Hongera JamiiForums, Sauti yenu Imefika Wizara ya Elimu kuhusu Watoto kutokufunga Shule Likizo

Siku hiz watoto wanakuwa trained. Hakuna malezi wala makuzi... Wanakuwa trained kufaulu kama mbwa tu anavokuwa trained kulinda.... Mbwa anawajua wanafamilia tu....
Kadhalika mtoto anawajua wanafamilia tu..... Kwa kuwa a nakosa muda wa kumtembelea ndg wengine.
Mtoto inabid akue katk nyanja Hizi...
1.kiakili
2.kimwili
3.kiroho
4.kijamii

Hapo 3 na 4 muda mzur ni wa likizo... Sasa wakat WA likizo bado yupo kwenye 1.
Mtoto la 3 anaenda shule j3 Mpka jmos na likizo pia...

Mbona hawa walimu wanafanya mtihan wa taifa kuwa kitu cha ajabu Sana.

Yasaidia nn mtoto kupata A zote afu Hana hifu ya Mungu wala hajui jamii ikoje.... Anajua karatas tu.... Shiit.

Madhara yake ndo hawa matapeli wa kwenye mitandao Kwan amelelewa na elimu ya darasa tu hajui kujimix mitaan
 
Elimu ya kukariri, mfumo mbovu wa elimu biashara, ukizingatia zaidi kujitangaza kwenye ufaulu wa mitihani ya masomo ya darasani na vitabu, ikisahau elimu ni pamoja na mapumziko.

Beberu IB na Mifumo mingine wana likizo tena ndefu, hata miezi mi3 inafika wkt wa majira ya joto, summer! Na ndiyo wanaogundua Fesibuku na Rocket na satellite!

Shule za serikali pia la 4 na la 7, hawajafungaa, wazazi tumekuwa wavivu kulea, kisingizio wasome kumbe hatuwataki majumbani.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Nimefurahi sana baada ya malalamiko yaliyotolewa hapa kuhusu Wanafunzi kutokufunga shule wakati wa Likizo.

Nimeona barua ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kitengo cha Udhibiti Ubora wakizataka shule hizo kutoa maelezo kwa nini hawakufunga shule.

Nikiwa kama Mwalimu kitaaluma naungana na wizara ya Elimu na niwapongeze sana kwa kutupia jicho na wawachukulie hatua.

Wanafunzi sio empty Jars waliondaa mitaala wana akili na walijua kuwa mwanafunzi sio masomo tu.

Shukrani sana kwa JF na kwa Wizara ya Elimu. Naweza na barua hapa

View attachment 1815525
Musabe Schools Mwanza wafuatiliwe watoto wetu kila likizo wa Form ii hawatoki shule na tunaongezewa matumizi eti ya tours shg 20,000/= bila makubaliano ya wazazi. Visting day hakuna.
 
Wazazi wengine wamelipishwa 50,000 bila makubaliano yoyote .. kama ni kweli basi ni jambo jema sana
Kama mzazi katoa hiyo pesa, watakuwa amekubali na ameelewa analipia nini.
 
Siku hiz watoto wanakuwa trained. Hakuna malezi wala makuzi... Wanakuwa trained kufaulu kama mbwa tu anavokuwa trained kulinda.... Mbwa anawajua wanafamilia tu....
Kadhalika mtoto anawajua wanafamilia tu..... Kwa kuwa a nakosa muda wa kumtembelea ndg wengine.
Mtoto inabid akue katk nyanja Hizi...
1.kiakili
2.kimwili
3.kiroho
4.kijamii

Hapo 3 na 4 muda mzur ni wa likizo... Sasa wakat WA likizo bado yupo kwenye 1.
Mtoto la 3 anaenda shule j3 Mpka jmos na likizo pia...

Mbona hawa walimu wanafanya mtihan wa taifa kuwa kitu cha ajabu Sana.

Yasaidia nn mtoto kupata A zote afu Hana hifu ya Mungu wala hajui jamii ikoje.... Anajua karatas tu.... Shiit.

Madhara yake ndo hawa matapeli wa kwenye mitandao Kwan amelelewa na elimu ya darasa tu hajui kujimix mitaan
Umesema ukweli mchungu sana
 
Wazazi waache kuwa nyanyapaa watoto wao wakiwa likizoni. Kwa kuwambia hivi; "Bora shule zifunguliwe mrudi kwa myalimu yenu, mna kera sana, nyie watoto."
Mimba za bahati mbaya hizo, zina tabu zake sana. Mzazi anakosa muda wa kutengeneza bond na mwanae
 
Safi sana,kuna baadhi ya shule mojawapo atlas zishawataarifu wazazi wanafunzi wanaoingia madarasa ya mitihani mwakani wa primary na sec awatokua na likizo ya mwezi dec,wataendelea kubaki shule!
 
Mfumo wa kushindanisha shule ki nafasi nao umechangia haya. Biashara.Kwamba shule ya kwanza ndiyo inaonekana inatoa elimu bora. Halafu inachochea hata udanganyifu kwenye mitihani
Elimu iliondoka pamoja na mkoloni sisi tulibaki na majengo. Na ndo maana shule nyingi zinajitahidi kuvutia kwenye majengo, na siyo kuyathamini maslahi ya wale wanaoyapa hadhi majengo hayo yaani, walimu, wanafunzi, na watumishi wengine katika majengo hayo(walinzi, walezi,wapishi, chura, n.k).
 
Na wewe bado ukamshauri kamanda wako aendelee na huyo mke akat anajua kabisa keshatafunwa na mgonga saini wa wizara
Tulia utaletewa mrejesho address imeshajulikana tulia tu. Mengine off air yataendelea
 
Mfumo wa kushindanisha shule ki nafasi nao umechangia haya. Biashara.Kwamba shule ya kwanza ndiyo inaonekana inatoa elimu bora. Halafu inachochea hata udanganyifu kwenye mitihani
Sasa kuna maana gani ya kuwaweka watoto wetu huko, wangesubiri tuchange wanunue mitihani
 
Back
Top Bottom