MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,706
- 4,923
Straight to the point:-
1. Je, Sera ya Idara ya Usalama wa Taifa ni ipi?
2. Je, Dhima ya Ofisi ya Rais wa Nchi ipi?
3. Hivi, kwa mfano ...Taifa likiwa kwenye Dangerous au Critical situations...ni nani au chombo kipi kinalo jukumu la kutusaidia?
Reminder: Commando Lady JeyDee wa Machozi band aliwahi kuimba , and I quote " MBONI ICHAFUKAPO JICHO HUWA MASHAKANI, NI MBALI WEWE ULIPO NA SIJUI U-KHALI GANI "
1. Je, Sera ya Idara ya Usalama wa Taifa ni ipi?
2. Je, Dhima ya Ofisi ya Rais wa Nchi ipi?
3. Hivi, kwa mfano ...Taifa likiwa kwenye Dangerous au Critical situations...ni nani au chombo kipi kinalo jukumu la kutusaidia?
Reminder: Commando Lady JeyDee wa Machozi band aliwahi kuimba , and I quote " MBONI ICHAFUKAPO JICHO HUWA MASHAKANI, NI MBALI WEWE ULIPO NA SIJUI U-KHALI GANI "