Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hahahaha jaman jaman ndo nimo humu jamvn na kahawa tayari nshapewa
 
Hahahaha jaman jaman ndo nimo humu jamvn na kahawa tayari nshapewa
 
Dena nimekuletea mtu wako haya kuleni raha!!!!!!!
 
hahaha eiyer thanx naenjoy mana nilikua store vumbi imenichapa kweli yani kama c dena na eiyer duh cjui ingekuaje.
 
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi

ahh pole mjomba
bt akuna kujuana umu wewe...inategemea unapost kitu gan..ukipost point lazima watu watachangia

km unapost upupu wat do u xpect?
 
Haya bwana kokudo,dena ameniambia kuwa mmesha "malizana" kwa pm,mpaka ham imewaisha nafikiri au sio?!?!
 
Zumbe kama wewe umeona pumba huo ni mtzamo wako pia km ni pumba ungepita mlango wa nyuma but kma umeingia ndani tena ukavta na kiti na ukachangia bla shaka hata hayo mawazo uliyntoa ni PUMBA tena zisizo na hata chenga za mchele kiasi cha ndege kuztamani. Alafu huku hakuna siasa au umekuja ku2chafulia khali ya hewa?au na ww unautafuta umaarufu kuptia hapa?kwani nikipata umaarufu hapa napewa 2zo?au napewa bandle?ndugu yangu ucpoteze muda kunyoosha suti kwa harusi ambayo hukuitolea mchango mchana mwema Mr ZUMBE.
 
Zumbe kama wewe umeona pumba huo ni mtzamo wako pia km ni pumba ungepita mlango wa nyuma but kma umeingia ndani tena ukavta na kiti na ukachangia bla shaka hata hayo mawazo uliyntoa ni PUMBA tena zisizo na hata chenga za mchele kiasi cha ndege kuztamani. Alafu huku hakuna siasa au umekuja ku2chafulia khali ya hewa?au na ww unautafuta umaarufu kuptia hapa?kwani nikipata umaarufu hapa napewa 2zo?au napewa bandle?ndugu yangu ucpoteze muda kunyoosha suti kwa harusi ambayo hukuitolea mchango mchana mwema Mr ZUMBE.

sorry mkuu! kweli nimekosea, naifuta.
 
Zumbe kama wewe umeona pumba huo ni mtzamo wako pia km ni pumba ungepita mlango wa nyuma but kma umeingia ndani tena ukavta na kiti na ukachangia bla shaka hata hayo mawazo uliyntoa ni PUMBA tena zisizo na hata chenga za mchele kiasi cha ndege kuztamani. Alafu huku hakuna siasa au umekuja ku2chafulia khali ya hewa?au na ww unautafuta umaarufu kuptia hapa?kwani nikipata umaarufu hapa napewa 2zo?au napewa bandle?ndugu yangu ucpoteze muda kunyoosha suti kwa harusi ambayo hukuitolea mchango mchana mwema Mr ZUMBE.

He he he hii post imenichekesha sana dah you made my day
 
Halafu wewe Dena wewe.....dah ila nimecheka kweli aiseee sijui Kokudo yuko wapi
 
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi

kaka mm cdhani kama unalosema linaukweli kwani inategemea na ulicho post kinawagusa kiasi gani na kama hakinigusi yanini nichangie jamani ni mguso tu wa thread yako ndiyo utawafanya watu wachangie,
 
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi

Hili nalo neno,sema wee kakudo,wengne wanajuana physically humu,ila ucjali nawe utawajua tu,kwan huwa kunakuwaga na trip au outing za members wa jf,so ucjali sana utatujua tu
 
ahh pole mjomba
bt akuna kujuana umu wewe...inategemea unapost kitu gan..ukipost point lazima watu watachangia

km unapost upupu wat do u xpect?

upupu! Lol! Umenikumbusha mbali rose1980
 
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi
Ha ha ha
JF haiishi vituko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom