klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Dah!.......Huyo subiria kidog, bado sijamalizia ukaguzi. Mwingine?
Dah!.......Huyo subiria kidog, bado sijamalizia ukaguzi. Mwingine?
hahaha pouwa.hehehehe! Anza wewe bwana.
Kumbe bado upo? lolkhaaaaa!
Ivuga naona Pretta kapotea, sijui kaenda jukwaa la wakubwa???
Shughulikia mziki basi, si unaona pamezorota? alafu baadae ukiweka slow jam naweza kucheza na wewe... 🙂
Raha jipe mwenyewe, ngoja nianze labda watakuja baadae.Umeona eeh?? MaDJ wote sijui wako tungi sana.....lol!
Orayt hakijaharibilka kitu, hebu come this way......Nilipanga mstari mpaka miguu ikataka kuingia tumboni,,,, shemu wako kanipa kijikazi kidogo alafu kaniambia nimsubiri hapa hapa!!!
Kumbe bado upo? lol
Huyo sidhani kama anakufaa, alikuwa ameathirika na kaswende bado hajapona vizuri.... subiri kidogo nimwangalie anaendeleaje afu nikiona vipi ntakukabizi..... hebu chagua mwingine kama hutajali.ayaaaaa..babu kumbe unawakagua kwanza .mwingineee aa anakuaj sasa hivi kujitaja ..aliniomba kucheza naye blueszzzz
fellow tablet bana! hehehe wape dozi bana mie niko holidei lolHuyo sidhani kama anakufaa, alikuwa ameathirika na kaswende bado hajapona vizuri.... subiri kidogo nimwangalie anaendeleaje afu nikiona vipi ntakukabizi..... hebu chagua mwingine kama hutajali.
Orayt hakijaharibilka kitu, hebu come this way......
Ukimezea nitakupa zawadi. lolhehehe kesi yako nitakusomea baadae chemba. jiandae lol
we nenda tu, mi nakufanyia hiyo kazi. lolBabu nikiondoka nikaacha hii kazi alonipa, utakuja kunitetea?
Bado tunatafuta DJ, unaijua hiyo kazi?Happy BirthDay Babu Asprin. Kila la Heri Unapouanza mwaka mwingine katika maisha yako
kuna aina moja tu ya zawadi ndio nitaikubali!Ukimezea nitakupa zawadi. lol
Astaghfirullah! :shock: hivi Babu mbona unatuharibia CV kwa potential watarajiwa? wivu tu huo?Huyo sidhani kama anakufaa, alikuwa ameathirika na kaswende bado hajapona vizuri.... subiri kidogo nimwangalie anaendeleaje afu nikiona vipi ntakukabizi..... hebu chagua mwingine kama hutajali.
Raha jipe mwenyewe, ngoja nianze labda watakuja baadae.
We come this way bana, mie ndo babu mmiliki wa wajukuu.Babu nikiondoka nikaacha hii kazi alonipa, utakuja kunitetea?
mmmhhh... ngoja niende tena jikoni. lolkuna aina moja tu ya zawadi ndio nitaikubali!
make sure u guess it right
Ivuga naona Pretta kapotea, sijui kaenda jukwaa la wakubwa???
Shughulikia mziki basi, si unaona pamezorota? alafu baadae ukiweka slow jam naweza kucheza na wewe... 🙂