Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

Duuh! kurasa 40, hii si ni rekodi jamani?
 
Sijambo kidogo kuna kitu kinanisumbua ila nikijisikia kulia naenda kwenye thread ya uporoto then narudi kwingine si unajua ile ni ya malalamiko?

Pole mwanakwetu, uporoto huyo mmmh acje kukufuta machoz !!
 
<br />
<br />
Peleka Karena bana kuna upepo sana pale. Seif hotel mmh Butiama nako aah

Mie napendaga Sumayi iliyo jirani na Karena. Nitakuwa hapo kuanzia 20 hadi 26 Machi. Karibu tulambe ulabu na nikuvue kilemba. Nitafutie pweza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom