yao tu wala hawana mbambambaa.
 
Mkuu Dr Matola PhD, swala la delay za US na CN visa sio bongo tu ni worldwide.

Kenya wanasubiri at least 1yrs kupata appointment ya visiting visa. Nigeria it was at least 2yrs, ilibidi wafanye petition kwa Biden aingilie kati sijui walifikia wapi:



In case of emergency unaweza kuomba expedition kwenye website yao, kwanza inabidi u-schedule appointment kawaida then uombe expedite. Itakubidi uambatanishe nyaraka zako. Nawajua watu kadhaa waliofanikiwa kwa njia hii. Ni bure kabisa ila lazima madai yako yawe ya msingi.

Visa za shule kidogo zina nafuu japo nazo zinachelewa ila sio kama visiting visa. Visiting visa kwa mtu yeyote anayehitaji aanze process mapema sana.

I agree with you wizara yetu ya mashauri ya nje ijaribu kuongea nao ukizingatia wasafiri bongo sio wengi sana kama nchi zingine hatuna sababu ya kusubiri muda mrefu hivyo. Viongozi wengi hawajui hiyo adha maana wao wanatumia diplomatic passports wanaruka tu visa is on the arrival.
 
Wakuu kuna hili swala la viza ya Marekani na Canada nadhani si la kukaliwa kimya.

Ni kweli hizo nchi zina haki na mamlaka ya kuamuwa wanavyotaka lakini waziri wetu wa foreign affairs linapotokea jambo linawakwaza hana budi kukaa kikao na Mabalozi wa hizo nchi mbili hili kuondowa changamoto zilizopo kwa maslahi ya Watanzania.

Kuna issue ya Viza ya Marekani na Canada zimeleta sintofahamu kubwa sana na usumbufu.

Ubalozi wa Marekani Mtanzania ukitaka kuomba viza inabidi usubiri appointment schedule ya miezi 6.

Na kwa upande wa Canada ni siku 400 plus maana yake ni mwaka na kitu, why?

Sasa Nina maswali ambayo hayana majibu je kwa safari za dharura inakubalika kupata viza kwa short appointment schedule?

Pili kwa mtu wa safari ya kawaida unaruhusiwa kuomba viza nje ya Tanzania au kuna balozi za Marekani nchi zipi tunaweza kwenda kuomba viza huko kuliko kusubili miezi 6?

Vipi wizara yetu foreign affairs hawaoni huu usumbufu wanaotupa hawa USA na Canada?

Mbona Shenghen countries viza zao hazina usumbufu? Waziri wa foreign affairs akiambiwa yeye asubili viza interview schedule kwa miezi 6 angekubali?

Hebu tulijadili hili, kama wewe ni msafiri hili moja kwa moja linakuhusu.

Cc@Kiranga Bufa Nyani Ngabu Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla Maghayo
Hao wa miezi 6 ni lile kundi la waalikwa, visitors wengi ndiyo wanadondokea hapo.
Makundi mengine mengi utaratibu umebaki vilevile
 
Dah
Niliona sehemu Nilijua utani. Sikufuatilia kiasi hicho.
Sio fair…
 
Halafu haijaanza leo ,mwaka juzi 2021 kuna mtu aliomba mwezi wa tisa ili aende mkutanoni mwezi wa kumi then appointment interview ilikuwa March 2022...otherwise akaambiwa alipie halafu aanze kuvizia mtandaoni kila siku kama kuna mtu atadrop chance ndio anaweza kureschedule..walikuwa wanasingizia covid zamani kuwa hawewezi rundika watu wengi siku moja kwa interview lakini saiv covid hamna ,why waite watu wachache kila siku...pia naona ni MBINU PIA YA KUDISCOURAGE watu wasiombe....mtu unakwenda kwa tukio la miezi miwili ijayo marekani, why upangiwe interview after 6 month...
 
Halafu haijaanza leo ,mwaka juzi 2021 kuna mtu aliomba mwezi wa tisa ili aende mkutanoni mwezi wa kumi then appointment interview ilikuwa March 2022...otherwise akaambiwa alipie halafu aanze kuvizia mtandaoni kila siku kama kuna mtu atadrop chance ndio anaweza kureschedule..walikuwa wanasingizia covid zamani kuwa hawewezi rundika watu wengi siku moja kwa interview lakini saiv covid hamna ,why waite watu wachache kila siku...pia naona ni MBINU PIA YA KUDISCOURAGE watu wasiombe....mtu unakwenda kwa tukio la miezi miwili ijayo marekani, why upangiwe interview after 6 month...
Lakini Watanzania siyo wengi Marekani ni kwa nini watuletee huu ushenzi?

Huu uhuni wangewafanyia Waethiopia ndio wako wengi zaidi Marekani.
 
Visitors viza ndio inategemewa na wengi.

Nadhani sasa wanalazimisha tufanye cheating.
Yeah, Visitors wanajua kwanini wanaomba kwenda kutembea na watoaji wa visa wanajua how hard waombaji wanazihitaji hizo visa, and pamoja na na restrictions zake wanajua hao waombaji wanaenda kufanya kazi under the counter na majority lengo leo na kuzamia. Watoaji wa visa wanalijua hilo ila wanajifanya ni kama hawalijui.
 
Back
Top Bottom