Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,919
- 183,334
🤣🤣🤣🤣🤣Seran ndiyo mshika hela, ila unafaa kuwa mhasibu msaidizi, mtapokezana kufanya ukaguzi 😂
Nipo tayari.
🤣🤣🤣🤣🤣Seran ndiyo mshika hela, ila unafaa kuwa mhasibu msaidizi, mtapokezana kufanya ukaguzi 😂
mpaka Poor brain kaskitika aisee😆Sema vimeumana mambo kwa ushahidi.
Zina kuturn on Au Sio 😂Acha kuniwazisha haya mabo hizi masaa mkuu😎
Mzigo upo imara zaidi ya jana, na mishipa ya kutosha 😎Imeshiba? Sitaki zilizokaukiana mimi😁
Natamani iwe hivyoMchangieni pesa mwanaume mwenzenu akatibiwe mkuu
Tena,,, jamani.....
Duh aisee....nenda hospitali mkuu tatizo mnapita pita bila mipangilio
Grahams kashasababisha kaka hana baya.
Mali ya mwenzio unaita taka taka 🤣🤣🤣🤣Futa hii taka taka yako humu , nenda hospital gadeim 🚮
Sawa sawaNdio.
Haba haba hujaza kibabab, najua wanaume wenzangu wataniunga mkono kumtumia chochote kitu ili jamaa apate matitabu, kitendo cha jamaa kutuma nude yake humu inaonesha amekwama hasa.Labda ajitolee Grahams awaokoe, zaidi ya hapo najua kikapu kitakua tupu 😂
Lakini kwenye wajukuu zangu wote ndiyo umeona umtume Seran kweliShirikisho likifeli dada zake tupo, akipona mhasibu wetu Seran atatusaidia kuhakiki kama pesa zimetumika kwenye tiba kweli 😂😂
Wanapita kimyaaaa!!!! Kama wanaaga maiti iliyokufa kwa kupasuka ubongoWaseme kama wameshindwa, tuingie kazini. Mali lazima iokolewe.
Barikiwa sana Mkuu 🙏🙏Ninathibitisha kupokea kiasi cha 15,000 kutoka kwa Mkuu wangu Grahams
Nashukuru sana.
Lengo nipate 50,000 ili nipate matibabu kamili ( kumuona daktari, vipimo & dawa).
Atakayeguswa nashukuru.
Namba yangu ni
0687374530
Mtandao: Airtel Money
Jina: Juma Ramadhan
Ahsante 🙏🏾
Hapa mtoa mada alikuwa anaulizia mtandao unaouza mashoga 😂Huo mtandao wa Grindr unafanya kazi hapa Tanzania?
Acha wivu🤣Naona raia mmechekelea kuona NYETI pumbavu kabisa🤣
Poor Brain njoo uumpe ushauri gen z mwenzako
Ila hela za akina Mama sio rahisi kutokaga, sijui huwa kwanini 😜🙌Grahams kashasababisha kaka hana baya.
Hela za kina dada itabdi azivumilie maana zitaandmana na masimango na ufatiliaji wa hali ya juu kuhakikisha zinaend moja kwa moja kwenye matumizi.