Mnapochagua Mgombea mwenza mjue ya kwamba Raisi akifariki yeye ndio anashika nafasi ya Uraisi .kwa hio mara ingine mjue mnachagua mtu ambe yupo tayari kushika na kuongoza nchi kuliko kuongozwa.ata sijui kama nimefahamika ,maana watanganyika wagumu kufahamu.