Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,512
- 94,648
Maneno tu hayo. Hata wenye pesa wanarogaNi hali ya kutokua na doo tu ukiwa na pesa huwezi hanagaika kuroga watu washuke kiuchumi ili ufaidike nini sasa
Pesa pesa pesa pesa tafuta pesa
Maneno tu hayo. Hata wenye pesa wanarogaNi hali ya kutokua na doo tu ukiwa na pesa huwezi hanagaika kuroga watu washuke kiuchumi ili ufaidike nini sasa
Pesa pesa pesa pesa tafuta pesa
Uandishi kama Karma ila huyu ni Kipepeo wa chuma1 .Lazima aisome namba hahahah hata alete hela saiv mizimu imekataa
Vita Ni Vita mura..mtani Wangu Billie hii Vita mnaiweza Wakurya ..au mwenzetu ungebeba Zuna(sime).... Na silaha za jadi kwenda kupambana....Siongei Tena ukwel unajulikana




Oohh kwahiyo ningekuwa upande wako napo hii Id ingekuwa yako pia siyoNdio mtoa mada nini umebadilisha ID maana naona mtoa mada kakimbia wewe ndio unapangua hoja
Naomba usisahau Kuleta mrejeshoWewe ndio umenielewa,na kwa sababu hiyo na heshima ya mwanangu,lazima jamaa tumrudishe chini,piga ua garagaza anarudi moja,wazee wangu wamechungulia wameona na wameamua hivo![]()
Kwa kweli yaani mimi naona kama anachelewa! Ninavyosubiri mrejesho hapa utasema nasubiri mshahara!Angekuwa ni mwanaume mwenzao ungeona jinsi wanavyomsapoti, pambav sana hawa viumbe. Dada afanye analotaka ili moyo wake uridhike..kama ni kumroga amroge tu kwa kweli maana hakuna namna nyingine.
Kwa kweli yaani mimi naona kama anachelewa! Ninavyosubiri mrejesho hapa utasema nasubiri mshahara!


nimechekaAiseee!!
Huyu Mungu wetu ndo maana huwaga hajibugi hata maombi yetu......
Kwanini usimuombee huyo mwanaume Amjali mtoto wake....unamuombea afilisiki ili mke wake akome Mama yake akome...na watoto wasio wako wakome...
Hahahahah mrejesho muhimu dawa inachemka vyungu vinachemshwa hahahwhDada maliza kazi afu ulete mrejesho
Nisharudi toka Chachi,kazi inaendelea,muwe na subra dawa inaingia polepole,tukimkosa katavi tunahamia ngende, 🤣Kwa kweli yaani mimi naona kama anachelewa! Ninavyosubiri mrejesho hapa utasema nasubiri mshahara!
Vita ni Vita,no retreat no surrunder 🔌aluta continuaVita Ni Vita mura..mtani Wangu Billie hii Vita mnaiweza Wakurya ..au mwenzetu ungebeba Zuna(sime).... Na silaha za jadi kwenda kupambana....
Kipepeo wa chuma1 mi nadhani ..ungenitumia nauli niwe shuhuda wa huu Ulozi alafu ntakuja kuleta feedback huku JF...
Tuwakomeshe wote watelekezao Watoto...
Namtarogwa sanaaaaaaaa..... Mijusi kafiri nyie![]()
Umesema uko smart upstairs lakini umeandika kama mtu wa kawaida sana asiyeweza kuelezea mamboHabari za mida wana JamiiForums. Naomba nami nitoe kisa changu cha maisha cha kweli.
Kifupi ni nimelelewa na wazee wangu, nimesoma kwa tabu sana, ila kwakuwa nilikuwa vizuri darasani nilitoboa kila nilipopita.
Nimemaliza chuo kikuu nikarudi home, nikaajiriwa na kampuni binafsi kwa mkataba wa miaka mitatu, ndani ya mwaka serikali ikatangaza ajira na nikaajiriwa baada ya kuapply na interview zote nikashika nambari one.
Nikaanza kazi serikalini, nikaperform Kama yote, nikapandisha mapato ya halmashauri fulani Hadi kutikia kupewa cheti cha mkusanyaji mapato mahiri wa halmashauri.
Nikakutana na kijana mmoja,nilimtangulia chuo mwaka mmoja,akiwa kwenye mishe za yeye naye kutoka, nikamsapoti sana, tukawa wapenzi,nikashika ujauzito, Hadi kuzaa, ingawaje yeye alisita kwakuwa alikuwa Hana mbele Wala nyuma, nikamwambia relax, tuzae tutajua ya mbeleni.
Kweli nikazaa salama kwa kudra za Mungu, nanikahudumia mambo mengi kwakuwa hakuwa na kitu enzi hizo.Tukaenda nikiwa namsapot project zake, alipoanza kutoboa akaanza kubadilika, ukimwuliza anakuwa mkali. Nikavumilia Sana then nikaona nimwache tu,kisicho riziki hakiliki.
Nikamwambia tubaki wazazi, mengine fanya yako nami nifanye yangu, akakubali, so nikawa busy najitafutia na mwanangu. Tukakubaliana fifty fifty kwenye mahitaji ya mtoto, lakini akawa hatekelezi, ikafika kipindi nikaacha kumtafuta manake ukimtafuta anageuza story. Anyways ntarudi manake huyu mtu atakachofanywa ukoo wake mzima utajikusanya.![]()
Unaongea vitu gani budda?tulia shughuli inaendelea,kaa Kama maji ndani ya mtungi,na wapi nimekwambia Niko smart?hiyo unajua wewe msomi,mie ni mkulima wa mahindi huku katavi, kwahiyo usinifokee.Umesema uko smart upstairs lakini umeandika kama mtu wa kawaida sana asiyeweza kuelezea mambo
Hiyo sio historia ya maisha yako. Badili heading,labda useme ... JINSI NILIVYOSALITIWA NA MWANAUME ALIYEUTEKA MOYO WANGU
Achana na mambo ya kulogana, endelea na maisha yako. Kisicho riziki hakiliki
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Hahahah kweli eeeh?agenda ndio mdudu gani?unadhani kila mtu anafanya biashara ya ulozi?ulozi wa kweli hauuzwi,so mlio ni lazima.Hapa mnapoteza muda tu..huyu dada ana agenda zake binafsi alizopanga kuzifanikisha kupitia hii story aliyoileta, hamna cha ziada.
Ikitokea umeenda kwa mganga utasema?Kabisa aisee...khaa yaan nipoteze muda kwa mganga wa kienyeji? Ni malezi tu



