Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

heri yako wewe umeliona leo
wengine tulishakaa kimya tu
na kuzoelea bora liende
sometime unapost post inapotea tu wala si kwamba haina maana
ila hiyo post ungewapa hao waipost basi ungeona wachangiaji
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi
 
mnasalimiwa sana, :wink2:

muli3%255B1%255D.jpg
 
heri yako wewe umeliona leo
wengine tulishakaa kimya tu
na kuzoelea bora liende
sometime unapost post inapotea tu wala si kwamba haina maana
ila hiyo post ungewapa hao waipost basi ungeona wachangiaji[/QUOTE
Hata wewe jaman mallaba
 
heri yako wewe umeliona leo<br />
wengine tulishakaa kimya tu<br />
na kuzoelea bora liende<br />
sometime unapost post inapotea tu wala si kwamba haina maana <br />
ila hiyo post ungewapa hao waipost basi ungeona wachangiaji
<br />
<br />
Mallaba hata wewe wa kusema haya? SIAMINI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom