Historia ya maisha yangu

Historia ya maisha yangu

Sawa ukipata mtoto halafu mtu akapanga kumdhuru utaelewa,inaumaaa.
Mkuuu...hata mtu akipanga kunidhuru Mimi nikajua itaniuma sanaaaaaaaa...

But Sasa kwenda mbio kwa waganga Mungu asinipe mtihani wakunifisha Huku...

Haya Sio maisha kabisa....maisha yakiwaki Sana hayo
 
Hahahahahahahaa ila kipepeo.umedhamiria aise

Mi natamani tu kupata update kama muvi hivi sijui mwisho utakuaje
Mleta mada awe muwazi akishindwa pia atupe ukweli
Huwa napenda watu kama huyu mleta mada wanapania hatari
Ila Mungu ana nguvu sana akikataa akazuia hata aende wapi atashindwa tu
 
Mkuuu...hata mtu akipanga kunidhuru Mimi nikajua itaniuma sanaaaaaaaa...

But Sasa kwenda mbio kwa waganga Mungu asinipe mtihani wakunifisha Huku...

Haya Sio maisha kabisa....maisha yakiwaki Sana hayo
Sawa nimekubal kuwa waki,na wazee wote nishawashirikisha hili wapo wanachochea dozi saivi 🤣
 
Mi natamani tu kupata update kama muvi hivi sijui mwisho utakuaje
Mleta mada awe muwazi akishindwa pia atupe ukweli
Huwa napenda watu kama huyu mleta mada wanapania hatari
Ila Mungu ana nguvu sana akikataa akazuia hata aende wapi atashindwa tu
Kama Ana haki atashinda Ila Kama amenikosea na mwanangu hatoboi,katavi na ngende mtwara inahusika,tuko studio
 
Mi natamani tu kupata update kama muvi hivi sijui mwisho utakuaje
Mleta mada awe muwazi akishindwa pia atupe ukweli
Huwa napenda watu kama huyu mleta mada wanapania hatari
Ila Mungu ana nguvu sana akikataa akazuia hata aende wapi atashindwa tu
Dada wa watu kaumia sana...
 
Nisharudi

ofisini kitambo
siulisema income sio kama ile ya awali maana awali ulikuwa unapiga mishindo ya hatari mpaka ukamgueza kijana wa watu kuwa msingi kiuno

Na yeye bila ajizi akakupa mahaba heavy mtoto wa watu ukalewa ukampa maisha baada ya kumpa maisha akajanjaruka akala kona ( ila watu )
 
Ngoja niingie Chachi one time,hata Muumba wangu anajua wamenichokoza na wamenitesa na mwanangu Sana,jasho langu kwake haliwezi potea bure,nilikausha,wameenda kuyafumua,Sasa tukutane kilingeni,itajulikana tu mshindi ni nani,na wazee wamesema hawataki hela yake hata shilingi Mia,tulishaomba Sana akagoma,Basi waendelee kugoma sio tunaenda shtaki kilingeni,mshana anaelewa.
Huyu Mungu wetu ndo maana huwaga hajibugi hata maombi yetu......

Kwanini usimuombee huyo mwanaume Amjali mtoto wake....unamuombea afilisiki ili mke wake akome Mama yake akome...na watoto wasio wako wakome...
 
Sijataka anipende nilitaka alee mwanae tu,akagoma,nikapotezea,Sasa kutaka niulia mwanangu,hapana nitakuwa mzembe!
Hivi unajua...kifo kinampata yoyote yule.... Watoto wanakufa kwenye matumbo ya Mama zao... Tukitafuta mchawi kwasababu watoto wanaugua...hatuwezi mkosa
 
nimecheka jamaniiii dah hio kwa niaba hakuna nenda mwenyewe kilingeni
Duuuh...yaaani siwezi kabisa unafikria waganga siwajui Mkuuu.... Siku nikitengeneza ID mpya kabisa...naweza elezea vitu vingine..untill then.

Mungu amuongoze Huyu dada.
 
Hasira zote za kutaka ashuke kiuchumi Ni kwakua unamchango kwenye Huo uchumi wake...

"Ntamkomesha Mimi SI ndo nlimpa mtaji...Sasa lazima arudi kwenye boxa za buku mbili"

Angekuwa baba wa mwanao hukuchangia kwenye uchumi wake na Bado akakuacha...ungefanya haya?

.....your spitefulness is from the money you invested on a man and another woman is enjoying your fuits....


I hope you'll find peace
 
Ni hali ya kutokua na doo tu ukiwa na pesa huwezi hanagaika kuroga watu washuke kiuchumi ili ufaidike nini sasa

Pesa pesa pesa pesa tafuta pesa
Hapana wamemgusa mwanangu hivyo tu,nikimaliza kazi nitaleta mrejesho,hapa Niko Chachi waumini hakuna,nadhni wamesitisha Misa sababu ya corona,so narejea home,mlisho nyuma mtaupata tu msiwaze.
 
Hasira zote za kutaka ashuke kiuchumi Ni kwakua unamchango kwenye Huo uchumi wake...

"Ntamkomesha Mimi SI ndo nlimpa mtaji...Sasa lazima arudi kwenye boxa za buku mbili"

Angekuwa baba wa mwanao hukuchangia kwenye uchumi wake na Bado akakuacha...ungefanya haya?

.....your spitefulness is from the money you invested on a man and another woman is enjoying your fuits....


I hope you'll find peace
Siongei Tena ukwel unajulikana
 
Back
Top Bottom