Hospitali ya Mzena inamilikiwa na nani? Kwanini iitwe Mzena?

Uongo gani sasa? Ile ni hospital ya umma acha kuwa zwazwa! Ulishawahi kuugua ukaenda pale ukafukuzwa…? Ama ni nani unayemfahamu alishawahi kwenda pale akafukuzwa kama una ushahidi weka hapa…!
Wewe ukiugua nenda hapo kama hutotibiwa uje ulete mrejesho…
Acha kuleta stori za vijiwe vya kahawa hapa..!
Kuhusu viongozi kutibiwa kwa vibali maalum, mbona zipo hospital nyingi tu zenye utaratibu wa namna hiyo…!
Tuwekee na wewe ushahidi kwamba yeyote anaweza kutibiwa, mfano tumezoea kuona Picha mbalimbali za MOI, JKHI, Mloganzila Hospitals na nyinginezo zikionyesha watu wanapata matibabu, ila hiyo wala sijawahi kuona..
 
Uongo gani sasa? Ile ni hospital ya umma acha kuwa zwazwa! Ulishawahi kuugua ukaenda pale ukafukuzwa…? Ama ni nani unayemfahamu alishawahi kwenda pale akafukuzwa kama una ushahidi weka hapa…!
Wewe ukiugua nenda hapo kama hutotibiwa uje ulete mrejesho…
Acha kuleta stori za vijiwe vya kahawa hapa..!
Kuhusu viongozi kutibiwa kwa vibali maalum, mbona zipo hospital nyingi tu zenye utaratibu wa namna hiyo…!

nshukuru Mungu huwa siumwagiumwagi embu wewe jaribu kwenda pale.
Ile sio taasisi ya umma kama the public service act ya mwaka 2002 inavyoeleza .
Sasa ni hivi katafute tangazo la kupangiwa kazi madaktari liilotolewaga na wizara ya afya kama utaona kuna daktari yeyote aliyepangiwa kazi kwenye hiyo hospitali na ujiulize kwa nini.
Hiyo ni hospitali maalumu kwa ajili ya wafanyakazi wa TISS na Familia zao tu.
Ukiumwa nenda pale ukapatiwe huduma kama utapata kama sio member wa pale.
watu kibao wanapata ajali mitaa ile hawapelekwi pale wanapelekwa mwananyamala wakati kuna hospitali nzuri karibu unafikiria kwa nini
 
Tuwekee na wewe ushahidi kwamba yeyote anaweza kutibiwa, mfano tumezoea kuona Picha mbalimbali za MOI, JKHI, Mloganzila Hospitals na nyinginezo zikionyesha watu wanapata matibabu, ila hiyo wala sijawahi kuona..
hilo jamaa halielewi kitu nilishashuhudia ajali mbaya imetokea karibu na geti la kuingilia hiyo hospitali ya mzena wananchi wakataka wawaingize majeruhi kwenye hiyo hospitali walinzi wakakataa wakaelekeza wapelekwe mwananyamala
wananchi wakahoji labda hao majeruhi ni watumishi wa tiss walinzi wakagoma wakaelekeza wapelekwe mwananyamala na kama ni watumishi wao watawafata huko
 
Tuwekee na wewe ushahidi kwamba yeyote anaweza kutibiwa, mfano tumezoea kuona Picha mbalimbali za MOI, JKHI, Mloganzila Hospitals na nyinginezo zikionyesha watu wanapata matibabu, ila hiyo wala sijawahi kuona..

Wewe ni mburula kweli! Kwa hiyo unataka nianike picha za wagonjwa ambapo hilo ni suala la faragha?
Imagine hata huko mloganzila unakosema, unaona picha ukute ndugu yako aliye mahututi picha yake imewekwa humu mitandaoni! Utajisikia poa siyo? Sifanyi upuuzi wa kuanika picha za wagonjwa ama watu waliopo hospital mitandaoni.Kudai picha za watu wanaopata matibabu hospital eti kisa uliziona pengine kwenye vyombo vya habari n.k ni dalili kuwa utakuwa una mtindio wa ubongo! Mtu mwenye akili timamu hawezi kudai picha za wagonjwa wanaotibiwa hospital ili kuthibitisha kweli wanatibiwa!
Then acha kuleta stori za mitaani nenda hapo au peleka ndugu yako, majibu utakayopata kama utatibiwa au lah ndio unaoweza kuleta hapa kama mrejesho wa ushahidi, kama utapata matibabu au lah…!!
 
nshukuru Mungu huwa siumwagiumwagi embu wewe jaribu kwenda pale.
Ile sio taasisi ya umma kama the public service act ya mwaka 2002 inavyoeleza .
Sasa ni hivi katafute tangazo la kupangiwa kazi madaktari liilotolewaga na wizara ya afya kama utaona kuna daktari yeyote aliyepangiwa kazi kwenye hiyo hospitali na ujiulize kwa nini.
Hiyo ni hospitali maalumu kwa ajili ya wafanyakazi wa TISS na Familia zao tu.
Ukiumwa nenda pale ukapatiwe huduma kama utapata kama sio member wa pale.
watu kibao wanapata ajali mitaa ile hawapelekwi pale wanapelekwa mwananyamala wakati kuna hospitali nzuri karibu unafikiria kwa nini

Wewe nae ni zoba kweli!
Mimi sifanyi majaribio, ukiumwa una bima nenda, leta mrejesho! Siyo habari sijui za kusikia flani alienda akahojiwa, ooh mara sijui uliona akina flani walizuiwa getin na blah blah kibao hapa!
Halafu, kwa hiyo kutokupangiwa kazi madaktari katika hiyo hospitali ndio kuifanya kutokuwa ya umma ama kutokutibu wananchi wa kawaida!?
Hoja yako ya eti nikuletee tangazo la kupangiwa madaktari pale ni mfu na inaonyesha usivyojua chochote, zaidi unachojua ni kutoka stori za vijiweni tu!
Sasa na wewe niletee tangazo lile la mwaka jana mwezi Juni uonyeshe kama kuna madaktari waliopangiwa kazi, Muhimbili, Mloganzila, Mwananyamala au Amana.. na kama wapo useme ni wangapi na kama hamna useme ni kwa nini ama hizo hospital ambazo ni za umma pia zipo specific kwa tiss.
 
Kuna threads zikifukuliwa ninaanza kuhisi kuna tukio limewadia kuwa bayana, ngoja titulie tuendelee kupata dondoo za Simba na Yanga.
 
f0f2397c534251197252280f80133b02.jpg
 
Back
Top Bottom