<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

kuna aina moja tu ya zawadi ndio nitaikubali!
make sure u guess it right
Hahahahaha........ khaa! hata mie nshaijua! UKISHAIPOKEA tafazali nrudishie mjukuu wangu.... umwambie a-come this way.....
Vigezo na masharti kuzingatiwa!
 
Huyo sidhani kama anakufaa, alikuwa ameathirika na kaswende bado hajapona vizuri.... subiri kidogo nimwangalie anaendeleaje afu nikiona vipi ntakukabizi..... hebu chagua mwingine kama hutajali.

yalaaaa. yule wa kwanza hujamaliza tu kumkagua ? mbona unachugua mda hivyo? unachungulia au kuna vifaa unatumia
 
Hahahahaha........ khaa! hata mie nshaijua! UKISHAIPOKEA tafazali nrudishie mjukuu wangu.... umwambie a-come this way.....
Vigezo na masharti kuzingatiwa!
Jamani anti yangu iko wapi? Nimebanwa kama sandwich hapa, mbele na yuma. lol
I want my antiiiii :A S-cry:
 
Ayaaa umeposti posti ya mia tano. Umewanyima wajukuu haki yao ya kulala na mimi WITHOUT. Anyway ntafanya sandakalawe.......
Hawa baby wa dotcom balaa ...mpaka sahizi hujalala?unasubiri nini?acha wakubwa waongee wewe kalale bad hujakua...
 
yalaaaa. yule wa kwanza hujamaliza tu kumkagua ? mbona unachugua mda hivyo? unachungulia au kuna vifaa unatumia
Mambo ya ukaguzi ni siri ya babu na wajukuu zake....... bado sijamaliza, chagua mwingine bana....
 
Nilipo skia utaratibu wa kukaguliwa nilikimbia. Anti yangu hakunambia kama kukaguliwa kuna husisha mkongojo... lol

babu kasema eti ni siri yake na wajukuu zake kama vipi we nenda tu.babu hataki kukunipa wewe kisa anajifanya hadi akukague au klorokwin ameshampa babu kitu kidogo nini. huyu kloro mjanja mjanja sana
 
Back
Top Bottom