Historia ya maisha yangu

Historia ya maisha yangu

Ushauri wangu, achana kabisa na kujishughulisha na huyo jamaa na wala usiwasiliane nae kwa lolote. Hakuna kitu kibaya kama una mwanaume akasikia unawasiliana na mzazi mwenzako sijui kwa ajili ya ada au kwa lolote lile. Mtu anaweza kukaa kimya tu ila inamuuma sana moyoni kuliko hata kuchomwa na kisu.

Ni bora mkubaliane na uliye nae mkagharamia gharama zote za matunzo na ada za mtoto, otherwise hata kama mtu wako wa sasa akiwa kimya elewa kuwa analia moyoni kila akisikia unadai ada au mawasiliano yoyote yale

Wanaume tuko tofauti sana na uwa tuna fake sana machoni ila moyoni tunaumia mno. Binafsi mie nimeanzisha utaratibu rasmi wa kwenda Bagamoyo ufukweni kulia peke yangu mtu akinizingua ile mizunguzi mikubwa. Nafanya hivyo ili nisije kuumwa pressure au sukari kwa kupambana na mazito ya moyoni

Nadhani hapa nimekushauri vizuri.

Kingine achana na visasi yameshatokea hayo jaribu kuwa muungwana na uendelee na maisha yako usirudi nyuma sijui nitakachomfanyia mpk ndugu zake watakusanyika hayo maneno yana ku-define vibaya mbele ya wasomaji na unaonekana umeshindwa ku-move on bila huyo mtu na ndio maana umekuja mpk na hii topiki

Tulia kaa chini panga maisha yako yaliyotokea yametokea, mwisho wa siku hata huyo mwanaume uliyompata utakuwa unamboa na hayo machuki na mavisasi uliyonayo
Hapo kwenye kwenda bagamoyo kwaajili ya kulia nimecheka sana

Nitaiga Hilo aisee
 
Hapana lazima nilipe kisasi kwa heshima ya mwanangu, huyu hakuja kwa bahati mbaya,alipangwa aje Kama mzaliwa wa kwanza kwa babaye,mauchafu aliyomfanyia huyo mama wa kambo wakati alimkuta mtoto,nikikusimulia yanatisha,kwahiyo narudi katavi kuongea na wazee.
unataka kwenda kumpiga mtu radi

Aisee Mapenzi yatakuja kuwaua siku 1
 
Imagine umekutana na mtu Hana mbele Wala nyuma,umemkubali jinsi alivyo,wakati huo una ajira yako,una kagari,unamwezesha inapobidi,unampa mbinu za kupambana,unakomaa naye ilhal Hana kitu,mnazaa,mnashindwana,unaamua kumove on,na mwanao,yanatokea ya kutokea kazini ,unamface kwasababu Hali tete ili asaidie mwanae kielimu,anakupiga mapicha picha akisaidiana na kahaba lililomkuta tayari ushamweka poa,wanaenda mbali kutaka kumdhuru mwanao,halafu niendelee kukaa kimya Kama mjinga?hapana katavi inahusika
Wewe umejuaje kuwa wanataka kumdhuru mwanao unaweza kutupa baadhi ya ushahidi ili tuamini hicho unacho kiamini isije kuwa unahisi tu
 
Halafu usisikilize upande mmoja tu. Ukute huyu dada ndio msumbufu mpk watu wamezila kusomesha mtoto kutokana na kero za mama yake.
Hayo mambo yanataka usikilize pande mbili
Naam
 
Hiyo pesa unayompa sangoma aroge bora ungewekeza au umlipie mtoto ada huyo mwanaume umuache karma ishughulike nae.

Humu duniani maudhi ni mengi mno utaroga wangapi!!
 
Hiyo pesa unayompa sangoma aroge bora ungewekeza au umlipie mtoto ada huyo mwanaume umuache karma ishughulike nae.

Humu duniani maudhi ni mengi mno utaroga wangapi!!
Hapana huyu lazima apigwe,ada nilishalipa nusu ,panapo majaliwa namalizia,saivi sitaki hela yake,nataka arudi zero nolipomtoa
 
Back
Top Bottom