Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,792
- 86,494
Mchangieni pesa mwanaume mwenzenu akatibiwe mkuuEmbu tumtibu mwanetu maana hali tete, oya nigga pole sana
Mchangieni pesa mwanaume mwenzenu akatibiwe mkuuEmbu tumtibu mwanetu maana hali tete, oya nigga pole sana
Una dalili za kaswende nenda haraka hospitali ukapime vdrlHabari wana jamvi,
Takribani wiki mbili zilizopita nilikuwa nasumbuliwa na muwasho sehemu za siri; dhakari, maliwato na sehemu katikati ya mapaja na mbupu. Sikuota vipele isipokuwa tu sehemu ya kichwa cha dhakari ndio nilikuwa na vipele viwili tu ambavyo haviwashi wala kutoa uchafu. Nikajaribu kuongeza usafi sana na kupaka vitunguu swaumu vya kusaga kwenye hivyo vipele, kimoja kikapotea kimebaki hicho kwa picha. Kimeongezeka ukubwa kidogo hali inayonipa wasiwasi tatizo litakuwa ni gani.
Nilijua ni fungus, baada ya kupaka mafuta ya nazi maeneo ya maliwato sina tena muwasho ila kwenye mapaja na wakati mwingine dhakari inawasha.
Wataalamu shida itakuwa nini? Na tiba au suluhisho lake ni lipi?
Hospital sijaenda sina bima wala pesa za vipimo, life langu ni zaidi ya tia
Sasa unahisi mgonjwa alivuta nini?
Ela yako huwa ni ngumu sana we kijana😆Kailoweka
Google kitu inaitwa Herpes Simplex na dalili zake...halafu uka google kitu inaitwa Chancre na dalili zake! Utajua shida ni ipi kati ya hao mtu mbiliHabari wana jamvi,
Takribani wiki mbili zilizopita nilikuwa nasumbuliwa na muwasho sehemu za siri; dhakari, maliwato na sehemu katikati ya mapaja na mbupu. Sikuota vipele isipokuwa tu sehemu ya kichwa cha dhakari ndio nilikuwa na vipele viwili tu ambavyo haviwashi wala kutoa uchafu. Nikajaribu kuongeza usafi sana na kupaka vitunguu swaumu vya kusaga kwenye hivyo vipele, kimoja kikapotea kimebaki hicho kwa picha. Kimeongezeka ukubwa kidogo hali inayonipa wasiwasi tatizo litakuwa ni gani.
Nilijua ni fungus, baada ya kupaka mafuta ya nazi maeneo ya maliwato sina tena muwasho ila kwenye mapaja na wakati mwingine dhakari inawasha.
Wataalamu shida itakuwa nini? Na tiba au suluhisho lake ni lipi?
Hospital sijaenda sina bima wala pesa za vipimo, life langu ni zaidi ya tia
Hajaomba salio, yeye ameomba ushauriHiyo hela ya nauli mpe huyo jamaa mwenye changamoto ya kicwa

Haijalishi kapataje kijana apate msàada apone!!!!. Tusipoteze nguvu kazi ya kizazi
Shukrani kwa ushauriMagonjwa ya kujamiiana, ukipaka BBE inaondoka; jipe mapumziko ya kutokufanya tendo angalau miezi miwili.
View attachment 3590523
Kiufupi Niko hapa Kuona matendo na si maneno. Leo tutajua kama huwa wanabwatuka tu au wanamaanisha.Charaza kwenye mshono mayoo, mpaka uchanike 😂😂
Kabisa wamsaidie mwenzao 😂 na wamshauri aache kuchovya chovya hovyo!
Katibu msaidizi niko hapa, kuhakikisha hatumiss jina hata moja la mchangiaji
Hahaha......kumbe ndiyo ulizoom out namna hiyo hadi kuona yote hayo 😂🙌Kuonyesha hiyo thamani kijana aweke namba apate kitu.
Ukweli tuseme kijana anayo nzuri jamani!!!!
Hapo ndo inaumwa sipati picha ikiwa nzima likatuna hiyo miutamu yakeeee. Jamani kijana apate msàada asaidie wengine
Ahsante sana Mkuu kwa salamu za pole lakini pia kuwa na empathy na hali yangu.Pole sana Mkuu, gharama za kwenda kupima ni kiasi gani? Ukiweka mawasiliano tunaweza kuchangia chochote kitu
Na ukipona, hakikisha unatumia mpira (condom) ipasavyo kwa kila tendo, huenda hilo ni dogo tu Mungu ameamua kukuonesha, ukiendelea unaweza kupata maradhi makubwa zaidi ambayo yatakufanya unywe dawa kila siku ili uishi
Nimeizoom vizuri sana!!!!! Kijana anafaa kabisa kwa matumizi na asilaumiwe.Hahaha......kumbe ndiyo ulizoom out namna hiyo hadi kuona yote hayo 😂🙌
Kama kapost hapa unazani huko Whatsapp na telegram ni vipiNimeizoom vizuri sana!!!!! Kijana anafaa kabisa kwa matumizi na asilaumiwe.
Hiyo ni ajali tu kama nyinginezo
SeranAhsante sana Mkuu kwa salamu za pole lakini pia kuwa na empathy na hali yangu.
Nimeogopa kuweka namba post ya kwanza wasijeniita tapeli.
Kwakuwa umeonesha moyo wa kutaka kunisaidia ninawiwa kushare namba ili nipate matibabu
Kwaharaka, kumuona daktari, vipimo na dawa ( bila BIMA) nahitaji niwe na 50k.
Namba yangu ni
0687374530
Mtandao: Airtel Money
Jina: Juma Ramadhan
Ahsante mkuu 🙏🏾
Tunaongelea ya hapa huko pengine hatupajui.Kama kapost hapa unazani huko Whatsapp na telegram ni vipi
Una dalili za kaswende nenda haraka hospitali ukapime vdrl
Naona Seran na leo dada wamekua interested sana na huu uzi,Sio hivyo , si wewe na leo dada mnatu provok wapiga nyeto tumchangie, wakati anakatisha na Aisha magamba alikua anatuona kama magoigoi