kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,571
- 1,782
- Thread starter
- #801
Hee kabushaija sumayi?ya wapi?kma ni ya huku pweza utawapata wapi?na hcho kilemba unamvua nani?Mie napendaga Sumayi iliyo jirani na Karena. Nitakuwa hapo kuanzia 20 hadi 26 Machi. Karibu tulambe ulabu na nikuvue kilemba. Nitafutie pweza.