Hivi ni haki kweli kupiga nyimbo za ibada kwenye nyumba za kulala wageni?

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,701
9,779
Kuna Guest House moja mbali na mtaani kwangu huwa napenda kwenda kufanyia tabia mbaya. Hii Guest ni imetulia sana, hata entrace zake ni rafiki kwa ajili ya wanachama wa ndoa zao

Imeibuka tabia mbaya ya kucheza nyimbo za dini pamoja na mahubiri kutoka redioni ama runingani. Msimamizi huyo wa nyumba ya kulala wageni hutumia sauti kubwa ili kuiburudisha nafsi yake, jambo linalopelekea kero kwa wateja. Nimekwisha ongea na boss mwenye mjengo lakini hata yeye hachukulii maanani

Just assume uko unaichapa, mara usikie "Mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa". Hivi unadhani hiyo mbususu unayoizagamua inakuchukuliaje kwa mfano!?🤔 Nje ya mada kidogo, ila maandiko mengine yanachekesha sana, kwamba aziniye na mwanamke hana akili kabisa😄 Kwa hiyo tulitakiwa tuzini na ng'ombe?

Turudi kwenye mada, uko unazagamua unaanza kusikia nyimbo za kiama, mara kuna moto, n.k Inasikitisha sana, soon nitapahama

Hivi hiyo kweli ni haki?
 
Uko zako unapiga tako za mke wa mtu ghafla unasikia nyimbo ya Rose Muhando

"Nimesema uzinzi sitaki eeh!!, namtaka yesu niponeeee"
😂😂
Ahhh stimu zinakata kabisaa
 
Kuna Guest House moja mbali na mtaani kwangu huwa napenda kwenda kufanyia tabia mbaya. Hii Guest ni imetulia sana, hata entrace zake ni rafiki kwa ajili ya wanachama wa ndoa zao



Hivi hiyo kweli ni haki?
Mara zote neno la Mungu ni kwa kondoo waliopotea. Yaani zipigwe hadi bar ili wazinzi na walevi wamjue Yesu kristo
 
Waache wapige ww ukiwa bussy na mambo yako hata hutasikia chochote ni vile tu unawafatilia.
 
Unaweza sikia usielewe kinacho imbwa😅
We acha tu. Kuna siku imetokea, mpaka binti wa watu akaamua afumbr macho tu, mbususu yake nikaihisi kabisa imenywea. Yaani ilikuwa ni full aibu. Yule mchungaji anakazia "Aziniye na mwanamke hana akili, nasemaje, oppress, zero brain. "Na unakuta muda huu kuna mtu anazini, aibu sana wapendwa katika bwana". Kha!
 
We acha tu. Kuna siku imetokea, mpaka binti wa watu akaamua afumbr macho tu, mbususu yake nikaihisi kabisa imenywea. Yaani ilikuwa ni full aibu. Yule mchungaji anakazia "Aziniye na mwanamke hana akili, nasemaje, oppress, zero brain. "Na unakuta muda huu kuna mtu anazini, aibu sana wapendwa katika bwana". Kha!
Duh ilikuwa guest?
 
Mkuu utakuwa una gejee ww yaan nyimbo ikutoe njian

Mm ningemfata muhudumu nimwambiee km n redio aweke upande wa Bluetooth niplay nyimbo ya rozi muhando "nibebe" alafu nirudi room nikambebe baby wangu Kwa madaaa uku nakula mbususu.
 
Kuna Guest House moja mbali na mtaani kwangu huwa napenda kwenda kufanyia tabia mbaya. Hii Guest ni imetulia sana, hata entrace zake ni rafiki kwa ajili ya wanachama wa ndoa zao

Imeibuka tabia mbaya ya kucheza nyimbo za dini pamoja na mahubiri kutoka redioni ama runingani. Msimamizi huyo wa nyumba ya kulala wageni hutumia sauti kubwa ili kuiburudisha nafsi yake, jambo linalopelekea kero kwa wateja. Nimekwisha ongea na boss mwenye mjengo lakini hata yeye hachukulii maanani

Just assume uko unaichapa, mara usikie "Mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa". Hivi unadhani hiyo mbususu unayoizagamua inakuchukuliaje kwa mfano!?🤔 Nje ya mada kidogo, ila maandiko mengine yanachekesha sana, kwamba aziniye na mwanamke hana akili kabisa😄 Kwa hiyo tulitakiwa tuzini na ng'ombe?

Turudi kwenye mada, uko unazagamua unaanza kusikia nyimbo za kiama, mara kuna moto, n.k Inasikitisha sana, soon nitapahama

Hivi hiyo kweli ni haki?

ukizini na mwanamke ni kweli huna akili. By the way ukiwa mzinzi huwezi kubaki salama.kama kama wewe ni mzinzi na bado uko salama basi ujue unaishi kwa neema.Sasa ni vizuri kubadili tabia kabla ya neema kuondolewa.yaani neema imekufunika. na Ile kwamba uko kwenye uzinzi na unawekewa mahubiri basi jua umefunikwa na upendo wa Mungu.kwa sababu jambo unalifanya linakwenda kuiangamiza nafsi yako
 
injili ilikuja kwa ajili ya wenye dhambi

yesu alikuja kutafuta kile kilichopotea

waliipetea hawako kanisani

disko guest ndo mahala sahihi pa kupeleka injili
 
Kuna Guest House moja mbali na mtaani kwangu huwa napenda kwenda kufanyia tabia mbaya. Hii Guest ni imetulia sana, hata entrace zake ni rafiki kwa ajili ya wanachama wa ndoa zao

Imeibuka tabia mbaya ya kucheza nyimbo za dini pamoja na mahubiri kutoka redioni ama runingani. Msimamizi huyo wa nyumba ya kulala wageni hutumia sauti kubwa ili kuiburudisha nafsi yake, jambo linalopelekea kero kwa wateja. Nimekwisha ongea na boss mwenye mjengo lakini hata yeye hachukulii maanani

Just assume uko unaichapa, mara usikie "Mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa". Hivi unadhani hiyo mbususu unayoizagamua inakuchukuliaje kwa mfano!? Nje ya mada kidogo, ila maandiko mengine yanachekesha sana, kwamba aziniye na mwanamke hana akili kabisa Kwa hiyo tulitakiwa tuzini na ng'ombe?

Turudi kwenye mada, uko unazagamua unaanza kusikia nyimbo za kiama, mara kuna moto, n.k Inasikitisha sana, soon nitapahama

Hivi hiyo kweli ni haki?
Ni PM jina la hiyo guest nina pambano jumanne la kirafiki na demu mmoja staff wa benki alielewa Bank statement yangu

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Kuna Guest House moja mbali na mtaani kwangu huwa napenda kwenda kufanyia tabia mbaya. Hii Guest ni imetulia sana, hata entrace zake ni rafiki kwa ajili ya wanachama wa ndoa zao

Imeibuka tabia mbaya ya kucheza nyimbo za dini pamoja na mahubiri kutoka redioni ama runingani. Msimamizi huyo wa nyumba ya kulala wageni hutumia sauti kubwa ili kuiburudisha nafsi yake, jambo linalopelekea kero kwa wateja. Nimekwisha ongea na boss mwenye mjengo lakini hata yeye hachukulii maanani

Just assume uko unaichapa, mara usikie "Mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa". Hivi unadhani hiyo mbususu unayoizagamua inakuchukuliaje kwa mfano!? Nje ya mada kidogo, ila maandiko mengine yanachekesha sana, kwamba aziniye na mwanamke hana akili kabisa Kwa hiyo tulitakiwa tuzini na ng'ombe?

Turudi kwenye mada, uko unazagamua unaanza kusikia nyimbo za kiama, mara kuna moto, n.k Inasikitisha sana, soon nitapahama

Hivi hiyo kweli ni haki?
Kusikia Neno la Mungu ni haki ya kila mtu
 
Back
Top Bottom