TOP 10: Tanzania ni kati ya Nchi 10 za Afrika zinazoongoza kwa kupokea Misaada kutoka Marekani

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
1692282592639.jpeg

Takwimu za World Population Review kwa kipindi cha takriban miaka 5 Nchi za Afrika pekee zinakadiriwa kupokea 32% ya misaada ya Kifedha kutoka Marekani, 31% ni Nchi za Mashariki ya Kati na 25% katika Nchi za Asia.

Nchi 5 za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania ni kati ya Nchi 10 Barani Afrika zinazopokea Misaada mikubwa ya Kifedha kutoka Serikali ya Marekani na Mashirika mbalimbali Nchini humo.

Vipi Mdau, Una maoni gani kuhusu Nchi za Afrika kutegemea Misaada katika utekelezaji wa Shughuli za Maendeleo?.
===========

US Foreign Aid by Country 2023

Foreign aid is money that is given by the United States government to governments of other nations. According to the Congressional Research Service, there are five categories of foreign aid: economic assistance, humanitarian aid, multilateral economic contributions, bilateral development aid, and military aid.

The U.S. provides aid to countries that are recovering from war, developing countries, and countries that are strategically important to the U.S. In 2019 (the most recent year for which comprehensive numbers have been released), the U.S. spent over $47 billion on foreign aid – about the same as 2018 and $1 billion more than in 2017. More than 35% of that aid went to ten countries.

10 countries that receive the most U.S. foreign aid:

Afghanistan ($4.89 billion)
Israel ($3.3 billion)
Jordan ($1.72 billion)
Egypt ($1.46 billion)
Iraq ($960 million)
Ethiopia ($922 million)
Yemen ($809 million)
Colombia ($800 million)
Nigeria ($793 million)
Lebanon ($790 million)
Several governmental agencies provide foreign aid, including the Department of Defense, the Department of State, the Department of the Treasury, the Department of Energy, and the Peace Corps, just to name a few. As a rule, foreign aid falls into one of two categories: military aid and humanitarian (economic, developmental, or emergency relief) aid.

Many countries all over the world receive foreign aid from the United States, but there are a few that receive significant amounts. Iraq received over $5 billion in 2016, Afghanistan also receives several billion, Israel received over $3 billion, and Egypt and Jordan each received over $1 billion in aid. These countries receive a significant amount of military aid. In fact, all of Israel’s $3.1 billion was in military aid.

Other nations have received economic and development aid. Countries in Africa received about 32% of U.S. aid. Nations that benefit include Nigeria, Kenya, Ethiopia, and Tanzania. About 31% of U.S. aid is spent in the Middle East, while 25% is spent in Asia.

Compared to other nations, the U.S. by far spends more foreign aid than anyone else. Germany is the next largest donor, but the U.S. spends over $10 billion a year more than this nation. That said, when considering foreign aid as a percentage of total GDP ($21.43 trillion in 2019), the U.S. is one of the lowest spenders among all developed countries.

Here are the 10 countries that receive the most foreign aid:

Iraq: $1.17 Bn 🇮🇶
Jordan: $1.16 Bn 🇯🇴
Syria: $819.37 Mn 🇸🇾
Ethiopia: $806.91 Mn 🇪🇹
Afghanistan: $760.17 Mn 🇦🇫
South Sudan: $749.53 Mn 🇸🇸
Nigeria: $739.50 Mn 🇳🇬
Dr Congo: $672.06 Mn 🇨🇩
Yemen: $633.60 Mn 🇾🇪
Kenya: $591.36 Mn 🇰🇪

1692281939018.png
 

Attachments

  • 1692282013833.png
    1692282013833.png
    385 KB · Views: 10
Kwa namna tunavyoenda, hakuna hata dalili kuwa tutaacha kutegemea misaada toka mataifa mengine.

Akili zetu zimekwishadumaa na kuona kuwa sisi ni wa kupewa tu, hatuna uwezo wa kufanya lolote.

Kitu pekee tunachoweza ni kuuana na kubambikiana kesi. Nchi ambayo kila siku watawala wanafikiria namna gani watakomoa wanaowakosoa, haiwezi kuwa na ubunifu wa kufanya jambo lolote la maendeleo.
 
View attachment 2720069
Takwimu za World Population Review kwa kipindi cha takriban miaka 5 Nchi za Afrika pekee zinakadiriwa kupokea 32% ya misaada ya Kifedha kutoka Marekani, 31% ni Nchi za Mashariki ya Kati na 25% katika Nchi za Asia.

Nchi 5 za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania ni kati ya Nchi 10 Barani Afrika zinazopokea Misaada mikubwa ya Kifedha kutoka Serikali ya Marekani na Mashirika mbalimbali Nchini humo.

Vipi Mdau, Una maoni gani kuhusu Nchi za Afrika kutegemea Misaada katika utekelezaji wa Shughuli za Maendeleo?.
===========

US Foreign Aid by Country 2023

Foreign aid is money that is given by the United States government to governments of other nations. According to the Congressional Research Service, there are five categories of foreign aid: economic assistance, humanitarian aid, multilateral economic contributions, bilateral development aid, and military aid.

The U.S. provides aid to countries that are recovering from war, developing countries, and countries that are strategically important to the U.S. In 2019 (the most recent year for which comprehensive numbers have been released), the U.S. spent over $47 billion on foreign aid – about the same as 2018 and $1 billion more than in 2017. More than 35% of that aid went to ten countries.

10 countries that receive the most U.S. foreign aid:

Afghanistan ($4.89 billion)
Israel ($3.3 billion)
Jordan ($1.72 billion)
Egypt ($1.46 billion)
Iraq ($960 million)
Ethiopia ($922 million)
Yemen ($809 million)
Colombia ($800 million)
Nigeria ($793 million)
Lebanon ($790 million)
Several governmental agencies provide foreign aid, including the Department of Defense, the Department of State, the Department of the Treasury, the Department of Energy, and the Peace Corps, just to name a few. As a rule, foreign aid falls into one of two categories: military aid and humanitarian (economic, developmental, or emergency relief) aid.

Many countries all over the world receive foreign aid from the United States, but there are a few that receive significant amounts. Iraq received over $5 billion in 2016, Afghanistan also receives several billion, Israel received over $3 billion, and Egypt and Jordan each received over $1 billion in aid. These countries receive a significant amount of military aid. In fact, all of Israel’s $3.1 billion was in military aid.

Other nations have received economic and development aid. Countries in Africa received about 32% of U.S. aid. Nations that benefit include Nigeria, Kenya, Ethiopia, and Tanzania. About 31% of U.S. aid is spent in the Middle East, while 25% is spent in Asia.

Compared to other nations, the U.S. by far spends more foreign aid than anyone else. Germany is the next largest donor, but the U.S. spends over $10 billion a year more than this nation. That said, when considering foreign aid as a percentage of total GDP ($21.43 trillion in 2019), the U.S. is one of the lowest spenders among all developed countries.

Here are the 10 countries that receive the most foreign aid:

Iraq: $1.17 Bn 🇮🇶
Jordan: $1.16 Bn 🇯🇴
Syria: $819.37 Mn 🇸🇾
Ethiopia: $806.91 Mn 🇪🇹
Afghanistan: $760.17 Mn 🇦🇫
South Sudan: $749.53 Mn 🇸🇸
Nigeria: $739.50 Mn 🇳🇬
Dr Congo: $672.06 Mn 🇨🇩
Yemen: $633.60 Mn 🇾🇪
Kenya: $591.36 Mn 🇰🇪

View attachment 2720049
In fact kabla ya Jiwe kuvurunda ,ilikuwa inafuatia Egypt na Ethiopia
 
View attachment 2720069
Takwimu za World Population Review kwa kipindi cha takriban miaka 5 Nchi za Afrika pekee zinakadiriwa kupokea 32% ya misaada ya Kifedha kutoka Marekani, 31% ni Nchi za Mashariki ya Kati na 25% katika Nchi za Asia.

Nchi 5 za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania ni kati ya Nchi 10 Barani Afrika zinazopokea Misaada mikubwa ya Kifedha kutoka Serikali ya Marekani na Mashirika mbalimbali Nchini humo.

Vipi Mdau, Una maoni gani kuhusu Nchi za Afrika kutegemea Misaada katika utekelezaji wa Shughuli za Maendeleo?.
===========

US Foreign Aid by Country 2023

Foreign aid is money that is given by the United States government to governments of other nations. According to the Congressional Research Service, there are five categories of foreign aid: economic assistance, humanitarian aid, multilateral economic contributions, bilateral development aid, and military aid.

The U.S. provides aid to countries that are recovering from war, developing countries, and countries that are strategically important to the U.S. In 2019 (the most recent year for which comprehensive numbers have been released), the U.S. spent over $47 billion on foreign aid – about the same as 2018 and $1 billion more than in 2017. More than 35% of that aid went to ten countries.

10 countries that receive the most U.S. foreign aid:

Afghanistan ($4.89 billion)
Israel ($3.3 billion)
Jordan ($1.72 billion)
Egypt ($1.46 billion)
Iraq ($960 million)
Ethiopia ($922 million)
Yemen ($809 million)
Colombia ($800 million)
Nigeria ($793 million)
Lebanon ($790 million)
Several governmental agencies provide foreign aid, including the Department of Defense, the Department of State, the Department of the Treasury, the Department of Energy, and the Peace Corps, just to name a few. As a rule, foreign aid falls into one of two categories: military aid and humanitarian (economic, developmental, or emergency relief) aid.

Many countries all over the world receive foreign aid from the United States, but there are a few that receive significant amounts. Iraq received over $5 billion in 2016, Afghanistan also receives several billion, Israel received over $3 billion, and Egypt and Jordan each received over $1 billion in aid. These countries receive a significant amount of military aid. In fact, all of Israel’s $3.1 billion was in military aid.

Other nations have received economic and development aid. Countries in Africa received about 32% of U.S. aid. Nations that benefit include Nigeria, Kenya, Ethiopia, and Tanzania. About 31% of U.S. aid is spent in the Middle East, while 25% is spent in Asia.

Compared to other nations, the U.S. by far spends more foreign aid than anyone else. Germany is the next largest donor, but the U.S. spends over $10 billion a year more than this nation. That said, when considering foreign aid as a percentage of total GDP ($21.43 trillion in 2019), the U.S. is one of the lowest spenders among all developed countries.

Here are the 10 countries that receive the most foreign aid:

Iraq: $1.17 Bn
Jordan: $1.16 Bn
Syria: $819.37 Mn
Ethiopia: $806.91 Mn
Afghanistan: $760.17 Mn
South Sudan: $749.53 Mn
Nigeria: $739.50 Mn
Dr Congo: $672.06 Mn
Yemen: $633.60 Mn
Kenya: $591.36 Mn

View attachment 2720049
List zote mbili hakuna Tanzania hakika wewe ni kiazi kitupu aka mbatata

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Watupe na misaada ya akili pia sio mihela tu
Alafu kuna kima mmoja anaamka kutoka kwenye usingizi wa ajabu anasema 'AI wasiingilie masuala ya Africa' wakati jamaa wanamwaga mapesa yao na wanayala na kuyatumbua wenyewe alafu wanachonga midomo
 
View attachment 2720069
Takwimu za World Population Review kwa kipindi cha takriban miaka 5 Nchi za Afrika pekee zinakadiriwa kupokea 32% ya misaada ya Kifedha kutoka Marekani, 31% ni Nchi za Mashariki ya Kati na 25% katika Nchi za Asia.

Nchi 5 za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania ni kati ya Nchi 10 Barani Afrika zinazopokea Misaada mikubwa ya Kifedha kutoka Serikali ya Marekani na Mashirika mbalimbali Nchini humo.

Vipi Mdau, Una maoni gani kuhusu Nchi za Afrika kutegemea Misaada katika utekelezaji wa Shughuli za Maendeleo?.
===========

US Foreign Aid by Country 2023

Foreign aid is money that is given by the United States government to governments of other nations. According to the Congressional Research Service, there are five categories of foreign aid: economic assistance, humanitarian aid, multilateral economic contributions, bilateral development aid, and military aid.

The U.S. provides aid to countries that are recovering from war, developing countries, and countries that are strategically important to the U.S. In 2019 (the most recent year for which comprehensive numbers have been released), the U.S. spent over $47 billion on foreign aid – about the same as 2018 and $1 billion more than in 2017. More than 35% of that aid went to ten countries.

10 countries that receive the most U.S. foreign aid:

Afghanistan ($4.89 billion)
Israel ($3.3 billion)
Jordan ($1.72 billion)
Egypt ($1.46 billion)
Iraq ($960 million)
Ethiopia ($922 million)
Yemen ($809 million)
Colombia ($800 million)
Nigeria ($793 million)
Lebanon ($790 million)
Several governmental agencies provide foreign aid, including the Department of Defense, the Department of State, the Department of the Treasury, the Department of Energy, and the Peace Corps, just to name a few. As a rule, foreign aid falls into one of two categories: military aid and humanitarian (economic, developmental, or emergency relief) aid.

Many countries all over the world receive foreign aid from the United States, but there are a few that receive significant amounts. Iraq received over $5 billion in 2016, Afghanistan also receives several billion, Israel received over $3 billion, and Egypt and Jordan each received over $1 billion in aid. These countries receive a significant amount of military aid. In fact, all of Israel’s $3.1 billion was in military aid.

Other nations have received economic and development aid. Countries in Africa received about 32% of U.S. aid. Nations that benefit include Nigeria, Kenya, Ethiopia, and Tanzania. About 31% of U.S. aid is spent in the Middle East, while 25% is spent in Asia.

Compared to other nations, the U.S. by far spends more foreign aid than anyone else. Germany is the next largest donor, but the U.S. spends over $10 billion a year more than this nation. That said, when considering foreign aid as a percentage of total GDP ($21.43 trillion in 2019), the U.S. is one of the lowest spenders among all developed countries.

Here are the 10 countries that receive the most foreign aid:

Iraq: $1.17 Bn 🇮🇶
Jordan: $1.16 Bn 🇯🇴
Syria: $819.37 Mn 🇸🇾
Ethiopia: $806.91 Mn 🇪🇹
Afghanistan: $760.17 Mn 🇦🇫
South Sudan: $749.53 Mn 🇸🇸
Nigeria: $739.50 Mn 🇳🇬
Dr Congo: $672.06 Mn 🇨🇩
Yemen: $633.60 Mn 🇾🇪
Kenya: $591.36 Mn 🇰🇪

View attachment 2720049
Halaf anajitokeza dumb azz uvccm anajidai et MABEBERU wasingilie mamb yetu ya ndani 🤣🤣🤣🤣 ushakubali ndoa unamlalia nan na chupi?
 
Hiyo misaada ni kama cocaine! Tuko addicted, tunasema "hatuwezi chochote", hata kusimamia bandari hatuwezi, kusimamia TANESCO hatuwezi, tunahiji msaada wa fedha na watu kila mahali.

Kama vipi tuwaite tu wajerumani waje waunde serikali ya kikoloni tena, what is the point of independence kama hamuwezi kila kitu? Kuna vitu vilikuwa vinawezekana miaka michache tu nyuma hapo wakati wa JPM, leo watu wanalialia kuwa hatuwezi!!
 
View attachment 2720069
Takwimu za World Population Review kwa kipindi cha takriban miaka 5 Nchi za Afrika pekee zinakadiriwa kupokea 32% ya misaada ya Kifedha kutoka Marekani, 31% ni Nchi za Mashariki ya Kati na 25% katika Nchi za Asia.

Nchi 5 za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania ni kati ya Nchi 10 Barani Afrika zinazopokea Misaada mikubwa ya Kifedha kutoka Serikali ya Marekani na Mashirika mbalimbali Nchini humo.

Vipi Mdau, Una maoni gani kuhusu Nchi za Afrika kutegemea Misaada katika utekelezaji wa Shughuli za Maendeleo?.
===========

US Foreign Aid by Country 2023

Foreign aid is money that is given by the United States government to governments of other nations. According to the Congressional Research Service, there are five categories of foreign aid: economic assistance, humanitarian aid, multilateral economic contributions, bilateral development aid, and military aid.

The U.S. provides aid to countries that are recovering from war, developing countries, and countries that are strategically important to the U.S. In 2019 (the most recent year for which comprehensive numbers have been released), the U.S. spent over $47 billion on foreign aid – about the same as 2018 and $1 billion more than in 2017. More than 35% of that aid went to ten countries.

10 countries that receive the most U.S. foreign aid:

Afghanistan ($4.89 billion)
Israel ($3.3 billion)
Jordan ($1.72 billion)
Egypt ($1.46 billion)
Iraq ($960 million)
Ethiopia ($922 million)
Yemen ($809 million)
Colombia ($800 million)
Nigeria ($793 million)
Lebanon ($790 million)
Several governmental agencies provide foreign aid, including the Department of Defense, the Department of State, the Department of the Treasury, the Department of Energy, and the Peace Corps, just to name a few. As a rule, foreign aid falls into one of two categories: military aid and humanitarian (economic, developmental, or emergency relief) aid.

Many countries all over the world receive foreign aid from the United States, but there are a few that receive significant amounts. Iraq received over $5 billion in 2016, Afghanistan also receives several billion, Israel received over $3 billion, and Egypt and Jordan each received over $1 billion in aid. These countries receive a significant amount of military aid. In fact, all of Israel’s $3.1 billion was in military aid.

Other nations have received economic and development aid. Countries in Africa received about 32% of U.S. aid. Nations that benefit include Nigeria, Kenya, Ethiopia, and Tanzania. About 31% of U.S. aid is spent in the Middle East, while 25% is spent in Asia.

Compared to other nations, the U.S. by far spends more foreign aid than anyone else. Germany is the next largest donor, but the U.S. spends over $10 billion a year more than this nation. That said, when considering foreign aid as a percentage of total GDP ($21.43 trillion in 2019), the U.S. is one of the lowest spenders among all developed countries.

Here are the 10 countries that receive the most foreign aid:

Iraq: $1.17 Bn 🇮🇶
Jordan: $1.16 Bn 🇯🇴
Syria: $819.37 Mn 🇸🇾
Ethiopia: $806.91 Mn 🇪🇹
Afghanistan: $760.17 Mn 🇦🇫
South Sudan: $749.53 Mn 🇸🇸
Nigeria: $739.50 Mn 🇳🇬
Dr Congo: $672.06 Mn 🇨🇩
Yemen: $633.60 Mn 🇾🇪
Kenya: $591.36 Mn 🇰🇪

View attachment 2720049
we nia yako ni nini, ktk hizo ripoti zote wala sijaiona Tanzania, au umejichanganya mwenyewe?
 
Kwa kawaida hata katika maisha ya kawaida tu ukikopa ili ufanyie starehe huwezi kutoboa kulipa mikopo yako,tumekuwa tukirudi na kurudi tena kwenye kukopa kwa sababu mikopo ipatikanayo inatumika kuneemesha mifuko ya wachache kwa ajili ya starehe na Anasa, kwa akili hizi hizi tu Tusahau kujitoa katika mikopo😁😁
 
Kwa kawaida hata katika maisha ya kawaida tu ukikopa ili ufanyie starehe huwezi kutoboa kulipa mikopo yako,tumekuwa tukirudi na kurudi tena kwenye kukopa kwa sababu mikopo ipatikanayo inatumika kuneemesha mifuko ya wachache kwa ajili ya starehe na Anasa, kwa akili hizi hizi tu Tusahau kujitoa katika mikopo
Hivi unaongelea mikopo ya maji ya Kilimanjaro au nini haswa
 
Back
Top Bottom