Mkuu wa Mkoa wa Mwanza apewa wiki tatu na Mwenezi Makonda kuhakikisha Hospitali ya Sengerema Inafunguliwa

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,399
3,910
📌📌 MAAGIZO 3 YA CCM NDANI YA SENGEREMA - MWENEZI MAKONDA

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda ametoa maagizo matatu ya Chama Chama Mapinduzi mara baada ya kusiliza kero za Wananchi wa Sengerema akiwa njiani kupokelewa katika Jiji la Mwanza ambapo yupo kwa muendelezo wa ziara yake.

Maagizo hayo ni;
1 Chama Cha Mapinduzi kimetoa muda wa wiki moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla kuhakikisha Hospitali ya Wilaya ya Sengerema inafunguliwa na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

2 Chama Cha Mapinduzi yamuelekeza Afisa Ardhi kuhakikksha hadi kufikia kesho tarehe 13 Novemba, 2023 hati itolewe na ujenzi wa stendi uanze.

3 Aidha CCM yamuelekeza Mkurugenzi wa Halmaahauri ya Sengerema hadi kufikia kesho tarehe 12 Novemba, 2023 Stendi ya Mwembe yanga iliyokuwa imefungwa ifunguliwe kwani ni moja ya malalamiko makubwa ya Wananchi wa eneo hilo.

Cde. Paul Makonda
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa.

Akizungumza njiani na Wananchi wa Sengerema Jijini Mwanza kwenye ziara yake leo tarehe 12 Novemba, 2023.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
 
📌📌 MAAGIZO 3 YA CCM NDANI YA SENGEREMA - MWENEZI MAKONDA

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda ametoa maagizo matatu ya Chama Chama Mapinduzi mara baada ya kusiliza kero za Wananchi wa Sengerema akiwa njiani kupokelewa katika Jiji la Mwanza ambapo yupo kwa muendelezo wa ziara yake.

Maagizo hayo ni;
1 Chama Cha Mapinduzi kimetoa muda wa wiki moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla kuhakikisha Hospitali ya Wilaya ya Sengerema inafunguliwa na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

2 Chama Cha Mapinduzi yamuelekeza Afisa Ardhi kuhakikksha hadi kufikia kesho tarehe 13 Novemba, 2023 hati itolewe na ujenzi wa stendi uanze.

3 Aidha CCM yamuelekeza Mkurugenzi wa Halmaahauri ya Sengerema hadi kufikia kesho tarehe 12 Novemba, 2023 Stendi ya Mwembe yanga iliyokuwa imefungwa ifunguliwe kwani ni moja ya malalamiko makubwa ya Wananchi wa eneo hilo.

Cde. Paul Makonda
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa.

Akizungumza njiani na Wananchi wa Sengerema Jijini Mwanza kwenye ziara yake leo tarehe 12 Novemba, 2023.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
 

Attachments

  • 1699789407411.jpg
    1699789407411.jpg
    101.4 KB · Views: 9
  • 1699789400281.jpg
    1699789400281.jpg
    88.7 KB · Views: 6
  • 1699789396174.jpg
    1699789396174.jpg
    89.3 KB · Views: 8
MAAGIZO 3 YA CCM NDANI YA SENGEREMA - MWENEZI MAKONDA

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda ametoa maagizo matatu ya Chama Chama Mapinduzi mara baada ya kusiliza kero za Wananchi wa Sengerema akiwa njiani kupokelewa katika Jiji la Mwanza ambapo yupo kwa muendelezo wa ziara yake.

Maagizo hayo ni;
1 Chama Cha Mapinduzi kimetoa muda wa wiki moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla kuhakikisha Hospitali ya Wilaya ya Sengerema inafunguliwa na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

2 Chama Cha Mapinduzi yamuelekeza Afisa Ardhi kuhakikksha hadi kufikia kesho tarehe 13 Novemba, 2023 hati itolewe na ujenzi wa stendi uanze.

3 Aidha CCM yamuelekeza Mkurugenzi wa Halmaahauri ya Sengerema hadi kufikia kesho tarehe 12 Novemba, 2023 Stendi ya Mwembe yanga iliyokuwa imefungwa ifunguliwe kwani ni moja ya malalamiko makubwa ya Wananchi wa eneo hilo.

Cde. Paul Makonda
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa.

Akizungumza njiani na Wananchi wa Sengerema Jijini Mwanza kwenye ziara yake leo tarehe 12 Novemba, 2023.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Siku zote yuko mwz anashinda mitaa ya mwanza hotel hajatikisa mji...leo na huo mswambwanda wake kichwa zero brain amtikise nani.
 
📌📌 MAAGIZO 3 YA CCM NDANI YA SENGEREMA - MWENEZI MAKONDA

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda ametoa maagizo matatu ya Chama Chama Mapinduzi mara baada ya kusiliza kero za Wananchi wa Sengerema akiwa njiani kupokelewa katika Jiji la Mwanza ambapo yupo kwa muendelezo wa ziara yake.

Maagizo hayo ni;
1 Chama Cha Mapinduzi kimetoa muda wa wiki moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla kuhakikisha Hospitali ya Wilaya ya Sengerema inafunguliwa na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

2 Chama Cha Mapinduzi yamuelekeza Afisa Ardhi kuhakikksha hadi kufikia kesho tarehe 13 Novemba, 2023 hati itolewe na ujenzi wa stendi uanze.

3 Aidha CCM yamuelekeza Mkurugenzi wa Halmaahauri ya Sengerema hadi kufikia kesho tarehe 12 Novemba, 2023 Stendi ya Mwembe yanga iliyokuwa imefungwa ifunguliwe kwani ni moja ya malalamiko makubwa ya Wananchi wa eneo hilo.

Cde. Paul Makonda
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa.

Akizungumza njiani na Wananchi wa Sengerema Jijini Mwanza kwenye ziara yake leo tarehe 12 Novemba, 2023.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Libibi linafiki wewe,ww ni mkabila 'na mdini, ww si kutwa ulikuwa unamtukana rais! Imekuaje leo!
Bila shaka yoyote wewe ndo bashite mwenyewe kwa 100%
 
📌📌 MAAGIZO 3 YA CCM NDANI YA SENGEREMA - MWENEZI MAKONDA

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda ametoa maagizo matatu ya Chama Chama Mapinduzi mara baada ya kusiliza kero za Wananchi wa Sengerema akiwa njiani kupokelewa katika Jiji la Mwanza ambapo yupo kwa muendelezo wa ziara yake.

Maagizo hayo ni;
1 Chama Cha Mapinduzi kimetoa muda wa wiki moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla kuhakikisha Hospitali ya Wilaya ya Sengerema inafunguliwa na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

2 Chama Cha Mapinduzi yamuelekeza Afisa Ardhi kuhakikksha hadi kufikia kesho tarehe 13 Novemba, 2023 hati itolewe na ujenzi wa stendi uanze.

3 Aidha CCM yamuelekeza Mkurugenzi wa Halmaahauri ya Sengerema hadi kufikia kesho tarehe 12 Novemba, 2023 Stendi ya Mwembe yanga iliyokuwa imefungwa ifunguliwe kwani ni moja ya malalamiko makubwa ya Wananchi wa eneo hilo.

Cde. Paul Makonda
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa.

Akizungumza njiani na Wananchi wa Sengerema Jijini Mwanza kwenye ziara yake leo tarehe 12 Novemba, 2023.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Huyu ni mpango wa Mungu.
 
📌📌 MAAGIZO 3 YA CCM NDANI YA SENGEREMA - MWENEZI MAKONDA

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda ametoa maagizo matatu ya Chama Chama Mapinduzi mara baada ya kusiliza kero za Wananchi wa Sengerema akiwa njiani kupokelewa katika Jiji la Mwanza ambapo yupo kwa muendelezo wa ziara yake.

Maagizo hayo ni;
1 Chama Cha Mapinduzi kimetoa muda wa wiki moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla kuhakikisha Hospitali ya Wilaya ya Sengerema inafunguliwa na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

2 Chama Cha Mapinduzi yamuelekeza Afisa Ardhi kuhakikksha hadi kufikia kesho tarehe 13 Novemba, 2023 hati itolewe na ujenzi wa stendi uanze.

3 Aidha CCM yamuelekeza Mkurugenzi wa Halmaahauri ya Sengerema hadi kufikia kesho tarehe 12 Novemba, 2023 Stendi ya Mwembe yanga iliyokuwa imefungwa ifunguliwe kwani ni moja ya malalamiko makubwa ya Wananchi wa eneo hilo.

Cde. Paul Makonda
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa.

Akizungumza njiani na Wananchi wa Sengerema Jijini Mwanza kwenye ziara yake leo tarehe 12 Novemba, 2023.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee

Ma-conder anachekesha..
1699808238476.png
 
Back
Top Bottom