Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 13,040
- 26,127
Nimeizoom vizuri sana!!!!! Kijana anafaa kabisa kwa matumizi na asilaumiwe.
Hiyo ni ajali tu kama nyinginezo
Usha "daulodi" kabisa bimkubwa? 😁
Nimeizoom vizuri sana!!!!! Kijana anafaa kabisa kwa matumizi na asilaumiwe.
Hiyo ni ajali tu kama nyinginezo
Ipo kwenye gallery tayari🤗
Ikifika jioni mambo kwa ushahidi. Shirikisho likifeli tunaingia maua ya dunia tumnukishe rosesWabwatukaji wakishindwa, atuambie dada zake tutamsitiri 😂
😂😂🙌Dalili zinaonyesha hivyo
Mko vizuri, mishangazi ni watu wa kazi kaziKwa mishangazi ni mpaka ukidhi vigezo,, sisi tunachagua hatuchaguliwi
Halafu wa hivi hua tukiwapa ushauri kuhusu madhara ya ngono zembe,hua wanatujibu kwa dharau sana na kutuona washamba.
😂😂😂🙌Ipo kwenye gallery tayari🤗
Ajabu hujaambiwa weka picha,weka picha upate msaada na wewe 😅Nimeumwa same thing siku chache nikaamua kumwachia mungu sikuenda hospital kwa sababu kama zako,naona vimeaza kukauka kidogo.
Katuonyesha mwenyewe na mi nika danilod hakuna mbaya.Usha "daulodi" kabisa bimkubwa? 😁
Ipo kwenye gallery tayari🤗
Ntaedit hicho kipele itaniliwaza baadae usiku😆😂😂😂🙌
Sasa isimame hiyo na awe anajua kuitumia hiyo.....Una jicho zuri sana dadaake kwamaana hiyo hapo bado ipo chali 🤭
Hapo atajua mwenyew Kwakweli as long as nishaiweka mimi aanh🙌🏾Ni mali ya umma tayari! 😁
Duh,pole sana gentleman,
miongoni mwa dalili muhimu sana ya kaswende kamili, ni kuota kipele kimoja tu au zaidi kisichouma kwenye kichwa cha mshedede wako.
kumbuka, ni kwenye kichwa cha mshedede.
lakini pia,
dalili muhimu kamili ya gono ni pamoja na kutoa usaha mzito wenye harufu mbaya kupitia njia ya mkojo.
Zaidi sana,
miongoni mwa dalili dalili kamili za U.T.I sugu ni pamoja na kujiskia kama moto hivi kwenye njia ya mkojo kabla au baada ya kumaliza haja ndogo.
Ashasema hana pesa ya hospital..hata hivyo,
kwa msaada wa kitabibu wa uhakika kwa changamoto yako, tafadhali, ondoa aibu, vaa ujasiri, wahi hospitalini ukamuone daktari.
Katuonyesha mwenyewe na mi nika danilod hakuna mbaya.
Kijana Hana pesa Fanya jambo
Pole sana mkuu ,kama upo Dar njoo Decca hapa tabata makoka upate huduma bureAcha utani mkuu as man sio vya kucheka hivi watu wanaumwa
Umeona eeh awe anajua tu! Kwanza inaonekana bado mpya imepata ajali tu hii🤔Sasa isimame hiyo na awe anajua kuitumia hiyo.....
Unaenda nae mikumi park kwenye ile hostel ni mwendo wa kupika na kupakuliwa.
Hahaha.............kweli mjukuu ninae 😂, hivi hujui babu yako nina preshaNtaedit hicho kipele itaniliwaza baadae usiku😆
Meza dawa mapema mzee😅Hahaha.............kweli mjukuu ninae 😂, hivi hujui babu yako nina presha
Huwa tunawaandaa kabisa una mpa taarifa siku mbili kabla.😂😂🙌
Mko vizuri, mishangazi ni watu wa kazi kazi
Mna ratiba yenu kwa mwezi mara moja, ila hiyo mara moja, kijana ukiwa huna stamina unaweza kukimbia pambano 🙌
Nyie na mwaka 47!!!!! Tukisanua msamba kidogoo tu!!!!! Utasikia we mama yilna hebu tulia huko ndio Nini hichoMambo ya mwaka 47 😜