Hongera JamiiForums, Sauti yenu Imefika Wizara ya Elimu kuhusu Watoto kutokufunga Shule Likizo

Huo ndo ukweli Mimi hata Yale magroup ya wazazi wa watoto mashuleni sijiungagi kabisa, make humo kwenye magroup kuna wazazi mpaka kero endapo utaenda kunyume na mipango ya shule wao ndo matajiri, wanaojua maana ya elimu, wanaojua malezi, kero tupu, Kwa sasa imekuwa kawaida drs la 4, 6 na 7 kupewa maprogram ya ajabu ajabu Kwa kisingizio cha kujiandaa na mitihani na mwisho siku matokeo hayatimofautiani saana na shule za serikali. Zaidi tunaambulia kiingereza Tu. Watoto waruhusiwe kufunga shule wajifunze mambo mengine ya nyumbani, Mtoto ajufunze hata kufuga kuku, siyo kila siku homework akiachana na issue za shule kidogo ni remote ya TV, big noo
Nakweli mkuu watoto wasasa wanakosa mda kabisa kujifunza mambo mengine ndohao baadae tunawambia wakajiajiri

Sent from my TECNO WX4 using JamiiForums mobile app
 
Ni sahihi ila Walioweka likizo sio Wajinga, watoto wanahitaji mapumziko ujue. Kuna extra curricular activities. Sasa kuwashindilia tu masomo mwanzo mwisho ni kuwakaririsha, which is not health at all
Shule nayo inaboa kama ilivyo likizo kazini. Watoto wanachoka pia na hizi shule za hapa mjini mtoto anaamka saa 11 alfajiri anarudi saa 11 jioni lazima achoke.

No wonder wengine wanaamua kukariri tu na wengine hata hawahangaiki hata kukariri kwanza masomo lukuki mtoto anabeba begi mpaka unamuonea huruma. Tena afadhali sisi ambao kidogo tumewalipia school bus sasa wale wa kayumba kupanda daladala mpaka unawaonea huruma.
 
Siyo utani nakumbuka mara ya Kwanza wakati naamia Dar toka Arusha, Mimi nilitangulia nikawa nimenunua Shamba, na nilikuwa na kijana ambaye kipindi hicho alikuwa form one mzumbe sekondari akiwa ametokea hizi shule zetu pendwa, nilishangaa kwenda naye Shamba Mtoto hajui hata mti wa mnazi hajui kiazi kinapatikanaje, tangu siku hiyo mwisho kabisa kusoma shule binafsi, alipomaliza mzumbe katupwa huko mbeya Kataka kuleta ngonjera nikamwambia huko huko. Kamaliza six kapangiwa jkt Kanembwa kaleta ngonjera hoo kambi za kigoma ziko harsh ni kamwambia huko huko, mwisho siku kaenda kujisalimisha Ruvu sijui aliwaeleza nini naona wamempokea. Kwangu naona ninhatua kama ameweza kwenda na kujibadilishia kambi mwenyewe naona kuna mabadiliko kutoka Ile mentality ya st
😂😂😂😂😂Dogo lika fight kambi
 
H
Shule nayo inaboa kama ilivyo likizo kazini. Watoto wanachoka pia na hizi shule za hapa mjini mtoto anaamka saa 11 alfajiri anarudi saa 11 jioni lazima achoke.

No wonder wengine wanaamua kukariri tu na wengine hata hawahangaiki hata kukariri kwanza masomo lukuki mtoto anabeba begi mpaka unamuonea huruma. Tena afadhali sisi ambao kidogo tumewalipia school bus sasa wale wa kayumba kupanda daladala mpaka unawaonea huruma.
Hao Walimu wenyewe wanaangalia mshiko tu
 
Huo ndo ukweli Mimi hata Yale magroup ya wazazi wa watoto mashuleni sijiungagi kabisa, make humo kwenye magroup kuna wazazi mpaka kero endapo utaenda kunyume na mipango ya shule wao ndo matajiri, wanaojua maana ya elimu, wanaojua malezi, kero tupu, Kwa sasa imekuwa kawaida drs la 4, 6 na 7 kupewa maprogram ya ajabu ajabu Kwa kisingizio cha kujiandaa na mitihani na mwisho siku matokeo hayatimofautiani saana na shule za serikali. Zaidi tunaambulia kiingereza Tu. Watoto waruhusiwe kufunga shule wajifunze mambo mengine ya nyumbani, Mtoto ajufunze hata kufuga kuku, siyo kila siku homework akiachana na issue za shule kidogo ni remote ya TV, big noo

Jamani kuna shule standard six wameingia boarding likizo hii

Maandalizi ya kuingia class 7
 
Nilipokuwa napanda daladala kwakweli nilikuwa nikimuona mtoto ametoka shule wakati mwingine nilikuwa nawaachia seat wakae tu. Wanachoka sana na ni wadogo kuwaexpise kwenye hizi shida basi tu uwezo wa mzazi unakuta ni mdogo.
Wanachoka sana, hizi shule haziwajengi watoto kuwa Na uwezo wa kujitegemea. Tunaua vipaji vingi sana
 
Nimefurahi sana baada ya malalamiko yaliyotolewa hapa kuhusu Wanafunzi kutokufunga shule wakati wa Likizo.

Nimeona barua ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kitengo cha Udhibiti Ubora wakizataka shule hizo kutoa maelezo kwa nini hawakufunga shule.

Nikiwa kama Mwalimu kitaaluma naungana na wizara ya Elimu na niwapongeze sana kwa kutupia jicho na wawachukulie hatua.

Wanafunzi sio empty Jars waliondaa mitaala wana akili na walijua kuwa mwanafunzi sio masomo tu.

Shukrani sana kwa JF na kwa Wizara ya Elimu. Naweza na barua hapa

View attachment 1815525
Wadau huyu Mathias I Mvula anamawasiliano ya kimapenzi na mke wa rafiki yangu tunamtafuta kwa yeyote aliepo Dodoma tafadhari mpaka alishawahi pigiwa simu kuonywa na bado akaendelea yakihitajika na mengine tutayafikisha kwawaziri husika huyu mwanamke yupo morogoro shule za manispaa, aliwahi kumfundisha Ilonga chuo cha walimu kilosa. Popote ulipo Mathias I Mvula ujipange haswaa kwa hilo.
 
Wanachoka sana, hizi shule haziwajengi watoto kuwa Na uwezo wa kujitegemea. Tunaua vipaji vingi sana
Kiukweli watoto hawapati uwezo wa kufanya mambo ya ziada so suala la likizo ni muhimu sana at least wapate kufanya extra curricular activities.

Hapo mzazi inabidi kuwa makini na maendeleo ya mtoto ili kumuendeleza hata umlipie kozi za judo au tennis au uchoraji au muziki otherwise unakuta Mtoto anamaliza shule hata kipaji chake hujui maana amelundikiwa masomo tu as if shule ni kusoma tu.

Shule pia kuna kukua, kufahamiana na Mambo kibao. Waweke hata mapumziko kipindi cha kupiga soga tu anaingia mwalimu anawapigisha soga tu anawapa experience za maisha na kuwamotivate kwenye mambo mbalimbali.

Hizi shule ndio zimetupatia wenza wa maisha, partners wa kibiashara , washkaji wanaokupa channel za deal na Mambo kibao ambayo ni nje na masomo pia.
 
Wadau huyu Mathias I Mvula anamawasiliano ya kimapenzi na mke wa rafiki yangu tunamtafuta kwa yeyote aliepo Dodoma tafadhari mpaka alishawahi pigiwa simu kuonywa na bado akaendelea yakihitajika na mengine tutayafikisha kwawaziri husika huyu mwanamke yupo morogoro shule za manispaa, aliwahi kumfundisha Ilonga chuo cha walimu kilosa. Popote ulipo Mathias I Mvula ujipange haswaa kwa hilo.
Sasa mdau Waziri ndiyo atamfanya nini Bwana Mathias?Hapo kuna namna mbili tu kumdhibiti.Weka mtego akijaa kwenye frem kaisha au nenda Congo kule kuna wataalamu wachache wanamroga haitasimama dede maisha. Ila uwe makini matapeli wengi pia
 
Wadau huyu Mathias I Mvula anamawasiliano ya kimapenzi na mke wa rafiki yangu tunamtafuta kwa yeyote aliepo Dodoma tafadhari mpaka alishawahi pigiwa simu kuonywa na bado akaendelea yakihitajika na mengine tutayafikisha kwawaziri husika huyu mwanamke yupo morogoro shule za manispaa, aliwahi kumfundisha Ilonga chuo cha walimu kilosa. Popote ulipo Mathias I Mvula ujipange haswaa kwa hilo.
Ndio nani huyo? Nipe kazi ya kumfumania, nitaifanya kwa weledi mkubwa sana
 
Back
Top Bottom