<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

babu kasema eti ni siri yake na wajukuu zake kama vipi we nenda tu.babu hataki kukunipa wewe kisa anajifanya hadi akukague au klorokwin ameshampa babu kitu kidogo nini. huyu kloro mjanja mjanja sana
Kwa kweli so long as Anti yangu, somo wangu, AshaDii wangu hajanambia kua ndio hivo mi siendi... lol
 
babu kasema eti ni siri yake na wajukuu zake kama vipi we nenda tu.babu hataki kukunipa wewe kisa anajifanya hadi akukague au klorokwin ameshampa babu kitu kidogo nini. huyu kloro mjanja mjanja sana
Halaf jibaba kaa mbali sana na mwali, tayari wamenipa umod last wiki, nikiona unaquote post za mwali sana nakulamba ban bila warning


...astaghafirullah!

ODM, heri ya siku ya kuzaliwa kaka.

Moskwito, kwenye sherehe kila haramu inageuka halali. Usimtishe kipipi na mwali bana. Tutatubu kesho
 
Mambo ya ukaguzi ni siri ya babu na wajukuu zake....... bado sijamaliza, chagua mwingine bana....

...e mamaweeee!!!
:shock:

Bora umekuja Mbu... hali sio yenyewe kabisa huku. wajukuu tunaonewa hadi basi yaani...

...sitii neno hapa! sijui ana kihirizi huyu?...akishakagua, mkaguliwa anakuwa addicted!
Am out, nisijepakwa masizi ya uso ati namuonea gere 'mgonjwa!'
 
Happy birthday babu ODM! Mungu akupe maisha marefu!,.


@Wifi nimepotea kidogo ila afta shughuli ntakuja kusafisha room
asante !! ngoja nimsaidie babu kupokea hizi pongezi naona yuko bussy sana. unajua kuwa leo kuna ukaguzi?
 
hivi ndo umeolewa zimbabwe kweli?
be warned: madola ya zimbabwe hayaruhusiwi kwenye michango ya JF.
Afu wewe, rais Nyani Ngabu ameshindwa kushuka jukwaani kumbe bodyguard umekimbilia kwenye party ya watu! Twende kule kwa rais bana! Huku kila mtu kalewa, si umeona kidogo Saint Ivuga aniangushie chupa kichwan
 
Afu wewe, rais Nyani Ngabu ameshindwa kushuka jukwaani kumbe bodyguard umekimbilia kwenye party ya watu! Twende kule kwa rais bana! Huku kila mtu kalewa, si umeona kidogo Saint Ivuga aniangushie chupa kichwan
heheeh saint ivuga nazani kachanganya na msuba, nimemkuta uwani ananusa kufuli la mdada, sjui la nani lile aisee. Ni oversize
 

...e mamaweeee!!!
:shock:
...sitii neno hapa! sijui ana kihirizi huyu?...akishakagua, mkaguliwa anakuwa addicted!
Am out, nisijepakwa masizi ya uso ati namuonea gere 'mgonjwa!'
Usiendeeeee....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom