Historia ya maisha yangu

Historia ya maisha yangu

Nikimaliza hili nitafanya,Sina time naye imeniuma wanapanga kuniulia mtoto,na mama yake na mkewe,kisa mzaliwa wa kwanza, mbona nilikausha 4 years?hapana tukutane katavi
Mkuu...huku kutaka kuuliwa mtoto ulipiga RAMLI?.. au ulijuaje...
 
ya nini yote haya? una tatizo la kisaikolojia dada waone wataalamu kabla hujaenda kufanya hayo mambo ya kishetani. Wewe mwenyewe hujioni ila sisi tunaosoma tunaona una matatizo kupita hata huyo uliyezaa nae. Halafu humu tunavyoshauri utusikilize tumetumia muda wetu kukutatulia shida yako
hata mimi nimejiuliza sana ni jambo gani zito alilofanyiwa hadi kufikia kumkamia hivyo sjaona.
Maana kama kuachana tu ni wengi wanaachana.
 
Imagine umekutana na mtu Hana mbele Wala nyuma,umemkubali jinsi alivyo,wakati huo una ajira yako,una kagari,unamwezesha inapobidi,unampa mbinu za kupambana,unakomaa naye ilhal Hana kitu,mnazaa,mnashindwana,unaamua kumove on,na mwanao,yanatokea ya kutokea kazini ,unamface kwasababu Hali tete ili asaidie mwanae kielimu,anakupiga mapicha picha akisaidiana na kahaba lililomkuta tayari ushamweka poa,wanaenda mbali kutaka kumdhuru mwanao,halafu niendelee kukaa kimya Kama mjinga?hapana katavi inahusika
umejuaje kwamba walitaka kumuua hebu tupe ushahidi ilikuwaje
 
Hapana huyu lazima apigwe,ada nilishalipa nusu ,panapo majaliwa namalizia,saivi sitaki hela yake,nataka arudi zero nolipomtoa
Mkuuu..... Mtu mbaya ukishandana nae atakushinda.... Kwasababu Ubaya yeye ndo Maisha yake...wewe Sio Maisha yako...so Chakufanya.... Achana nae

Unaweza mshinda ukamroga..alafu ukawa Teja was kuroga watu...ukawa huvumilii watu...ukawa teja wa waganga na wagamguzi......Ukaanzisha Vita na watu ukiamini wewe upo vizuri kwenye maswala ya Ulozi......Matokeo yake yatakuwa HASI KWAKO...

LAKINI KAMA UMESHINDWA KUSAMEHE...Kama sisi wengine...REVENGE MY DEAR ... Revenge is best served Cold...

But Be ready to battle..... Vita Ni vita ...mguu wa SHINGO mguu wa Roho..Hadi apatikane mshindi...

Sisi watu wa Amani...hua tunachangua kumauchia Allah muweza wa yooote....
 
I think we're missing a point here.
Watu wanasema kumsaidia mwanaume si kigezo cha kumfanya akupende, swali ni je mwanamke ndio aliemtongoza mwanaume?? Kama jibu ni hapana then kwenye swala la upendo mwanaume ndo mwenye kosa kwa kuanzisha mahusiano pasipo kua na nia ya kumpenda Kipepeo wa chuma1

Swala la pili ni kwamba majukumu ya malezi ni ya wazazi wote wa2 haijalishi mmetengana au bado ni mume na mke, kama ni hivyo kwanini huyu mwanaume hatekelezi majukumu yake kama mwanaume regardless mapungufu ya mdada??? Kafeli mara ya 2

Swala la mwisho Kipepeo wa chuma1 kaenda kudai haki ya mtoto na si yake, then kwanini huyu jamaa ageuze kibao amuhusishe mkewe hadi kufikia hatua ya kutaka kumuua mtoto wa mwanamke mwenzie???

Ninachokiona si dada kuumizwa na mafanikio ya mwanaume bali ni ile hali ya kukataa kumuhudumia mtoto hadi kufikia hatua ya kutaka kutoa uhai wa mtt na ndicho hasa kinachomfanya huyu mwanamama kuchukua maamuzi magumu

Ifike mahali kama wanaume tuthamini hizi machine zenu hasa kizazi chetu kama huna plan za kuoa wala huna uwezo wa kulea hakikisha haumwagi ndan and if you do so, jiandae kuface responsibilities na sio bla bla
Kweli Mkuuu.... Kama Huyu dada anaona Kuroga ndo solution mi naona Amroge TU....

Lakini sisi watu waamini Mungu...hua tunamuachia Allah.... Hata Mimi nishawai kuwaza Kuroga mtu kwakweli....Aliniumiza Sana Roho yangu Sana Sana....

Lakini Nikaona Haina maaana.... Nikaomba Mungu anipe kukubali na matokeo.....nikapata Amani nikaendelea na Maisha yangu... Alhamdulilah...

Kama Huna Nia ya kumpenda mtu....Usimdanganye ...kama UMESHINDWA Tabia Zake ..mwambie... Kama umeoa mwambia.... MTAKUJA ROGWA VIBAYA ....na msijue wapi pa kuanzia kujinasua.
 
Habari za mida wana JamiiForums. Naomba nami nitoe kisa changu cha maisha cha kweli.

Kifupi ni nimelelewa na wazee wangu, nimesoma kwa tabu sana, ila kwakuwa nilikuwa vizuri darasani nilitoboa kila nilipopita.

Nimemaliza chuo kikuu nikarudi home, nikaajiriwa na kampuni binafsi kwa mkataba wa miaka mitatu, ndani ya mwaka serikali ikatangaza ajira na nikaajiriwa baada ya kuapply na interview zote nikashika nambari one.

Nikaanza kazi serikalini, nikaperform Kama yote, nikapandisha mapato ya halmashauri fulani Hadi kutikia kupewa cheti cha mkusanyaji mapato mahiri wa halmashauri.

Nikakutana na kijana mmoja,nilimtangulia chuo mwaka mmoja,akiwa kwenye mishe za yeye naye kutoka, nikamsapoti sana, tukawa wapenzi,nikashika ujauzito, Hadi kuzaa, ingawaje yeye alisita kwakuwa alikuwa Hana mbele Wala nyuma, nikamwambia relax, tuzae tutajua ya mbeleni.

Kweli nikazaa salama kwa kudra za Mungu, nanikahudumia mambo mengi kwakuwa hakuwa na kitu enzi hizo.Tukaenda nikiwa namsapot project zake, alipoanza kutoboa akaanza kubadilika, ukimwuliza anakuwa mkali. Nikavumilia Sana then nikaona nimwache tu,kisicho riziki hakiliki.

Nikamwambia tubaki wazazi, mengine fanya yako nami nifanye yangu, akakubali, so nikawa busy najitafutia na mwanangu. Tukakubaliana fifty fifty kwenye mahitaji ya mtoto, lakini akawa hatekelezi, ikafika kipindi nikaacha kumtafuta manake ukimtafuta anageuza story. Anyways ntarudi manake huyu mtu atakachofanywa ukoo wake mzima utajikusanya.🙏👊🏼
pole sana relationship is a history kila mtu ana lake alilopitia
 
Mtoa maada leta vitu maana Leo inst inanuka mamikia yameichukua kwa muda tumekuja kujificha huku wana yanga
Mwanayanga mwenzangu...Nilikuamini mawazo yako nikabet mtaji wa Tigopesa kwa yanga....Nitumie 50K... Mkuuu

Hali Ni mbaya sijui ntakula Nini yarabh
 
Itakuwa alipiga ramli tu, siunaona alivyo na mawazo ya ushirikina ushirikina tu.
Mm mwenyew nashanga umejuaje alitaka kuuawa mwanao? Jaman had wasomi wanaabudu ushirikina!...mm nakukabidhi mwanangu na hutaweza mroga
 
yule mama alikuwa kauzu sana. Ila cha ajabu mbeleni alikujaga kuwa mtu muhimu sana kwangu, na sitoweza kuja kumsahau. Pengine huko mbeleni naweza kuja kuelezeaga the other side of my life.

Can you please unipe jina la huu uzi niu-search ili nione kitu kilicho muinterest my favourite Wangari?
 
Itakuwa alipiga ramli tu, siunaona alivyo na mawazo ya ushirikina ushirikina tu.
Ushirikina katika jamiii yetu Ni mkubwa Sana...hata Kama hufanyi Wala uabudu Mambo ya kishirikina...kuwa makini Sana na jamii...hata Kama Ni wasomi was PHD....

Unaweza fanya Jambo ukadhani Watu watachukulia POA...LAKINI ukashitumiwa uchawi Utashangaaaa....

Tena huko maofisini ambapo Watu wanadai wameelimika...ndo tahadhari inatakiwa.
 
Hapana moyo wangu ulishamkinai kitambo
Kweli kwa mfano akikupa matunzo yote ya mtoto na kukupa mtaji je akiomba penz unaweza kumuwekea ngum au ukalegea? Maana Wewe Jambo linalo kukosesha Aman na usingizi ni matatizo ya mtoto kukosa huduma ina baba mzaz akiweza kucheza na akili yako lazma utarudiana kisili tu
 
Back
Top Bottom