Umepata maambuz ya bacteria sanaojulikana kama SACBIES.
Kwa mwanaume, dalili za Scabies huwa ni:
Kuwashwa sana hasa usiku
Vipele vidogo au upele kwenye ngozi
Mistari midogo kwenye ngozi (sehemu wadudu wamepita)
Vidonda kutokana na kujikuna
Mara nyingi hujitokeza:
kati ya vidole
sehemu za siri
mapajani
tumboni
kwapani
mikononi
Kwa mwanaume, dalili za Scabies huwa ni:
Kuwashwa sana hasa usiku
Vipele vidogo au upele kwenye ngozi
Mistari midogo kwenye ngozi (sehemu wadudu wamepita)
Vidonda kutokana na kujikuna
Mara nyingi hujitokeza:
kati ya vidole
sehemu za siri
mapajani
tumboni
kwapani
mikononi