<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

HITIMISHO
Ingawaje mie leo nimeonekana kama mchezaji wa akiba ila mjue tu kuwa uhai wa huyu Babu unakuwa -backed up na mie mshika, mtundika na mtoa madrip. Bila haya madrip huyu mnayemuita Babu yenu leo ii asingekuwa na uwezo wa kutuma post hata moja achilia mbali kupokea simu.

Ninawashukuru wote kwa kumfanikishia huyu Babu siku njema na ninawaomba mmalizie malizie kwani mie kesho alfajiri ninapiga hodi chumbani kwake na drip yangu.! Babu kumbuka pia kuwa una dozi ya sindani 3 za kwenye makalio so jiandae, masuala ya kutusumbua hadi tupate watu wa kukushika hatutaki.
 
HITIMISHO
Ingawaje mie leo nimeonekana kama mchezaji wa akiba ila mjue tu kuwa uhai wa huyu Babu unakuwa -backed up na mie mshika, mtundika na mtoa madrip. Bila haya madrip huyu mnayemuita Babu yenu leo ii asingekuwa na uwezo wa kutuma post hata moja achilia mbali kupokea simu.

Ninawashukuru wote kwa kumfanikishia huyu Babu siku njema na ninawaomba mmalizie malizie kwani mie kesho alfajiri ninapiga hodi chumbani kwake na drip yangu.! Babu kumbuka pia kuwa una dozi ya sindani 3 za kwenye makalio so jiandae, masuala ya kutusumbua hadi tupate watu wa kukushika hatutaki.
Asante sana MJ1, ubarikiwe...
Ila tunakuomba kwa leo tu acha tuchezee ndevu za babu, tulimmiss sana. madripu ataendelea kesho, please!
 
Mind briefing me? LOL
Husninyo na sweetlady walipotea kabisaaaaa. Halafu Babu Aspirin akaanza kua very strange... something to do with mkongojo wake.
Deskmate alini abandon nikabaki peke yangu. Ivuga nae akawa ananiita mtoto. Nilikutafuta kwenye sim nikakukosa... Mtu alie behave hapa ni Kipipi peke yake, na mimi kama kawaida.
 
Husninyo na sweetlady walipotea kabisaaaaa. Halafu Babu Aspirin akaanza kua very strange... something to do with mkongojo wake.
Deskmate alini abandon nikabaki peke yangu. Ivuga nae akawa ananiita mtoto. Nilikutafuta kwenye sim nikakukosa... Mtu alie behave hapa ni Kipipi peke yake, na mimi kama kawaida.
wewe wenzako wote wamezimwa na pombe wewe upo tu................? aa nimekumbuka kumbe wewe hunywagi pombe mtoto mzuri
 
Back
Top Bottom