- Thread starter
- #61
Mkuu, unaweza kupata Syphilis bila discharge au maumivu unapokojoa?Syphilis
Secondary Phase
Mkuu, unaweza kupata Syphilis bila discharge au maumivu unapokojoa?Syphilis
Secondary Phase
Kanisani au msikitini ukiwa na shida serious ukimfuata padri au sheikh ukamweleza na kumwonyesha ,lazima wakusaidie ukapate matibabuMkuu watu hawaelewi kuna kipindi unapitia huna hata akiba wala kazi na hata pesa ya kula ni kuunga. Wanajua maisha ya kila mtanzania ni sawa. Hii sio kweli, ndio maana nimekuja hapa nipate ushauri na ufumbuzi.
Bwana wee acha kuwatetea ndugu zako wamchangie mwenzao kama wanavyoanzisha nyuzi za kupinga kuwasaidia wanawake bora wanaume wenzao!Mbona tunapeana michongo mingi tu humu, yawezekana huyu kailoweka pabovu , tena kwa kuhonga , sioni kataa ndoa na wapinga kuhonga Kama wanahusika hapa🤔
Ni umejaribu kujiamulia mambo tu mwenetu, cc Seran
Ahsante mkuu kwa ushauri.pole sana gentleman,
miongoni mwa dalili muhimu sana ya kaswende kamili, ni kuota kipele kimoja tu au zaidi kisichouma kwenye kichwa cha mshedede wako.
kumbuka, ni kwenye kichwa cha mshedede.
lakini pia,
dalili muhimu kamili ya gono ni pamoja na kutoa usaha mzito wenye harufu mbaya kupitia njia ya mkojo.
Zaidi sana,
miongoni mwa dalili dalili kamili za U.T.I sugu ni pamoja na kujiskia kama moto hivi kwenye njia ya mkojo kabla au baada ya kumaliza haja ndogo.
hata hivyo,
kwa msaada wa kitabibu wa uhakika kwa changamoto yako, tafadhali, ondoa aibu, vaa ujasiri, wahi hospitalini ukamuone daktari.
Tatizo lako linatibika na kupona kabisa, usichelewe tafadhali.
Mungu Ibariki Tanzania
Kuna tofauti ya kuhonga na kusaidia , wanaopaswa kuhongo ni wazee na sio vijana wanaoganga njaa , mwisho wa siku wanaanza lialia kijingaBwana wee acha kuwatetea ndugu zako wamchangie mwenzao kama wanavyoanzisha nyuzi za kupinga kuwasaidia wanawake bora wanaume wenzao!
Pole sana Mkuu, gharama za kwenda kupima ni kiasi gani? Ukiweka mawasiliano tunaweza kuchangia chochote kituMkuu watu hawaelewi kuna kipindi unapitia huna hata akiba wala kazi na hata pesa ya kula ni kuunga. Wanajua maisha ya kila mtanzania ni sawa. Hii sio kweli, ndio maana nimekuja hapa nipate ushauri na ufumbuzi.
Hebu weka na chako mkuu huwezi jua😁Kuna watu wana roho ngumu sana....🤣
Nakutumia nauli sasa hivi kwa jfpesaTuongee hapa hapa
Unataka kuongelea mafichoni maongezi tu🤣
Mbona mshkaji kabandika kicwa halafu fresh🔥🔥🔥
Mkuu wangu sina uwezo kwasasa kumuona daktari, vipimo na dawaWahi kwa tabibu maana ikisambaa na kuwa cronic utapata tabu sana
Embu tumtibu mwanetu maana hali tete, oya nigga pole sanaSijaona hii kitu siku nyingi nimefurahi sana🤣
Hiyo hela ya nauli mpe huyo jamaa mwenye changamoto ya kicwaNakutumia nauli sasa hivi kwa jfpesa
Leo kazi ipo leo! Kaazii ipo🙌🏾🤭Mtu ambaye hana kazi naye anatafuta atakua na msaada wa kuchumi kweli? Subiri aje kumchamba tu na maparagraph yake, halafu apite vile 😂
Ila we jamaa🤣🤣🤣Kanisani au msikitini ukiwa na shida serious ukimfuata padri au sheikh ukamweleza na kumwonyesha ,lazima wakusaidie ukapate matibabu
Kuonyesha hiyo thamani kijana aweke namba apate kitu.Nimegundua kuna viungo unaweza kupoteza ukabaki na amani, lakini sio hicho kiungo
Ndiyo maana tunakithamini isivyo kawaida 😜
Basi msaidieni mwenzenu!Kuna tofauti ya kuhonga na kusaidia , wanaopaswa kuhongo ni wazee na sio vijana wanaoganga njaa , mwisho wa siku wanaanza lialia kijinga
Kwa hiyo unataka tukupe ushauri ili upone kwa maneno ya kuandika tu sio?Mkuu wangu sina uwezo kwasasa kumuona daktari, vipimo na dawa
KailowekaBasi msaidieni mwenzenu!
I'm very serious kaka, nimeongea kutoka kwenye uzoefu, kama huaman akanunue daw za Scabies atumie alaf alete mrejesho apaKaka are you serious?
Unavyoiona hiyo ni scabies? 😂😂
Dah' aisee kwahiyo hapo umepiga Diagnosis na unataka akapake BBE?
Embu kaangalie features za Syphilis pamoja na vidonda vyake halafu uje umsaidie mdau vizuri