Ohooo hayo umesema wewe sasa mkuu, ila mimi nimeshauri vyama vipunguze mizaha kwenye kuteua wagombea wenza ili kuepukana na mabalaa yanayoweza kutokea.Nimeandka nimefuta karibu mara 5 kwa hyo mgombea mwenza wa CCM mwaka 2020 alikuwa mzaha au una maana gani?
nimeelewa sana ,mlitaka mama samia awe kama magufuli huo ndo ukweli aendeleze uvunjwaji wa sheria nakatiba zanchi ...hapa tupate katiba mpya hata nchi akiwa chizi inaenda sawasawa..tupunguze nguvu ya rais mifumo ifanye kazi ,ukizingua gereza lakoMkuu hakuna tunachotaka zaidi ya kupunguza mizaha kwenye kuteua wagombea wenza ukinielewa hapo basi hakuna kesi mkuu
Kwenye mada yangu sijalinganisha mtu na mtu wala sijataja habari za team hapa na wala sijabisha kuwa mama ndio rais wetu.Mama Samia ndio Rais wetu wether like it or not,nyie team mwendazake kubalianeni na matokeo, Samia is far better than jiwe Mungu kamleta wakati sahihi kabisa
Hayo mengine ulio sema mimi sijui mkuu.nimeelewa sana ,mlitaka mama samia awe kama magufuli huo ndo ukweli aendeleze uvunjwaji wa sheria nakatiba zanchi ...hapa tupate katiba mpya hata nchi akiwa chizi inaenda sawasawa..tupunguze nguvu ya rais mifumo ifanye kazi ,ukizingua gereza lako
Lipi iloNi kweli vyama vyote vilikuwa vinadharau sana juu ya hili kwa kuchagua wagombea wenza incompetent. Ila kwa hili lililotokea naamini litakuwa no funzo tosha.
SASHA hakujiandaa kuongoza hii nchi, ameangukiwa na BAHATI YA MTENDE tu. Udhaifu wa Katiba iliyopo utajidhihirisha tu hata kabla ya 2025, ni suala la muda tu.Walioko bungeni hawajaliona hili,hadi 2025 wataona madhara yake. Ilitakiwa makamu atawale kipindi cha mpiti madhalani miezi 6, then uchaguzi mkuu ufanyike.
Dah jiwe aliyejiandaa tuliona madhara yakeSHASHA hakujiandaa kuongoza hii nchi, ameangukiwa na BAHATI YA MTENDE tu. Udhaifu wa Katiba iliyopo utajidhihirisha tu hata kabla ya 2025, ni suala la muda tu.
Uchaguzi mpya ni gharama sana, unachukua muda, na nchi haiwezi kukaa bila rais.Ni kweli; hata mimi nimeshaona tatizo la kikatiba hata. Ile katiba ya zamani ilikuwa inasema rais akifa, basi uchaguzi mwingine unafanyika kujaza nafasi yake kama ambavyo anapokufa mbunge nafasi yake inajazwa kwa uchaguzi mdogo.
Mabadiliko ya kusema makamu wa rais anakuwa automatic na akishachukua madaraka anafanya lolote atakalo ikiwa ni pamoja na kupangua serikali aliyokuta, linaweza kuwa unintended consequences kwa mustkhabali wa nchi.
Nyie team jiwe mnahangaika Sana kwa huyu mama baada ya mwendazake kuondoka ghafla mumechanganyikiwa na ningekuwa Samia siwahurumii nawafurusha na Kama kawa spare mnakuja huku jf na thread's za hivi ni rahisi kumhujumu ili mpate na kusemaKwenye mada yangu sijalinganisha mtu na mtu wala sijataja habari za team hapa na wala sijabisha kuwa mama ndio rais wetu.
Mimi nimezungumzia habari za uteuzi wa wagombea wenza hayo mengine yakwako bidada.
Yani wanataka mama awe katili kama mwendazake asiyefata katiba huku akiua uchumi, uwekezaji wao as long as walifaidika naye wako okay kabisanimeelewa sana ,mlitaka mama samia awe kama magufuli huo ndo ukweli aendeleze uvunjwaji wa sheria nakatiba zanchi ...hapa tupate katiba mpya hata nchi akiwa chizi inaenda sawasawa..tupunguze nguvu ya rais mifumo ifanye kazi ,ukizingua gereza lako
Aah kumbe ni hivyo haya ahsante kwa kunipa team dada sasa na wewe team ipi sasa hapo?Nyie team jiwe mnahangaika Sana kwa huyu mama baada ya mwendazake kuondoka ghafla mumechanganyikiwa na ningekuwa Samia siwahurumii nawafurusha na Kama kawa spare mnakuja huku jf na thread's za hivi ni rahisi kumhujumu ili mpate na kusema
Mbona Mwalimu sio kilaza?Hata Tundu Lissu mgombea mwenza wake inaonyesha walimweka kutimiza matakwa ya Katiba.
Ameona mama anaanza kuzingua?Mleta mada hebu funguka, mbona kama kuna kitu wataka andika lakini wajificha nyuma ya maneno 'mgombea mwenza'
Upo sahihi kabisa mkuu ila hawa wagombea wenza ambao muda wowote wanaweza kuwa wakuu wa nchi inabidi ufanyike mchakato wa nguvu na kwa umakini mkubwa kuwapata na si kujiamulia tu na kuweka mtu yoyote kana kwamba ni nafasi tu ya kishikaji.Uchaguzi mpya ni gharama sana, unachukua muda, na nchi haiwezi kukaa bila rais.
Utaratibu wa makamu wa rais kuchukua urais upo sehemu nyingi, unaondoa gharama za uchaguzi, na unaondoa nchi kusubiri uchaguzi kupata rais mpya.
Huo utaratibu wa kufanya uchaguzi unaweza kuleta mpasuko mkubwa sana na hata vita.
Kwani huyo anayeenda kuchaguliwa tena hawezi kufanywa mgombea mwenza akifa rais yeye akawa rais automatically kama VP?
Sio wagombea wenza tu, kiujumla Watanzania huwa tunaishi kwa mazoea tu.Upo sahihi kabisa mkuu ila hawa wagombea wenza ambao muda wowote wanaweza kuwa wakuu wa nchi inabidi ufanyike mchakato wa nguvu na kwa umakini mkubwa kuwapata na si kujiamulia tu na kuweka mtu yoyote kana kwamba ni nafasi tu ya kishikaji.
Hii inatuletea madhara makubwa Kama taifa pindi zinapotokea dharura jiulize Membe angeshinda urais alafu yengetokea Kama haya yalio tokea (japo hatuombie) inamaana yule mgombea mwenza ndio angukuwa rais wetu leo.
Hili ni kwa vyama vyote, huo ni mfano tu.