Hii ni kitu gani wakuu?

Hii ni kitu gani wakuu?

Kuna sehemu nilikuwa siambiwi nikasikia, sijui nilipewa limbwana na Lishangazi

Yaani hadi nilikonda kutokana na kutumika, maana haikuwa rahisi kubeba paja la kilo 50 masaa 2 ukipanda

Mishangazi ilaaniwe kuua nguvu kazi za vijana 😂
Sifa ya mishangazi ni kuhudumia kuanzia lishe Bora ili kuhakikisha huishiwi nguvu au kupata kwasha Koo.
Hilo ilipata bahili la matunzo ungekufaa
😂ni mwendo wa mishenari hadi tunazeeka, ole wako uongeze ufundi wa kukata viuno katikati ya safari, utaambiwa huo mtindo umefundishwa na nani huko nje
Vizee vya hivi sivipendi aisee
 
Labda ajitolee Grahams awaokoe, zaidi ya hapo najua kikapu kitakua tupu 😂

Shirikisho likifeli dada zake tupo, akipona mhasibu wetu Seran atatusaidia kuhakiki kama pesa zimetumika kwenye tiba kweli 😂😂
Umesema kila kitu! Kijana atupe mrejesho jioni tuone kama mali imepewa chochote ili irudishe afya ya mwanzo😁
 
Ninathibitisha kupokea kiasi cha 15,000 kutoka kwa Mkuu wangu Grahams
Nashukuru sana.

Lengo nipate 50,000 ili nipate matibabu kamili ( kumuona daktari, vipimo & dawa).
Atakayeguswa nashukuru.

Namba yangu ni

0687374530
Mtandao: Airtel Money
Jina: Juma Ramadhan

Ahsante 🙏🏾
Screenshot_20260518-131739~2.jpg

Nimeweka na ya kutolea kabisa bwana mdogo
 
Haba haba hujaza kibabab, najua wanaume wenzangu wataniunga mkono kumtumia chochote kitu ili jamaa apate matitabu, kitendo cha jamaa kutuma nude yake humu inaonesha amekwama hasa.

Kama tunanunuliana gambe, hatuwezi kushindwa kwenye hili

Lakini kwenye wajukuu zangu wote ndiyo umeona umtume Seran kweli

Mnajua kabisa babu yake nilivyo na presha ikitokea ameenda mbali 😁
Mimi kazi yangu ni kuhakiki tu kama mashine imerudi kwenye mfumo wake wa zamani basi 😎
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom